flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,369
Naubalozi waingereza ubandike ramani yao inayoonyesha ziwa lipo tanganyika inakuwa ngoma drookama wajeruman waliweka mipaka na kuonyesha ziwa liko Malawi na waingereza nao wa
kaonyesha ziwa liko upande wa Tanganyika Basi wenye maamuzi ya kuamua ziwa LA nani ni wajerumani au waingereza, wakae waamue nani mumiliki halali wa ziwa Nyasa/Malawi.