...nimepitia hiyo taarifa ya kilichotokea huko Arusha, kwa kweli inatia huzuni sana kwa ''ubakaji'' wa madaraka uliofanywa na hao CCM! On the other hand sielewi huyu Pinda kama taarifa za kintelijensia huwa zinamfikia au la na kama huwa zinamfikia kama zilivyo (bila uchakachuaji), naamini hata hizi zilimfikia.....the real ones! Ivi haoni aibu kusema uwongo kwa watanzania mchana kweupe?
Huyu jamaa atakuwa mnafiki sana, wakati wa sakata la maalbino kuuwa aliropoka ''kwa uchungu'' kuwa yeyote atakayekamatwa kwa kuua albino na yeye auawe, baadaye baada ya kupewa kibano bungeni kuhusu maneno haya, alitoa machozi.......akidai eti kuuawa albino kunamtia huzuni sana! Sasa je, albino ni binadamu na wale waliouawa Arusha ni nini? wanyama? kama ni binadamu, na kama asingekuwa mnafiki na mwongo ningetegemea angekuwa na at least consistent katika kukerwa na mauaji ya binadamu......! na hivyo kulieleza bunge ukweli wa kile kilichotokea Arusha!
Inakera na kuudhi sana, mtu mzima na kiongozi mzito kama yeye anapoamua kusimama mbele ya chombo kikubwa kama Bunge na kutamka maneno ya kisanii na uwongo kama alivyofanya huyu MP! Anaweza kuwa amefanikiwa kuwadanganya wabunge, lakini sisi wananchi tuliowapeleka huko we have nothing to loose, tunajua kuchambua mchele na chuya.....! One day this will end!
Kaka pole sana nadhani huoni kuwa pm anaelia bungeni badala ya kuwa imara ni pm gani huyo?
Mie pinda simkubali at all. Pm hajui kukemea, muda mwingi hulalamika tu kama wakulima. Kweli tz hatukujaliwa viongozi imara.