Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Kufuatia kikao cha madaktari kilichoazimia kuendelea na mgomo waliousitisha ifikapo jumatano (7/03/2012) kwa kutotekelezwa baadhi ya makubalionao walioafikiana na serikali chini ya Waziri mkuu Mizengo Pinda.
Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema amesikitishwa na tishio hilo akisema kwa sasa Serikali ipo katika mchakato wa utekelezaji wa makubaliano mbalimbali na wanataaluma hao.
Source: Mwananchi 5/03/2012
Swali la msingi:
Ni kweli serikali imeshindwa kuendelea na mchakato huo wakati ikiwa imewawajibisha Mawaziri husika kama walivyokubaliana? Kwananmna hiyo basi, mawaziri hawa waliopelekea matatizo yaliyo pita watakuwa wanashiriki katika mchakato huo ambapo Madaktari na sisi wananchi tukiwa hatuna imani na viongozi hao. Inatuwia vigumu sana kuona Mh. Pinda unasikitishwa na maazimio ya Madaktari mlioafikiana awali.
Hata hivyo, Waziri Mkuu amesema amesikitishwa na tishio hilo akisema kwa sasa Serikali ipo katika mchakato wa utekelezaji wa makubaliano mbalimbali na wanataaluma hao.
Source: Mwananchi 5/03/2012
Swali la msingi:
Ni kweli serikali imeshindwa kuendelea na mchakato huo wakati ikiwa imewawajibisha Mawaziri husika kama walivyokubaliana? Kwananmna hiyo basi, mawaziri hawa waliopelekea matatizo yaliyo pita watakuwa wanashiriki katika mchakato huo ambapo Madaktari na sisi wananchi tukiwa hatuna imani na viongozi hao. Inatuwia vigumu sana kuona Mh. Pinda unasikitishwa na maazimio ya Madaktari mlioafikiana awali.