Waziri Mkenda na RC Kagera, kwanini watoto wanarudishwa majumbani kwa mzazi kushindwa kulipa mchango? Je, elimu bure ni kuhadaa wananchi?

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,487
2,344
Leo limetokea tukio la kustaajaabisha sana hapa katika shule ya msingi Tumaini iliyopo manispaa ya Bukoba, watoto wamerudishwa majumbani kwa kuwa wazazi hawajalipa mchango wa Tuition ya jioni.

Kinachoumiza ni kumrudisha mtoto asubuhi nyumbani, yaani akose vipindi vya msingi vya asubuhi kisa pesa ya tuition jion. Kwanini wasiwarudishe jioni kwenye darasa husika? Je, michango imeshakuwa lazima kinyumenyume?

Najua wanabodi wengine watanitukana nikalipe, mimi watoto wangu hawasomi hapo ila nimeumia kuona watoto wa wengine wakifanyiwa haya.
 
Kuhusu michango ipo pale pale tena unakuta michango ni mingi, kwakweli wajaribu kuangalia ili swala na pia mzazi apewe muda wa kulipa taratibu kama michango itashindwa kuondolewa au kupunguzwa.
 
Kuhusu michango ipo pale pale tena unakuta michango ni mingi, kwakweli wajaribu kuangalia ili swala na pia mzazi apewe muda wa kulipa taratibu kama michango itashindwa kuondolewa au kupunguzwa.
Michango inapozidi ada iliyofutwa, mzazi unalipa zaidi ya laki na 20 kwa mwaka. Halafu unahubiriwa elimu bure
 
WaTz mtabaki kuwa vilaza hapo utakuta mchango hauzidi 500 au 1,000 lakini mmeshika bango kulalamika. Wakati mnatumia pesa nyingi kwa ulevi uzinzi na starehe. WaTz mtaendelea kubaki wajinga hadi siku mkojolewe hadharani. Ndio maana wazungu wakasema "if you think education is expensive try ignorance".

Ladies and Gentlemen mwisho wa siku mtaendelea kusema shule za private wanaiba mitihani ndio maana wanafaulu...

Hivi seriously unataka mwanao anayesoma elimu bure bila kutoa hata mia mbovu afaulu sawa na mtoto wa jirani yako anayesoma shule yenye mchango wa mitihani ya wiki au mwezi au masomo ya ziada..?

Ok sawa watoto wenu wa elimu bure wakifaulu na kwenda shule ambazo watoto wa wenzenu wanao gharamia elimu, Nipo nimekaa hapa mniite mbwa...
 
WaTz mtabak kuwa vilaza hapo utakuta mchango hauzidi 500 au 1,000 lakin mmeshika bango kulalamika. Wakat mnatumia pesa nyingi kwa ulevi uzinzi na starehe. WaTz mtaendelea kubak wajinga hadi siku mkojolewe hadharani. Ndio maana wazungu wakasema "if you think education is expensive try ignorance".
Ladies and Gentlemen mwisho wa siku mtaendelea kusema shule za private wanaiba mitihani ndio maana wanafaulu...
Hivi seriously unataka mwanao anaye soma elimu bure bilakutoa hata mia mbovu afaulu sawa na mtoto wa jirani yako anayesoma shule yenye mchango wa mitihani ya wiki au mwezi au masomo ya ziada..?
Ok sawa watoto wenu wa elimu bure wakifaulu na kwenda shule ambazo watoto wa wenzenu wanao gharamia elimu, Nipo nimekaa hapa mniite mbwa...
Shule gani michango ni 500 au 1000?? michango ni mingi inaweza fika adi laki moja na zaidi kwa mtu anaeingia kidato cha tano sasa usifikiri vipato vinafanana, na hoja ya msingi basi mwanafunzi asirudishwe atleast apewe muda wa kulipa
 
Shule gani michango ni 500 au 1000??michango ni mingi inaweza fka adi laki moja na zaidi kwa mtu anaeingia kidato cha tano sasa usifikir vipato vinafanana,na hoja ya msingi basi mwanafunzi asirudishwe atleast apewe muda wa kulipa
sasa unataka hadi mwanafunz anaeingia A-Level asitoe michango.?
Msihofu WaTz wapenda vya bure na A-Level soon Ada ni Bure, ila sijui kama mnajua madhara ya elimu bure kwa watoto wenu...?
Hizi shule za msingi na o level ambazo mnaziita Elimu Bure michango yao kwa mwaka ni 15,000 hadi 30,000 na haitolewi kwa mara moja. Ndio hizo jerojero bukubuku miambili ukizijumlisha zafika hiyo pesa... Walimu wanataka kuwasaidia watoto wenu wapate elimu bora nyie mnaona hizo miatano buku ni kubwa kuliko maisha yenu ya baadae... Ok
 
Leo limetokea tukio la kustaajaabisha sana hapa katika shule ya msingi Tumaini iliyopo manispaa ya Bukoba, watoto wamerudishwa majumbani kwa kuwa wazazi hawajalipa mchango wa Tuition ya jioni.

Kinachoumiza ni kumrudisha mtoto asubuhi nyumbani, yaani akose vipindi vya msingi vya asubuhi kisa pesa ya tuition jion. Kwanini wasiwarudishe jioni kwenye darasa husika? Je, michango imeshakuwa lazima kinyumenyume?

Najua wanabodi wengine watanitukana nikalipe, mimi watoto wangu hawasomi hapo ila nimeumia kuona watoto wa wengine wakifanyiwa haya.
Ukweli ni kwamba elimu ni gharama, wanaotwambia tusilipe michango wala ada, ili watoto wetu wainjoi elimu, wao wanalipa mamilioni kwa ajili ya watoto wao, mf.Mwigulu, watoto wake wapo Feza huko analipia mamilioni, lakini utamkuta mishipa imemtoka akiihubiri elimu bure!

Nilienda shule moja huko mkoani Songwe,wilaya ya Mbozi, inaitwa Mlangali secondary school (anasoma mtoto wa shangazi yangu),waliagizwa kupeleka Ream papers kwa ajili ya mitihani, shangazi alilalamika kwanini wtnatozwa mchango wa Ream wakati serikali imesema wasitoe mchango!

Nilipofika shule kupeleka hiyo Ream nikapata wasaa wa kuongea na makamu Mkuu wa shule, kwamba shule ina mikakati ya kuwafanyisha mitihani ya kutosha wanafunzi wao ili kuwaandaa na mitihani ya taifa, na ili hilo lifanikiwe, waliwaomba wazazi kupeleka ream shule kwa sababu shule haina pesa...na pia wazazi wakaombwa kuchangia sh.1000 kila J.mosi ili kutoa copy hiyo mitihani, kulipa pesa ya maji kwa walimu kujitolea kufanya kazi J.mosi (kwani wangeweza kukaa nyumbani wapumzike) lakini wazazi HAWATAKI, kwa kuwa waliambiwa elimu ni BURE!

Niliiona nia njema ya walimu wa hiyo shule ya sekondari Mlangali, lakini jamii inayowazunguka inajijengea uzio mzito kuelekea mafanikio ya watoto wao kielimu, sasa hata kama hali ni ngumu, kweli kutoa sh. 1000 kwa wiki kumsaidia mtoto wako kielimu unaona shida????

Halafu ukiambiwa wachagga wamejazana maofisini mnakimbilia kusema ni ukabila? Mleta mada, nafikiri kabla hatujawalaumu walimu, tuanze na wazazi kwanza, kwanini hawatoi michango midogo midogo hiyo kusaidia elimu za watoto wao?

Sisi tulisoma private na bado unakutana na mchango wa "kuboresha elimu laki tatu (300,000) inalipwa, Mara pesa ya jengo 200,000, inalipwa na hizo zote zinakuwa nje ya ADA!

WATANZANIA TUKIENDELEA KUPUUZA ELIMU, NA KUIONA NI KITU CHEPESI NAMNA HII HAKIKA TUTAENDELEA KUKANDAMIZWA KWA MIAKA MINGI SANA IJAYO!
 
Shule gani michango ni 500 au 1000??michango ni mingi inaweza fka adi laki moja na zaidi kwa mtu anaeingia kidato cha tano sasa usifikir vipato vinafanana,na hoja ya msingi basi mwanafunzi asirudishwe atleast apewe muda wa kulipa
Hana mtoto huyo, michango shule ya msingi inafika 120,000 anazungumza nn
 
Ukweli ni kwamba elimu ni gharama, wanaotwambia tusilipe michango wala ada, ili watoto wetu wainjoi elimu, wao wanalipa mamilioni kwa ajili ya watoto wao, mf.Mwigulu, watoto wake wapo Feza huko analipia mamilioni, lakini utamkuta mishipa imemtoka akiihubiri elimu bure!

Nilienda shule moja huko mkoani Songwe,wilaya ya Mbozi, inaitwa Mlangali secondary school (anasoma mtoto wa shangazi yangu),waliagizwa kupeleka Ream papers kwa ajili ya mitihani, shangazi alilalamika kwanini wtnatozwa mchango wa Ream wakati serikali imesema wasitoe mchango!

Nilipofika shule kupeleka hiyo Ream nikapata wasaa wa kuongea na makamu Mkuu wa shule, kwamba shule ina mikakati ya kuwafanyisha mitihani ya kutosha wanafunzi wao ili kuwaandaa na mitihani ya taifa, na ili hilo lifanikiwe, waliwaomba wazazi kupeleka ream shule kwa sababu shule haina pesa...na pia wazazi wakaombwa kuchangia sh.1000 kila J.mosi ili kutoa copy hiyo mitihani, kulipa pesa ya maji kwa walimu kujitolea kufanya kazi J.mosi (kwani wangeweza kukaa nyumbani wapumzike) lakini wazazi HAWATAKI, kwa kuwa waliambiwa elimu ni BURE!

Niliiona nia njema ya walimu wa hiyo shule ya sekondari Mlangali, lakini jamii inayowazunguka inajijengea uzio mzito kuelekea mafanikio ya watoto wao kielimu, sasa hata kama hali ni ngumu, kweli kutoa sh. 1000 kwa wiki kumsaidia mtoto wako kielimu unaona shida????

Halafu ukiambiwa wachagga wamejazana maofisini mnakimbilia kusema ni ukabila? Mleta mada, nafikiri kabla hatujawalaumu walimu, tuanze na wazazi kwanza, kwanini hawatoi michango midogo midogo hiyo kusaidia elimu za watoto wao?

Sisi tulisoma private na bado unakutana na mchango wa "kuboresha elimu laki tatu (300,000) inalipwa, Mara pesa ya jengo 200,000, inalipwa na hizo zote zinakuwa nje ya ADA!

WATANZANIA TUKIENDELEA KUPUUZA ELIMU, NA KUIONA NI KITU CHEPESI NAMNA HII HAKIKA TUTAENDELEA KUKANDAMIZWA KWA MIAKA MINGI SANA IJAYO!
basi waache kuhubiri elimu bure, pia malalamiko yangu ni watoto kurudishwa muda wa masomo kwanini wasizuiwe kuingia huo muda wa tuition?
 
Leo limetokea tukio la kustaajaabisha sana hapa katika shule ya msingi Tumaini iliyopo manispaa ya Bukoba, watoto wamerudishwa majumbani kwa kuwa wazazi hawajalipa mchango wa Tuition ya jioni.

Kinachoumiza ni kumrudisha mtoto asubuhi nyumbani, yaani akose vipindi vya msingi vya asubuhi kisa pesa ya tuition jion. Kwanini wasiwarudishe jioni kwenye darasa husika? Je, michango imeshakuwa lazima kinyumenyume?

Najua wanabodi wengine watanitukana nikalipe, mimi watoto wangu hawasomi hapo ila nimeumia kuona watoto wa wengine wakifanyiwa haya.


______
Mods pls, Heading isomeke Prof. Mkenda, Ndalichako bado kumbukumbu zake hazijafutika kichwani
Vita subiria serikali inafanyia Kazi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220625-120441.png
    Screenshot_20220625-120441.png
    107.5 KB · Views: 5
WaTz mtabak kuwa vilaza hapo utakuta mchango hauzidi 500 au 1,000 lakin mmeshika bango kulalamika. Wakat mnatumia pesa nyingi kwa ulevi uzinzi na starehe. WaTz mtaendelea kubak wajinga hadi siku mkojolewe hadharani. Ndio maana wazungu wakasema "if you think education is expensive try ignorance".
Ladies and Gentlemen mwisho wa siku mtaendelea kusema shule za private wanaiba mitihani ndio maana wanafaulu...
Hivi seriously unataka mwanao anaye soma elimu bure bilakutoa hata mia mbovu afaulu sawa na mtoto wa jirani yako anayesoma shule yenye mchango wa mitihani ya wiki au mwezi au masomo ya ziada..?
Ok sawa watoto wenu wa elimu bure wakifaulu na kwenda shule ambazo watoto wa wenzenu wanao gharamia elimu, Nipo nimekaa hapa mniite mbwa...
hiyo buku unatosema mkuu Kuna wengine hawaipati Kwa wakati watoto wetu wanaosoma wapo hata wazaz Simu hawana! Hata uniform zinawashinda mtoto anatembea bila hata viatu! Kaongelea Kwa wote. Wakati mwingine usiwe unapingapinga huenda hujasoma shule hizo ukajuwa tunawazazi wa Aina gani nchi yetu siyo masikini Bali ccm na serikali yake tangu tumepata uhuru imefanya jamii nyingi za kitanzania kuwa masikini wakutupwa. Kwani wanufaika wakubwa no wale waliopo kwenye mfumo.
 
Shule gani michango ni 500 au 1000??michango ni mingi inaweza fka adi laki moja na zaidi kwa mtu anaeingia kidato cha tano sasa usifikir vipato vinafanana,na hoja ya msingi basi mwanafunzi asirudishwe atleast apewe muda wa kulipa
Hata ngekua 10,000 kwa umhimu wa elimu kwa mtoto wako kabisa hamna haja ya kulalamika unless wewe naturally dull
 
WaTz mtabak kuwa vilaza hapo utakuta mchango hauzidi 500 au 1,000 lakin mmeshika bango kulalamika. Wakat mnatumia pesa nyingi kwa ulevi uzinzi na starehe. WaTz mtaendelea kubak wajinga hadi siku mkojolewe hadharani. Ndio maana wazungu wakasema "if you think education is expensive try ignorance".
Ladies and Gentlemen mwisho wa siku mtaendelea kusema shule za private wanaiba mitihani ndio maana wanafaulu...
Hivi seriously unataka mwanao anaye soma elimu bure bilakutoa hata mia mbovu afaulu sawa na mtoto wa jirani yako anayesoma shule yenye mchango wa mitihani ya wiki au mwezi au masomo ya ziada..?
Ok sawa watoto wenu wa elimu bure wakifaulu na kwenda shule ambazo watoto wa wenzenu wanao gharamia elimu, Nipo nimekaa hapa mniite mbwa...
Vilaza watanzania including na mama yako ujue
 
hiyo buku unatosema mkuu Kuna wengine hawaipati Kwa wakati watoto wetu wanaosoma wapo hata wazaz Simu hawana! Hata uniform zinawashinda mtoto anatembea bila hata viatu! Kaongelea Kwa wote. Wakati mwingine usiwe unapingapinga huenda hujasoma shule hizo ukajuwa tunawazazi wa Aina gani nchi yetu siyo masikini Bali ccm na serikali yake tangu tumepata uhuru imefanya jamii nyingi za kitanzania kuwa masikini wakutupwa. Kwani wanufaika wakubwa no wale waliopo kwenye mfumo.
Nimesoma shule za kata kwahio naelewa ujinga wa wazaz wengi wanao somesha watoto wao shule za kata... Ni hivi kwanza utambue walimu wanajua watoto wanaotoka ktk familia masikini hawa watoto huwa hawasumbuliwi kuhusu hiyo michango ya miambili au miatano au buku... Kuna wazaz Wana uwezo wa kutoa hata 100,000 lakini hatak kutoa 500 kwasabab serikal imesema Elimu Bure...
Unakuta shule nyingi zinapata ruzuku ya serikal kwa mwezi 100,000 na ina wanafunz zaidi ya 500 unategemea shule itawezaje kuendesha shughuri za taaluma bila kuomba msaada wa kifedha kwa wazaz..?
Watanzania tusipende kuendekeza Umasikini kama kisingizio cha kukwepa majukum ya msingi... Yaaan uweze kutia mtu mimba ulee mimba ukiombwa 500 kwa mwezi mtoto wako asaidie kitaaluma unakataa unasingizia Elimu Bure...
WANASIASA WANATUMIA ELIMU BURE KUWAPUMBAZA WATZ. CHAGUO NI LENU KUPUMBAZWA AU KUAMKA
 
Naibu waziri alishasema sio elimu bure ni elimu bila ada.
 
Back
Top Bottom