nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Katika kipindi cha maswali kwa Waziri mkuu leo asubuhi Mh. Waziri mkuu amesimulia kilichojiri katika mauaji ya Arusha na kwa mujibu wa maelezo yake yameonesha kuituhumu CHADEMA kuwa ni chanzo cha mauaji ya raia kwenye maandamano, amesema kuwa Mh. Godbless Lema ni mtu wa fujo fujo hivi na alianzisha fujo kwenye kikao cha pili cha baraza la madiwani halmashauri ya Arusha.
Mwisho Mh. Pinda kawashauri CHADEMA kuunda chama kitakachoaminiwa na wananchi kuongoza taifa hili chama chenye kuleta amani.
Wakati huo huo Mh. Godbless Lema alitumia mwongozo wa Spika kumtuhumu Mh. Waziri mkuu kuwa kalidanganya bunge.
Mwisho Mh. Pinda kawashauri CHADEMA kuunda chama kitakachoaminiwa na wananchi kuongoza taifa hili chama chenye kuleta amani.
Wakati huo huo Mh. Godbless Lema alitumia mwongozo wa Spika kumtuhumu Mh. Waziri mkuu kuwa kalidanganya bunge.