Waziri mkuu awachambua CHADEMA; Lema amtuhumu kudanganya

Ndumila kuwili hawa. Ukiwauliza kuhusu Dowans watasema swala lipo mahakamani na hivyo haliwezi kuongelewa. Ubabe babe tuu!!!
 
sijashangaa kabisa nilijua siku moja haya yatatokea,ndo mana napendekeza ktk katiba mpya kwenye sifa za mbunge kiongezwe kifungu cha elimu isiwe japo degree 1,ili kuepusha kila mtanzania,mwenye miaka 18,anayejua kusoma na kuandika anaweza kuwa mbunge mwisho tunapata form 2 km lema.
Hahahahahahaaaaa! Lameck (Mb) Ryorya darasa la saba. Alafu hao wasomi unaowakata wewe ndiyo wamekuwa mafisadi wa kupindukia!!!!!!!!!!!!, hawana huruma na watanzania hata kidogo.
Je ikithibitika kuwa Pinda kadanganya utsemaje???? Kama usomi ni ukombozi muone Rais wako Dr, Dr, Dr, Dr,. hahahahaha lakini wapi nchi imemshinda liveeeee
 
Hawa kina makinda na ccm yao kama wanaakili inabidi watubu na kuungama dhambi zao kwa siku zao zinahebasika, vipofi wasioona na kuzitambua harama za nyakati.
 
Nimefuatilia kile ambacho Waziri Mkuu Mh Pinda, alikisema jana bungeni, alisema kuwa kwa aliambiwa kuwa Chadema ndo walikuwa chanzo cha vurugu zilizotokea Arusha , &lt;br /&gt;<br />
pia akaendelea kuwalaumu Chadema kuwa kama wanataka kuaminika waache siasa za vurugu, aliendelea kusema kuwa (&lt;font color=&quot;red&quot;&gt;Mh Lema&lt;/font&gt;) alikuwa ni mtu wa vurugu ingawa hakumtaja kwa jina, Kwa uelewa wangu, kitendo cha kutoa taarifa za kuambiwa bungeni, ni sawa na kutoa taarifa ambazo ni &lt;font color=&quot;red&quot;&gt;hear say&lt;/font&gt;, kwanza madai hayo haya jathibitishwa na Mahakama,ambayo viongozi wa Chadema akiwemo Lema wameshitakiwa ..Sasa wana jamvi hasa wanasheria wanalichukuliaje suala hili&lt;br /&gt;<br />
<br />
<br />
Nionavyo mimi PM kakosea au alifanya makusudi ikizingatiwa kuwa alitoa au kuelezea tarifa Bungeni ambazo zilikuwa za kuambiwa (huenda siyo RASIMI). pia kitendo chake cha kuwaambia CDM kuwa wanahusika na vurugu, pia kwa kusema ili waaminike waache siasa za vurugu, hii ni kuwa hukumu wakati ni Mahakama pekee yenye kuweza kutoa hukumu, inashangaza ni vipi aliweza kuongelea taarifa ambazo kesi iko mahakamani, &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
Bulunga<br />
Jamii Forums imebadilika,wana JF wamebadilika.Kuwa great thinker maana yake ni kutafuta hoja na kuileta jamvini ikiwa bado ya moto.<br />
Sasa basi Waziri mkuu aliongea jana asubuhi na ilitakiwa baada ya kuongea tu na wewe uilete hoja kwa wana jamvi waijadili.<br />
Jaribu kubadilika na kwenda na wakati kwa kuandika threads zinazokuwa 'BREAKING'.<br />
Hii issue ilishajadiliwa humu jamvini na ni marudio tuu.<br />
<br />
&lt;br /&gt;
 
mh.Pinda anatakiwa aelewe kuwa yeye ni Waziri mkuu wa Tanzania ambayo ina vyama vingi vya siasa na si Waziri mkuu wa CCM.

Pinda anatakiwa aelewe kuwa ili aongoze vizuri anatakiwa asimamie haki na hata kama viongozi waa serikali walikosea alitakiwa awakemee.Kitendo chochote kinachofanywa kupindisha haki/ukweli kwa ajili ya kuwaonea CDM basi ajue kinawaongezea umaarufu CHADEMA machoni mwa wananchi.

Pinda ajue kuwa kilichosababisha CHADEMA kupanda umaarufu ni kitendo cha kumsimamisha Zitto Kabwe bungeni,na CDM wakachukua jambo hilo kama advantage kwenda kwa wananchi kulalamika kuwa wapinzani wanaonewa.Nashauri iundwe tume huru itakayochunguza mauaji ya raia Arusha ili ukweli ujulikane na watu wawajibike.
 
kwa hiyo aliyevuruga maandamano ya cdm arusha ni lema, aliyeua wale watu watatu ni lema. pinda acha kupindisha mambo, ama kweli siku zenu zinahesabika
 
Mizengo pinda ndio waziri mkuu mpaka 2015 kama upendi saga chupa ubwie. Edward Lowasa anastahili kuwepo kwenye jumba la makumbusho. PERIOD.
acha matusi na kejeli, naona kama unayaonea wivu mawazo yangu kudhihirika ni ya kweli na narudia Lowasa ni zaidi ya Pinda kiubora regardless ya ufisadi wake kwani PINDA ni fisadi kwa kuwa ana authority za kuwawajibisha mafisadi na hataki kufanya hivyo kwa 25% anazorushiwaga.

Sitaki matusi unayonipaga, mimi ni mwanamke kama unanionea wivu njoo uchukue nafasi yangu kitandani.
 
Kama unalosema ni kweli , basi nimeelewa kwa nini Sita alimwambia huyu spika wetu Mama Makinda kuwa asikurupuke katika kujadili hoja ya Richmond wakati ule. Hapa Lema hajatamka kuwa waziri mkuu analidanganya bunge, bali anataka kujua cha kufanya iwapo hypothetically waziri mkuu analidanganya bunge. Spika alitakiwa awe na subira ajibu swali aliloulizwa, yaani amwelekeze Lema hatua ya kufanya iwapo Waziri mkuu amelidanganya bunge. Sasa iwapo Lema angelitekeleza hatua hiyo, ndipo spika angeweza kudai proof. Kwa hivi sasa anadai proof ya jambo hypothetical, Lema anaweza kukataa tu kuwa hana proof kwa vile hajasema kuwa waziri mkuu kadanganya bunge.
hapo ktk Red ni kweli kabisa lema aliuliza scenario so anaweza asiotoe proof,ila lile swali lilikuwa la kumchokonoa spika,naye akaingia ktk mtego,leo amebadili ameweza hata kumtetea Mh wenje wakati wa kuongeza ktk hoja .
 
Katika kipindi cha maswali kwa Waziri mkuu leo asubuhi Mh. Waziri mkuu amesimulia kilichojiri katika mauaji ya Arusha na kwa mujibu wa maelezo yake yameonesha kuituhumu CHADEMA kuwa ni chanzo cha mauaji ya raia kwenye maandamano, amesema kuwa Mh. Godbless Lema ni mtu wa fujo fujo hivi na alianzisha fujo kwenye kikao cha pili cha baraza la madiwani halmashauri ya Arusha.<br />
<br />
Mwisho Mh. Pinda kawashauri CHADEMA kuunda chama kitakachoaminiwa na wananchi kuongoza taifa hili chama chenye kuleta amani.<br />
<br />
Wakati huo huo Mh. Godbless Lema alitumia mwongozo wa Spika kumtuhumu Mh. Waziri mkuu kuwa kalidanganya bunge.

Pinda kamwambia ukweli usiopingika. kwanini walilazisha maandamano wakati nia ilikuwa mkutano ambayo uliruhusiwa, lakini sababu chadema ni watu wa vurugu mkutano wakaacha wakaamua kufanya vurugu kwa kuandamana, sababu ya ufinyu wa akili za viongozi wao na uroho wa madaraka
 
hivi hawa sisimu ni mazuzuz au? Lema kauliza "hivi kiongozi kama waziri mkuu akiongopa bungeni anachukuliwa hatua gani ?" Maza akaanza kujichanganya ovyo ovyo. boooom boooom aibu aibu aibu kilichobakia ni kutapatapa tu.
 
Back
Top Bottom