Waziri Maiga shughulikia haraka: Ubalozi wa Ujerumani nchini kubandika ukutani Ramani ya Tanzania inayoonyesha Ziwa Nyasa liko Malawi.

Kwa Mlima Kilimanjaro nitakuelewa lakini si kwa Ziwa Victoria kwani liligawanywa katikati, otherwise useme ulitaka Wakoloni wahakikishe kuwa Wajaluo wote (Rorya) wanakuwa ndani ya mipaka ya Kenya na Baganda wote (Kagera River) wanakuwa Uganda. Je, ungetatuaje mgogoro wa Wakurya ambao wengi wao (asilimia 70%) wako Tanzania? Je, vipi Wamasai ambao wako wengi Kenya (60%)?
Hili suala, Wakoloni walitamani kulitatua lakini lilikuwa ni gumu sana kutokana na mazingira ya wakati ule ambako hakukuwepo miundombinu yoyote ya umma, hivyo walilazimika kutumia natural boundaries katika kuweka mipaka.
Ziwa Victoria halikugawanywa sawa saww, Tanzania tuna umiliki wa karibu theluthi mbili ya ziwa lote, wakati Kenya na Uganda wakipata sehemu ndogo.

Huyo ndio mkoloni, hakuwa fair japokuwa alikuwa na mantiki zake. Hivyo tukubali tu matokeo kuwa kuna mahali mkoloni alitupendela na kuna mahali alitupunja. Ndio ukweli mchungu huo.
 
Thanx braza kwa ufafanuzi wa kisomi na murua.
Mimi muda wote nimekuwa nikiumia sana moyoni kuona kwamba eneo la Kionga Triangle, lililokuwa chini ya Wajerumani, tulinyang'anywa baada ya WWI. Unfortunately ndilo eneo ambalo Msumbiji wamegundua gesi nyingi sana ambayo ni mara nne ya gesi tuliyogundua Tanzania.
Eneo hilo la "Rovuma" nchini Msumbiji limegundulika almost futi za ujazo trillioni 200. Linganisha na gesi yetu ambayo ni futi za ujazo trilioni 57 pekee.

View attachment 867298View attachment 867299
Hilo eneo wakati wa kugawana makoloni alipewa Mreno, ujerumani kwa ubabe akaweka kituo Cha kijeshi, kwa vile Mreno hakuwa na ubavu wa kumpiga mjerumani ikabidi awe mpole. Baada ya vita ya kwanza kuisha, na kwa vile ureno alikuwa upande wa washindi wa vita, kumpooza wakamrejeshea kuonga triangle maana makubaliano yalikuwa mto ruvuma uwe mpaka
 
Na ukome kabisa kunijaribu. Ziwa Nyasa ni muhimu sana almost at par to our Ocean. Najua hili watu watapinga lakini kama Dunia ina miaka 300 ijayo, believe me, Lake Nyasa litakuwa muhimu sana kuliko labda hata bahari kwani tutakuwa na tatizo la maji fresh Dunia nzima. Yes, Nchi nyingi kwa sasa hasa za Uarabuni zina teknolojia ya ku-purify maji ya bahari (chumvi) lakini bado wanatumia gharama kubwa sana.
Wataalamu wengi wanabashiri kuwa, huko tuendako tutakuja kuwa na Vita iliyotokana na upungufu wa maji. Mfano: Umeshafuatilia kwa nini Nchi za Africa Mashariki haziwezi kutumia maji ya Mto Naili mpaka ziombe kwa Misri? Umeona jinsi Mradi mkubwa sana wa Umeme nchini Ethiopia (Grand Rennaissance) unavyosuasua? Nani alimuua Meneja wa Mradi?
mkuu...taratibu...
unamkomesha tena!
 
Nadhani kuna kitu hujakielewa hapa.
Binafsi ninaamini mikataba karibu yote ya kikoloni haikuwa ya haki lakini ni mikataba halali maana tulikubaliana kuihalilsha baada ya kupata uhuru ili kuepusha migogoro. Na hicho ndicho kilichotokea kwa ziwa Nyasa. Ziwa lile ni mali ya Malawi hata kama mgawanyo ule haukuwa wa haki lakini ni halali kisheria, kihistoria na kimataifa. Hivyo tukienda kisheria, wamalawi watatushinda, kihistoria watatushinda na kimataifa watatushinda.

Kuhusu Msumbiji kupewa sehemu ya ziwa Nyasa, nadhani hujaelewa ilikuwaje. Ukweli ni kuwa Msumbiji walifanya makubaliano na Malawi kwa Msumbiji kutoa sehemu ya ardhi yake yenye milima na kuipa Malawi ili wapewe sehemu ya Ziwa Nyasa. Na huo ndio msimamo wa Malawi mpaka sasa kutaka Tanzania kwanza itambue na kukiri kuwa Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi na ndipo wakae mezani ili kuafikiana ni vipi Tanzania wapewe sehemu ya ziwa hilo lakini kwa sharti la kutoa pia sehemu ya ardhi ya Tanzania ili iwe sehemu ya Malawi.

Kuhusu ziwa Victoria, nako mgawanyo wa umiliki sio sawa kwa sawa kwa nchi zinazoinguka ziwa hilo(Tanzania, Kenya, Uganda). Karibu 60% ya ziwa hilo ni mali ya Tanzania, sehemu iliyobaki ndio Kenya na Uganda ndio wamepata tena sio sawa kwa sawa. Kifupi tu, mgawanyo wa ziwa Victoria sio wa haki japokuwa ni halali. Uhuni wote huo ulifanywa na mkoloni.

Kanuni ya kawaida ya kihistoria ni hii, kabla ya ukoloni bara la Afrika halikuwa na mipaka rasmi ya kiramani kinchi, ni wakoloni ndio walileta hii mipaka kwa maslahi yao.
Umeongea ukweli mtupu japokuwa pia mchungu sana.
Hata hivyo usisahau kuwa, Waingereza waliokuwa wakiitawala na Malawi, wao waliligawa Ziwa katikati tangu mwaka 1924. Na hiyo ndiyo huwa inaitwa De Facto ambayo kinataifa inakubalika. Points ni hivi, baada ya Nchi za kiafrika kupata uhuru, Ramani zipi zinazotumika zaidi na Nchi mbalimbali duniani. Jibu liko hapo hapo.
Hata hivyo, Tanzania ikiwa Nchi kubwa kamwe tusikubali kipande chochote cha miliki ya Ziwa kiende kwa Malawi hata kama ni kwa kumwaga damu. Na mimi nasimama kuhesabiwa, hili suala sipendi kabisa masihara.
Ajabu ni kwamba, kimoyomoyo tangu mwaka 2016, nimekuwa natamani Malawi wajichanganye tena na kutuchokoza ili OmzilankendeMuyago awafundishe kilichomtoa kanga manyoya.
 
Ziwa Victoria halikugawanywa sawa saww, Tanzania tuna umiliki wa karibu theluthi mbili ya ziwa lote, wakati Kenya na Uganda wakipata sehemu ndogo.

Huyo ndio mkoloni, hakuwa fair japokuwa alikuwa na mantiki zake. Hivyo tukubali tu matokeo kuwa kuna mahali mkoloni alitupendela na kuna mahali alitupunja. Ndio ukweli mchungu huo.
No, Tanzania tuna asilimia 51% pekee ndiyo maana nikasema liligawanywa katikati siyo sawasawa kwa sababu limepakana na Nchi tatu, huku Uganda akipata 43% na Kenya 6%.
 
Huo ndio ukweli mkuu Mpaka haijawahi kuwekwa katikati ya ziwa wajerumani wako sshihi
 
View attachment 866818

View attachment 866815

Ubalozi wa Ujerumani nchini, umebandika ukutani, Ramani ya Tanzania inayoonyesha Ziwa Nyasa likiwa ndani ya Mipaka ya Malawi badala ya Mpaka wa Tanzania na Malawi kuwa katikati ya Ziwa.
Ujerumani ndiyo Mtawala wa kwanza wa Tanzania, kipindi hicho ikiitwa German East Africa (DOAG), kupitia Mkataba wa 1886 (Anglo-German Agreement) ulioweka Mipaka ya ukanda wa Pwani na Kenya, kabla ya Mkataba wa 1890 (Helgoland Treaty) kumalizia kuweka mipaka ya Uganda, DRC, Zambia (Rhodesia), Malawi (Nyasaland) na Msumbiji (Mozambique). Helgoland Treaty ndiyo ililiweka Ziwa Nyasa kwa Wamalawi.
Hata hivyo, baada ya Waingereza kuiweka Tanganyika Territory chini ya Mandate, alijikuta akitawala Malawi na Tanganyika na hapo ndipo walipobadili Mpaka na kuuweka katikati ya Ziwa Nyasa.
View attachment 866825View attachment 866826

Anyway, siko hapa kurefusha mada hii, muhimu ni lazima marafiki wa Tanzania, i.e. wote wenye Ubalozi hapa Tanzania, wahakikishe Ramani zinazoonekana kwenye Ofisi zao ni zile zinazotolewa ama kukubaliwa na Tanzania na si mwingine yeyote.
So, Waziri wa Mambo ya Nje, Augustine Maiga shughulikia haraka suala hilo.

https://cdn.auckland.ac.nz/assets/humanrights/Research/MalawiTanzania-NZCHRLPP-final.pdf

View attachment 866814
Ramani ya Tanzania.

Yani hii ni hovyo kabisa...kuhusu maswala ya mipaka,unashindwa kutofautisha kati ya ‘Ardhi na maji’ kwenye vipimo...BAD!!
*Migogoro ya ‘mipaka maji’ imekuwa haina uwiano kati ya pande zinazokinzana,kwani rasilimali na mjumuiko wake unaingiliana kwa ujumla....hivyo kupelekea utatanishi kudumu.
*Chukulia ‘South China Sea’ ambayo inachukua eneo la maili 50,000 wapo na mzozo mkubwa sana na Marekani juu ya ‘matumizi ya kijeshi na uhalisia wa mipaka ya eneo bahari hilo’ kwa zaidi ya miongo kadhaa sasa.
*Ziwa Nyasa lenyewe,hata matumizi yenyewe hatujui,Bado tunanganganaaa tuu...WHY tunaogopa kipande walau cha maili 20kikiwa Malawi ,maybe watalitumia “FULL CAPACITY”....Mi sijaona hata faida yake upande huu....TOO BAD!!
 
Tumeongelea uonevu tuliofanyiwa na wakoloni wakati wanatugawanya lakini kuna kitu kimoja nadhani hamkifahamu juu ya Helgoland Treaty ya 1890. Huu ni Mkataba uliokuwa highly motivated na situation ambayo iliwakumba Waingereza baada ya kuwa katika hatari ya kuipoteza Uganda kwa Wajerumani waliokuwa wamemtuma Hermann von Wissmann kufanya mikataba na Dola za Waganda. Kwa hofu ya kuipiteza Uganda, Waingereza waliamua kukaa na Ujerumani na kuwarudishia Kisiwa kidogo sana cha Helgoland kilichoko Bahari ya Kaskazini, kaskazini mwa Ujerumani, ambacho Uingereza ilikivamia na kukikalia tangu mwaka 1807 wakati wa Napoleonic Wars. So, baada ya German unification 1871, ghafla likawa Taifa la pili lenye nguvu za kiuchumi, kiteknolojia na kijeshi nyuma tu ya Uingereza, hivyo waliona shida kuwa, Kisiwa cha Helgoland kiko km 70 pekee kutoka Ujerumani kikikaliwa na Nchi nyingine hali ya usalama haitakuwa ya kuaminika.
So, kwa Wajerumani, Kisiwa hicho ulikuwa ushindi mkubwa sana kwao kuliko hata makoloni yao yote - DOAG, SWA, Cameroon, Togo na Papua. Ndiyo maana Wajerumani hawakuona shida kuachia maeneo mengi kwa Waingereza likiwemo hilo Ziwa Nyasa.

Hata hivyo, tusisahau kuwa, kwa upande wetu wa Tanzania nzima, ukiacha Wilaya za Kyela na Nyasa, maeneo mengine yalikuwa ni mapori zaidi kutokana na uwepo wa safu za milima Kipengere na Livingstone kuanzia Matema (Kyela) kupitia Makete hadi Ludewa, inayozuia makazi kando ya Ziwa. Yes, kuna Makabila madogo ya Wakisi na Wamanda lakini hao ni wachache kulinganisha na upande wa Malawi ambao katika kipindi hicho cha the Scramble for and Partition of Africa, Malawi ilikuwa at par na Rwanda-Burundi kwa kuwa na msongamano mkubwa wa watu Afrika Mashariki, Kati na Kusini.
 
Sio ziwa tu, yaani hata wale wakazi wa eneo lile ukiwaangalia vzr utagundua sio Watanzania....wale ni wanyaza pure kutoka malawi.
Halafu ukiwa pale vitu vya bei rahisi vinatoka Malawi na bei ghari kutoka Tanzania yaani asilimia kubwa wanatumia bidhaa kutoka Malawi.
 
Tumeongelea uonevu tuliofanyiwa na wakoloni wakati wanatugawanya lakini kuna kitu kimoja nadhani hamkifahamu juu ya Helgoland Treaty ya 1890. Huu ni Mkataba uliokuwa highly motivated na situation ambayo iliwakumba Waingereza baada ya kuwa katika hatari ya kuipoteza Uganda kwa Wajerumani waliokuwa wamemtuma Hermann von Wissmann kufanya mikataba na Dola za Waganda. Kwa hofu ya kuipiteza Uganda, Waingereza waliamua kukaa na Ujerumani na kuwarudishia Kisiwa kidogo sana cha Helgoland kilichoko Bahari ya Kaskazini, kaskazini mwa Ujerumani, ambacho Uingereza ilikivamia na kukikalia tangu mwaka 1807 wakati wa Napoleonic Wars. So, baada ya German unification 1871, ghafla likawa Taifa la pili lenye nguvu za kiuchumi, kiteknolojia na kijeshi nyuma tu ya Uingereza, hivyo waliona shida kuwa, Kisiwa cha Helgoland kiko km 70 pekee kutoka Ujerumani kikikaliwa na Nchi nyingine hali ya usalama haitakuwa ya kuaminika.
So, kwa Wajerumani, Kisiwa hicho ulikuwa ushindi mkubwa sana kwao kuliko hata makoloni yao yote - DOAG, SWA, Cameroon, Togo na Papua. Ndiyo maana Wajerumani hawakuona shida kuachia maeneo mengi kwa Waingereza likiwemo hilo Ziwa Nyasa.

Hata hivyo, tusisahau kuwa, kwa upande wetu wa Tanzania nzima, ukiacha Wilaya za Kyela na Nyasa, maeneo mengine yalikuwa ni mapori zaidi kutokana na uwepo wa safu za milima Kipengere na Livingstone kuanzia Matema (Kyela) kupitia Makete hadi Ludewa, inayozuia makazi kando ya Ziwa. Yes, kuna Makabila madogo ya Wakisi na Wamanda lakini hao ni wachache kulinganisha na upande wa Malawi ambao katika kipindi hicho cha the Scramble for and Partition of Africa, Malawi ilikuwa at par na Rwanda-Burundi kwa kuwa na msongamano mkubwa wa watu Afrika Mashariki, Kati na Kusini.


Tumeongelea uonevu tuliofanyiwa na wakoloni wakati wanatugawanya lakini kuna kitu kimoja nadhani hamkifahamu juu ya Helgoland Treaty ya 1890. Huu ni Mkataba uliokuwa highly motivated na situation ambayo iliwakumba Waingereza baada ya kuwa katika hatari ya kuipoteza Uganda kwa Wajerumani waliokuwa wamemtuma Hermann von Wissmann kufanya mikataba na Dola za Waganda. Kwa hofu ya kuipiteza Uganda, Waingereza waliamua kukaa na Ujerumani na kuwarudishia Kisiwa kidogo sana cha Helgoland kilichoko Bahari ya Kaskazini, kaskazini mwa Ujerumani, ambacho Uingereza ilikivamia na kukikalia tangu mwaka 1807 wakati wa Napoleonic Wars. So, baada ya German unification 1871, ghafla likawa Taifa la pili lenye nguvu za kiuchumi, kiteknolojia na kijeshi nyuma tu ya Uingereza, hivyo waliona shida kuwa, Kisiwa cha Helgoland kiko km 70 pekee kutoka Ujerumani kikikaliwa na Nchi nyingine hali ya usalama haitakuwa ya kuaminika.
So, kwa Wajerumani, Kisiwa hicho ulikuwa ushindi mkubwa sana kwao kuliko hata makoloni yao yote - DOAG, SWA, Cameroon, Togo na Papua. Ndiyo maana Wajerumani hawakuona shida kuachia maeneo mengi kwa Waingereza likiwemo hilo Ziwa Nyasa.

Hata hivyo, tusisahau kuwa, kwa upande wetu wa Tanzania nzima, ukiacha Wilaya za Kyela na Nyasa, maeneo mengine yalikuwa ni mapori zaidi kutokana na uwepo wa safu za milima Kipengere na Livingstone kuanzia Matema (Kyela) kupitia Makete hadi Ludewa, inayozuia makazi kando ya Ziwa. Yes, kuna Makabila madogo ya Wakisi na Wamanda lakini hao ni wachache kulinganisha na upande wa Malawi ambao katika kipindi hicho cha the Scramble for and Partition of Africa, Malawi ilikuwa at par na Rwanda-Burundi kwa kuwa na msongamano mkubwa wa watu Afrika Mashariki, Kati na Kusini.

Tumeongelea uonevu tuliofanyiwa na wakoloni wakati wanatugawanya lakini kuna kitu kimoja nadhani hamkifahamu juu ya Helgoland Treaty ya 1890. Huu ni Mkataba uliokuwa highly motivated na situation ambayo iliwakumba Waingereza baada ya kuwa katika hatari ya kuipoteza Uganda kwa Wajerumani waliokuwa wamemtuma Hermann von Wissmann kufanya mikataba na Dola za Waganda. Kwa hofu ya kuipiteza Uganda, Waingereza waliamua kukaa na Ujerumani na kuwarudishia Kisiwa kidogo sana cha Helgoland kilichoko Bahari ya Kaskazini, kaskazini mwa Ujerumani, ambacho Uingereza ilikivamia na kukikalia tangu mwaka 1807 wakati wa Napoleonic Wars. So, baada ya German unification 1871, ghafla likawa Taifa la pili lenye nguvu za kiuchumi, kiteknolojia na kijeshi nyuma tu ya Uingereza, hivyo waliona shida kuwa, Kisiwa cha Helgoland kiko km 70 pekee kutoka Ujerumani kikikaliwa na Nchi nyingine hali ya usalama haitakuwa ya kuaminika.
So, kwa Wajerumani, Kisiwa hicho ulikuwa ushindi mkubwa sana kwao kuliko hata makoloni yao yote - DOAG, SWA, Cameroon, Togo na Papua. Ndiyo maana Wajerumani hawakuona shida kuachia maeneo mengi kwa Waingereza likiwemo hilo Ziwa Nyasa.

Hata hivyo, tusisahau kuwa, kwa upande wetu wa Tanzania nzima, ukiacha Wilaya za Kyela na Nyasa, maeneo mengine yalikuwa ni mapori zaidi kutokana na uwepo wa safu za milima Kipengere na Livingstone kuanzia Matema (Kyela) kupitia Makete hadi Ludewa, inayozuia makazi kando ya Ziwa. Yes, kuna Makabila madogo ya Wakisi na Wamanda lakini hao ni wachache kulinganisha na upande wa Malawi ambao katika kipindi hicho cha the Scramble for and Partition of Africa, Malawi ilikuwa at par na Rwanda-Burundi kwa kuwa na msongamano mkubwa wa watu Afrika Mashariki, Kati na Kusini.

Nilipita kwenye Milima ya kipengere mpaka mbambabay na liuli. Haya maeneo yafaa kutangazwa kwa ajili ya uwekezaji wa utalii. ni maeneo mazuri sana kwa utalii wa landscaping view, kuruka na parachute kama kule lushoto na speed boating,kuogelea nk.ziwa ni zuri ajabu. Ziwa lipo mita 400 chini ya usawa wa bahari lipo kwenye bonde la ufa ukiwa juu kwenye hiyo milima unaliona ziwa kwa chini sana limejichora kama ramani kama vile upo kwenye ndege juu, na ng'ambo yapili malawi unaona vizuri sana
 
View attachment 866818

View attachment 866815

Ubalozi wa Ujerumani nchini, umebandika ukutani, Ramani ya Tanzania inayoonyesha Ziwa Nyasa likiwa ndani ya Mipaka ya Malawi badala ya Mpaka wa Tanzania na Malawi kuwa katikati ya Ziwa.
Ujerumani ndiyo Mtawala wa kwanza wa Tanzania, kipindi hicho ikiitwa German East Africa (DOAG), kupitia Mkataba wa 1886 (Anglo-German Agreement) ulioweka Mipaka ya ukanda wa Pwani na Kenya, kabla ya Mkataba wa 1890 (Helgoland Treaty) kumalizia kuweka mipaka ya Uganda, DRC, Zambia (Rhodesia), Malawi (Nyasaland) na Msumbiji (Mozambique). Helgoland Treaty ndiyo ililiweka Ziwa Nyasa kwa Wamalawi.
Hata hivyo, baada ya Waingereza kuiweka Tanganyika Territory chini ya Mandate, alijikuta akitawala Malawi na Tanganyika na hapo ndipo walipobadili Mpaka na kuuweka katikati ya Ziwa Nyasa.
View attachment 866825View attachment 866826

Anyway, siko hapa kurefusha mada hii, muhimu ni lazima marafiki wa Tanzania, i.e. wote wenye Ubalozi hapa Tanzania, wahakikishe Ramani zinazoonekana kwenye Ofisi zao ni zile zinazotolewa ama kukubaliwa na Tanzania na si mwingine yeyote.
So, Waziri wa Mambo ya Nje, Augustine Maiga shughulikia haraka suala hilo.

https://cdn.auckland.ac.nz/assets/humanrights/Research/MalawiTanzania-NZCHRLPP-final.pdf

View attachment 866814
Ramani ya Tanzania.
Ni Mahiga siyo Maiga
 
Sio ziwa tu, yaani hata wale wakazi wa eneo lile ukiwaangalia vzr utagundua sio Watanzania....wale ni wanyaza pure kutoka malawi.
Halafu ukiwa pale vitu vya bei rahisi vinatoka Malawi na bei ghari kutoka Tanzania yaani asilimia kubwa wanatumia bidhaa kutoka Malawi.
Wewe si Mtanzania bali ni Mmalawi. Ni bora huyu achunguzwe. Unaongeleaji Tarime, Rory's zinazotegemea kwa kiwango kikubwa bidhaa za Kenya, nao ni Wajenya? Mbona Wilaya ya Misenyi inategemea sana shughuli za Waganda ama Kyerwa na Rwanda?
Geographical location ndio huwa kinachangia watu kutumia huduma kutoka sehemu fulani. Wakazi wa Kanda ya Ziwa hasa Tarime, Rorya, Musoma, Serengeti, Butiama, Ukerewe, Bukoba, Misenyi, Kyerwa, Muleba na Karagwe, Ngara etc, wakati wa usiku matangazo ya redio usiku huwa yako monopolied zaidi na redio za Waganda, Wakenya na Wanyarwanda - wafanyeje?
 
View attachment 866818

View attachment 866815

Ubalozi wa Ujerumani nchini, umebandika ukutani, Ramani ya Tanzania inayoonyesha Ziwa Nyasa likiwa ndani ya Mipaka ya Malawi badala ya Mpaka wa Tanzania na Malawi kuwa katikati ya Ziwa.
Ujerumani ndiyo Mtawala wa kwanza wa Tanzania, kipindi hicho ikiitwa German East Africa (DOAG), kupitia Mkataba wa 1886 (Anglo-German Agreement) ulioweka Mipaka ya ukanda wa Pwani na Kenya, kabla ya Mkataba wa 1890 (Helgoland Treaty) kumalizia kuweka mipaka ya Uganda, DRC, Zambia (Rhodesia), Malawi (Nyasaland) na Msumbiji (Mozambique). Helgoland Treaty ndiyo ililiweka Ziwa Nyasa kwa Wamalawi.
Hata hivyo, baada ya Waingereza kuiweka Tanganyika Territory chini ya Mandate, alijikuta akitawala Malawi na Tanganyika na hapo ndipo walipobadili Mpaka na kuuweka katikati ya Ziwa Nyasa.
View attachment 866825View attachment 866826

Anyway, siko hapa kurefusha mada hii, muhimu ni lazima marafiki wa Tanzania, i.e. wote wenye Ubalozi hapa Tanzania, wahakikishe Ramani zinazoonekana kwenye Ofisi zao ni zile zinazotolewa ama kukubaliwa na Tanzania na si mwingine yeyote.
So, Waziri wa Mambo ya Nje, Augustine Maiga shughulikia haraka suala hilo.

https://cdn.auckland.ac.nz/assets/humanrights/Research/MalawiTanzania-NZCHRLPP-final.pdf

View attachment 866814
Ramani ya Tanzania.
Una maana waziri Mahiga? Huyo Maiga atakuwa wa Malawi.
JF of GT iko taabani kwelikweli.
 
Wewe si Mtanzania naona unawashwawashwa. Oohh no, hapo ndo kipimo cha elimu yako. Unalinganisha demokrasia (mambo ya ndani) na national interest? Elimu yako ni duni sana kulinganisha hivi vitu viwili. Halafu itokee Malawi atuvamie utaenda kupigana kweli? Mtataka Tanzania ishindwe kwa kuwa kuna mtawala hamumtaki? You're a failure.
Demokrasia ni sehemu ya National Interest, unalaumu lakini hueleweki!
 
Ni Mahiga siyo Maiga
Una maana waziri Mahiga? Huyo Maiga atakuwa wa Malawi.
Nashukuru kwa masahihisho. Jina la Waziri wa Mambo ya Nje, ni Augustine Mahiga.

IMG_8383.JPG
 
Demokrasia ni sehemu ya National Interest, unalaumu lakini hueleweki!
Wewe nawe unajidai kukosoa ili mradi tu uongee katika national interest ulishasikia Nchi gani ikatanguliza demokrasia kama national interest kabla ya security (survival)?
 
Wewe si Mtanzania naona unawashwawashwa. Oohh no, hapo ndo kipimo cha elimu yako. Unalinganisha demokrasia (mambo ya ndani) na national interest? Elimu yako ni duni sana kulinganisha hivi vitu viwili. Halafu itokee Malawi atuvamie utaenda kupigana kweli? Mtataka Tanzania ishindwe kwa kuwa kuna mtawala hamumtaki? You're a failure.
I am at loss. What is your point?
 
Tatizo letu tunashindwa kuelewa kuwa tangia nchi za Afrika zimepata uhuru, sisi waafrika hatuna jipya tumefanya kwenye mambo ya ramani nzima ya bara hili na mikataba mbalimbali inayohusiana na mipaka. Project nyingi za kujaribu kufanya re-structuring zimekuwa na mapungufu mengi. Hata huu Muungano wa Tanganyika na Zanziba (japokuwa nao ulishinikizwa na wazungu) umeshakufa mioyoni mwa wananchi washirika na unaelekea kifo rasmi cha amani au cha shari.

Sisi waafrika tutazunguka sana na haya mambo lakini mwisho wa siku tutakimbilia kwa wazungu watupe mwanga. Nashangaa mikataba waliingia wazungu miaka mingi imepita lakini tawala za waafrika zinashindwa hata mambo madogo madogo kama haya. Mwafrika anaweza kumuuzia nchi yake mzungu au hata mchina huku anashindwa kushirikiana na ndugu zake kwenye mambo madogo sana.

Mfano mdogo sana tunahujumu kampuni za sheria za watu wetu halafu tunaenda kutafuta kampuni ya Mzungu itutetee kwenye kesi zinazotukabili. Tunaweza kwenda kumleta mchina aje alime mboga, lakini akilima mtanzania akionekana anafanikiwa viongozi wanaanza kumwingizia siasa na kumhujumu.

Lazima tujiulize,
ARE WE SERIOUS AS A NATION?
ARE THE CITIZENS SERIOUS ABOUT DEVELOPING OUR NATION?
ARE WE AS LEADERS SERIOUS ABOUT WHAT WE ARE DOING?
DO WE KNOW OUR JOURNEY?
DO WE KNOW OUR DESTINATION?
DO WE KNOW WHAT IT TAKES TO GET THERE?
 
Back
Top Bottom