Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,487
- 2,344
Leo limetokea tukio la kustaajaabisha sana hapa katika shule ya msingi Tumaini iliyopo manispaa ya Bukoba, watoto wamerudishwa majumbani kwa kuwa wazazi hawajalipa mchango wa Tuition ya jioni.
Kinachoumiza ni kumrudisha mtoto asubuhi nyumbani, yaani akose vipindi vya msingi vya asubuhi kisa pesa ya tuition jion. Kwanini wasiwarudishe jioni kwenye darasa husika? Je, michango imeshakuwa lazima kinyumenyume?
Najua wanabodi wengine watanitukana nikalipe, mimi watoto wangu hawasomi hapo ila nimeumia kuona watoto wa wengine wakifanyiwa haya.
Kinachoumiza ni kumrudisha mtoto asubuhi nyumbani, yaani akose vipindi vya msingi vya asubuhi kisa pesa ya tuition jion. Kwanini wasiwarudishe jioni kwenye darasa husika? Je, michango imeshakuwa lazima kinyumenyume?
Najua wanabodi wengine watanitukana nikalipe, mimi watoto wangu hawasomi hapo ila nimeumia kuona watoto wa wengine wakifanyiwa haya.