kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Akili ya Pinda kama sura yaketoka mtoto wa mkulima mpaka fisadi anayetumiwa na mafisadi papa, shame on u Pinda, umeanza uongo wewe mzee, mbona hujawatuhumu polisi kwa kutumia risasi za moto. unaniudhi sana