Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,968
955
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Jimbo la Songea Vijijini Mhe. Jenista Mhagama amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani 19 Machi, 2021 - 19 Machi, 2023

Mhe. Jenista Mhagama amesema ndani ya Miaka Miwili Madarakani Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametekeleza Ilani ya CCM 2020-2025 katika Jimbo la Peramiho, Songea Vijijini kwa viwango vikubwa.

✅ MRADI UJENZI WA BARABARA
Shilingi Milioni Mia Tano (500,000,000/=) Fedha za Jimbo mwaka 2022-2023 zimewezesha Ufunguzi wa Barabara Kata ya Kizuka mpaka Kata ya Muhukuru karibu na mpaka wa Msumbiji

✅ MRADI UJENZI KITUO CHA AFYA
1. Shilingi Milioni Mia Tano (500,000,000/=) mwaka 2022-2023 zimetolewa kujenga Kituo cha Afya Kata ya Kilangano. Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imetekeleza.

2. Shilingi Milioni 50,000,000/= zimetolewa na Serikali kujenga Zahanati ya Mpangula Kata ya Matimira. Zahanati ilizinduliwa na Mbunge wa Peramiho Mhe. Jenista Joakim Mhagama tarehe 11 Julai, 2022.

✅ MRADI WA MAJI
1. Katika kumtua Mama Ndoo kichwani, Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha Shilingi Milioni 507,452,596/= Kijiji cha Magagura Kata ya Magagura Jimbo la Peramiho kwa ajili ya kutekeleza mradi wa Maji ambao ulikaguliwa mwezi Agosti 2022 na Mhe. Jenista Mhagama.

2. Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepeleka Shilingi Milioni 734,744,190.39/= mwaka 2022 kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa Maji safi na salama Kijiji cha Lipokela Kata ya Mbinga, Mhalule. Mbunge wa Peramiho, Mhe. Jenista Mhagama alifanya ziara kukagua na kukuta mradi umefikia asilimia 95.

3. Shilingi Milioni 332,386,657/= zilitolewa kwa ajili ya Mradi wa Maji Kijiji cha Ndongosi Kata ya Ndongosi ambapo mradi umefikia asilimia 100. Mbunge wa Peramiho Mhe. Jenista Mhagama alizindua matumizi ya Maji Safi na salama kwa Wananchi tarehe 12 Julai, 2022.

4. Shilingi Bilioni 1,336,625,870/= zilitolewa kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa Maji Vijiji vya Matimira A, Mpangula na Matimira B katika Kata ya Matimira. Mhe. Jenista Mhagama alizindua mradi tarehe 08 Julai, 2022.

✅ MRADI UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI
1. Shilingi Milioni 470,000,000/= ilitolewa mwaka 2021 na Shilingi Milioni 130,000,000/= ilitolewa mwaka 2022 kwa ajili ya Ujenzi wa Shule ya Sekondari Kizuka iliyopo Kata ya Kizuka. Mhe. Jenista Mhagama alikagua maendeleo ya ujenzi huo tarehe 14 Machi, 2022.

2. Shilingi Milioni 40,000,000/= zimetolewa na Serikali Kuu kujenga Madarasa Mawili yanayojengwa katika Kata ya Ndongosi ambapo Mhe. Jenista Mhagama alitembelea tarehe 12 Julai, 2022 na kukuta ujenzi umekamilika.

✅ MRADI WA MIKOPO 10%- WAMAMA, VIJANA & WALEMAVU
Mikopo ya 10% kwa akina Mama, Vijana na Wenye Walemavu imetolewa kikamilifu ili kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi na Serikali. Mhe. Jenista Mhagama alitembelea Wajasiriamali katika Kijiji cha Mpitimbi Kata ya Mpitimbi tarehe 16 Julai, 2022 kutekeleza Maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan.

✅ MRADI WA FEDHA ZA TASAF
Shilingi Milioni 155,613, wa 178.58/= zilitolewa kwa ajili ya ujenzi wa Soko la kisasa la Peramiho lililopo Kata ya Peramiho, Kijiji cha Peramiho Jimbo la Peramiho kupitia fedha za mfuko wa TASAF.

WhatsApp Image 2023-03-14 at 12.30.12.jpeg
WhatsApp Image 2023-03-14 at 12.35.42(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-03-14 at 12.20.43.jpeg
WhatsApp Image 2023-03-12 at 18.53.36(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-03-12 at 18.53.27(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-03-13 at 12.20.51.jpeg
WhatsApp Image 2023-03-13 at 12.27.45.jpeg
WhatsApp Image 2023-03-13 at 12.17.53.jpeg


#KaziIendelee
#PeramihoYetu
#JenistaMhagama
 
Huyu maza nimeanza msikia muda aiseeh yani hastaafu siasa tu?huko jimboni kwake kutakuwa Kama nyuyoku vile 😅hata ajira ya kudumu ina kustaafu jamen
 
Hata ajipendekezeje 2025 harudi labda afanye mchakato wa kuifuta Ile Sheria yake ya kinyonyaji kwa wastaafu. Tena aanze mapema kabisa kukifuta kikokotoo kwa wastaafu vinginevyo atajuta kuileta Sheria Ile!
 
Tukiacha unafiki na dhana ya mfumo dume,
Rais Samia kafanya makubwa sana ndani ya muda mfupi.
Namuombea heri.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Jimbo la Songea Vijijini Jenista Mhagama amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani 19 Machi, 2021 - 19 Machi, 2023​

Jenista Mhagama amesema ndani ya Miaka Miwili Madarakani Rais Samia Suluhu Hassan ametekeleza Ilani ya CCM 2020-2025 katika Jimbo la Peramiho, Songea Vijijini kwa viwango vikubwa.

MIUNDOMBINU YA USAFIRI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alitoa fedha Shilingi 4 bilioni kuweka lami barabara kutoka Matomondo Kata ya Mbinga Mhalule kwenda Magagura na Mlale JKT ndani ya uongozi wa miaka miwili madarakani.

Daraja linalounganisha Kijiji cha Matama na Muhukuru Barabarani limegharimu zaidi ya Shilingi Milioni Mia Saba (750,000,000/=). Hizi ni juhudi za Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwaletea maendeleo wananchi wote wa Jimbo la Peramiho hususani wakulima

Barabara kutoka Likuyufusi kwenda mpakani na Msumbiji Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameshaipitisha katika mpango kazi inakwenda kutengenezwa kwa kiwango cha lami kwa mwaka wa fedha 2022-2023 Kilometers 60. Mkandalasi kapatikana na kazi za awali zimeanza kutekelezwa tayari kwa kuanzwa kwa mradi mkubwa wenye tija kubwa kwa Jimbo la Peramiho na Mkoa wa Ruvuma na Taifa kwa ujumla.

UJENZI SOKO LA KISASA
Ujenzi wa Soko la kisasa umeanza kikamilifu KIjiji cha Matomondo Kata ya Mbinga Mhalule ambapo Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa fedha Shilingi Milioni 190,000,000/= kwa mwaka 2022-2023

KITUO CHA AFYA LIGANGA
Hospitali ya Wilaya ya Songea iliyopo Jimbo la Peramiho Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndani ya uongozi wake wa miaka miwili amepeleka zaidi ya Shilingi Bilioni moja kuijenga na kuhakikisha vifaa tiba vinapatikana na wauguzi wanapatikana kuwahudumia wananchi wote wa Songea Vijijini.

JENISTA MHAGAMA SEKONDARI
Shule ya sekondari Jenista Mhagama iliyopo Kata ya Parangu, Kijiji cha Parangu imekamilika kwa kuwa na Madarasa ya kutosha, Mabweni, Bwalo la Chakula, Nyumba za Walimu, Vyoo vya Wanafunzi na Walimu, Chumba cha TEHAMA, Miundombinu ya Maji na Umeme, Vifaa vya kujifunzia na kufundishia na Walimu; Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitoa fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 1,221,000,000/= kuijenga na kuikamilisha.
 

MHE. DANIEL SILLO APONGEZA MIAKA MIWILI YA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN MADARAKANI KWA ALIYOYAFANYA JIMBO LA BABATI VIJIJJINI.

Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijjini Mhe. Daniel Sillo amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani (19 Machi, 2021 - 19 Machi, 2023)

Mhe. Sillo amesema ndani ya Miaka Miwili Madarakani Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametekeleza Ilani ya CCM 2020-2025 katika Jimbo la Babati Vijijini kwa viwango vikubwa.

✅ MRADI UJENZI WA BARABARA NA MADARAJA
Shilingi Milioni Mia Tano (500,000,000/-Fedha za Jimbo mwaka 2022-2023 zimewezesha ujenzi wa Barabara Kata ya Magugu kwa kiwango cha lami ikiwa ni pamoja na daraja la Ngarenaro. Ujenzi wa daraja la Gichameda pamoja na barabara unganishi km 9.4 kwa kiwango cha changarawe kwa gharama ya bilioni 1.2
  • Daraja la Bacho kijiji cha Haysam kwa gharama ya Shilingi Milioni 102 pamoja na barabara unganishi.
  • Daraja la Kuunganisha kijiji cha Ayasanda na Kijiji cha Bonga kwa gharama ya Milioni 65.
  • Barabara ya Kijiji cha Boay hadi Gidas KM 10 kwa kiwango cha Changarawe kwa gharama ya milioni 250 pamoja na makalvati.
  • Barabara ya Kijiji cha Madunga hadi Bashnet kwa kiwango cha changarawe na Daraja kwa gharama ya shilingi 167,000,000/-
  • Barabara Mamire-Galapo hadi kata ya Qash kwa kiwango cha changarawe pamoja na mitaro kwa gharama ya shilingi 317,000,000/-
  • Barabara ya Kijiji cha Minjingu hadi Kakoi kwa kiwango cha changarawe kwa gharama ya shilingi milioni 209.

✅ MRADI UJENZI WA VITUO VYA AFYA
1. Shilingi Milioni Mia Tano (500,000,000/-mwaka 2021-2022 zimetolewa kujenga Kituo cha Afya Kata ya Madunga.

2. Shilingi Milioni mia tano 500,000,000/= zimetolewa na Serikali kujenga Kituo cha Afya kata ya Ayasanda.

3. Shilingi milioni mia mbili na hamsini 250,000,000/- awamu ya kwanza zimetolewa kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya Gidas. Pamoja na vituo vya Afya serikali pia imetoa milioni hamsini katika Zahanati zifuatazo:-
  • Gesbert milioni 50
  • Ayamango milioni 50
  • Guse milioni 50
  • Ayasanda milioni 50
  • Secheda milioni 50

✅ MRADI WA MAJI
1. Katika kumtua Mama Ndoo kichwani, Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha Shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya mradi wa maji Darakuta hadi Magugu na kazi ya kupeleka maji hadi kata ya mwada na Nkaiti itaendelea katika mwaka wa fedha 2023/2024

2. Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepeleka Shilingi Bilioni 2 kwa mradi wa maji Mayoka hadi Minjingu kupitia ziwa Manyara.

3. Shilingi Milioni mia tano 500,000,000/- kwa ajili ya mradi wa maji wa kijiji cha Vilima vitatu.

4. Shilingi Milioni 853,000,000/- zimetengwa katika mwaka 2022/2023 kwa ajili ya mradi wa maji wa ziwa Madunga na mradi umeanza kutekelezwa.

✅ MRADI UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI
1. Shilingi Milioni 470,000,000/= ilitolewa mwaka 2022 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Sekondari Sarame.

2. Shilingi 1,780,000,000/- zimetolewa na Serikali Kuu kujenga Madarasa 89 kwa shule za Sekondari na Msingi kwa mwaka 2021/2022 katika jimbo zima la Babati Vijijjini.

3. Shilingi 400,000,000/- zimetolewa katika mwaka 2022/2023 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 20 ya shule za Sekondari na ujenzi umekamilika.

#KaziIendelee
#BabatiVijijjiniYetu
#DanielSillo
 

MHE. JANETH MAHAWANGA - PONGEZI MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUTIMIZA MIAKA MIWILI MADARAKANI

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Taasisi ya TishaMama Foundation, Mhe. Janeth Elias Mahawanga ametoa pongezi za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani.

"Hongera sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili kazini. Umefanya kazi kubwa na nzuri, akina Mama wa Dar es Salaam tunasema tupo nawe bega kwa bega." Amesema Mhe. Janeth Elias Mahawanga

Ikumbukwe kwamba, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliapishwa mnamo tarehe 19 Machi, 2021 na ifikapo mnamo tarehe 19 Machi, 2023 atatimiza Miaka Miwili Madarakani.

Sherehe za kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani zitafanyika tarehe 19 Machi, 2023 katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar Es Salaam na mgeni rasmi atakuwa ni Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Watu wote Mnakaribishwa.

#TishaMama
#MamaVicoba
#ItazameDarKiutofauti
#KaziIendelee
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Jimbo la Songea Vijijini Jenista Mhagama amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani 19 Machi, 2021 - 19 Machi, 2023​

Jenista Mhagama amesema ndani ya Miaka Miwili Madarakani Rais Samia Suluhu Hassan ametekeleza Ilani ya CCM 2020-2025 katika Jimbo la Peramiho, Songea Vijijini kwa viwango vikubwa.

MIUNDOMBINU YA USAFIRI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alitoa fedha Shilingi 4 bilioni kuweka lami barabara kutoka Matomondo Kata ya Mbinga Mhalule kwenda Magagura na Mlale JKT ndani ya uongozi wa miaka miwili madarakani.

Daraja linalounganisha Kijiji cha Matama na Muhukuru Barabarani limegharimu zaidi ya Shilingi Milioni Mia Saba (750,000,000/=). Hizi ni juhudi za Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwaletea maendeleo wananchi wote wa Jimbo la Peramiho hususani wakulima

Barabara kutoka Likuyufusi kwenda mpakani na Msumbiji Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameshaipitisha katika mpango kazi inakwenda kutengenezwa kwa kiwango cha lami kwa mwaka wa fedha 2022-2023 Kilometers 60. Mkandalasi kapatikana na kazi za awali zimeanza kutekelezwa tayari kwa kuanzwa kwa mradi mkubwa wenye tija kubwa kwa Jimbo la Peramiho na Mkoa wa Ruvuma na Taifa kwa ujumla.

UJENZI SOKO LA KISASA
Ujenzi wa Soko la kisasa umeanza kikamilifu KIjiji cha Matomondo Kata ya Mbinga Mhalule ambapo Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa fedha Shilingi Milioni 190,000,000/= kwa mwaka 2022-2023

KITUO CHA AFYA LIGANGA
Hospitali ya Wilaya ya Songea iliyopo Jimbo la Peramiho Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndani ya uongozi wake wa miaka miwili amepeleka zaidi ya Shilingi Bilioni moja kuijenga na kuhakikisha vifaa tiba vinapatikana na wauguzi wanapatikana kuwahudumia wananchi wote wa Songea Vijijini.

JENISTA MHAGAMA SEKONDARI
Shule ya sekondari Jenista Mhagama iliyopo Kata ya Parangu, Kijiji cha Parangu imekamilika kwa kuwa na Madarasa ya kutosha, Mabweni, Bwalo la Chakula, Nyumba za Walimu, Vyoo vya Wanafunzi na Walimu, Chumba cha TEHAMA, Miundombinu ya Maji na Umeme, Vifaa vya kujifunzia na kufundishia na Walimu; Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitoa fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 1,221,000,000/= kuijenga na kuikamilisha.
kwanin hajaenda kuadhimisha kifo cha dikteta uchwara.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Jimbo la Songea Vijijini Jenista Mhagama amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani 19 Machi, 2021 - 19 Machi, 2023​

Jenista Mhagama amesema ndani ya Miaka Miwili Madarakani Rais Samia Suluhu Hassan ametekeleza Ilani ya CCM 2020-2025 katika Jimbo la Peramiho, Songea Vijijini kwa viwango vikubwa.

MIUNDOMBINU YA USAFIRI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alitoa fedha Shilingi 4 bilioni kuweka lami barabara kutoka Matomondo Kata ya Mbinga Mhalule kwenda Magagura na Mlale JKT ndani ya uongozi wa miaka miwili madarakani.

Daraja linalounganisha Kijiji cha Matama na Muhukuru Barabarani limegharimu zaidi ya Shilingi Milioni Mia Saba (750,000,000/=). Hizi ni juhudi za Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuwaletea maendeleo wananchi wote wa Jimbo la Peramiho hususani wakulima

Barabara kutoka Likuyufusi kwenda mpakani na Msumbiji Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameshaipitisha katika mpango kazi inakwenda kutengenezwa kwa kiwango cha lami kwa mwaka wa fedha 2022-2023 Kilometers 60. Mkandalasi kapatikana na kazi za awali zimeanza kutekelezwa tayari kwa kuanzwa kwa mradi mkubwa wenye tija kubwa kwa Jimbo la Peramiho na Mkoa wa Ruvuma na Taifa kwa ujumla.

UJENZI SOKO LA KISASA
Ujenzi wa Soko la kisasa umeanza kikamilifu KIjiji cha Matomondo Kata ya Mbinga Mhalule ambapo Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa fedha Shilingi Milioni 190,000,000/= kwa mwaka 2022-2023

KITUO CHA AFYA LIGANGA
Hospitali ya Wilaya ya Songea iliyopo Jimbo la Peramiho Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndani ya uongozi wake wa miaka miwili amepeleka zaidi ya Shilingi Bilioni moja kuijenga na kuhakikisha vifaa tiba vinapatikana na wauguzi wanapatikana kuwahudumia wananchi wote wa Songea Vijijini.

JENISTA MHAGAMA SEKONDARI
Shule ya sekondari Jenista Mhagama iliyopo Kata ya Parangu, Kijiji cha Parangu imekamilika kwa kuwa na Madarasa ya kutosha, Mabweni, Bwalo la Chakula, Nyumba za Walimu, Vyoo vya Wanafunzi na Walimu, Chumba cha TEHAMA, Miundombinu ya Maji na Umeme, Vifaa vya kujifunzia na kufundishia na Walimu; Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitoa fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 1,221,000,000/= kuijenga na kuikamilisha.
kwanin hajaenda kuadhimisha kifo cha dikteta uchwara.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Jimbo la Songea Vijijini Mhe. Jenista Mhagama amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani 19 Machi, 2021 - 19 Machi, 2023

Mhe. Jenista Mhagama amesema ndani ya Miaka Miwili Madarakani Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametekeleza Ilani ya CCM 2020-2025 katika Jimbo la Peramiho, Songea Vijijini kwa viwango vikubwa.

MRADI UJENZI WA BARABARA
Shilingi Milioni Mia Tano (500,000,000/=) Fedha za Jimbo mwaka 2022-2023 zimewezesha Ufunguzi wa Barabara Kata ya Kizuka mpaka Kata ya Muhukuru karibu na mpaka wa Msumbiji

MRADI UJENZI KITUO CHA AFYA
1. Shilingi Milioni Mia Tano (500,000,000/=) mwaka 2022-2023 zimetolewa kujenga Kituo cha Afya Kata ya Kilangano. Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imetekeleza.

2. Shilingi Milioni 50,000,000/= zimetolewa na Serikali kujenga Zahanati ya Mpangula Kata ya Matimira. Zahanati ilizinduliwa na Mbunge wa Peramiho Mhe. Jenista Joakim Mhagama tarehe 11 Julai, 2022.

MRADI WA MAJI
1. Katika kumtua Mama Ndoo kichwani, Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha Shilingi Milioni 507,452,596/= Kijiji cha Magagura Kata ya Magagura Jimbo la Peramiho kwa ajili ya kutekeleza mradi wa Maji ambao ulikaguliwa mwezi Agosti 2022 na Mhe. Jenista Mhagama.

2. Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepeleka Shilingi Milioni 734,744,190.39/= mwaka 2022 kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa Maji safi na salama Kijiji cha Lipokela Kata ya Mbinga, Mhalule. Mbunge wa Peramiho, Mhe. Jenista Mhagama alifanya ziara kukagua na kukuta mradi umefikia asilimia 95.

3. Shilingi Milioni 332,386,657/= zilitolewa kwa ajili ya Mradi wa Maji Kijiji cha Ndongosi Kata ya Ndongosi ambapo mradi umefikia asilimia 100. Mbunge wa Peramiho Mhe. Jenista Mhagama alizindua matumizi ya Maji Safi na salama kwa Wananchi tarehe 12 Julai, 2022.

4. Shilingi Bilioni 1,336,625,870/= zilitolewa kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa Maji Vijiji vya Matimira A, Mpangula na Matimira B katika Kata ya Matimira. Mhe. Jenista Mhagama alizindua mradi tarehe 08 Julai, 2022.

MRADI UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI
1. Shilingi Milioni 470,000,000/= ilitolewa mwaka 2021 na Shilingi Milioni 130,000,000/= ilitolewa mwaka 2022 kwa ajili ya Ujenzi wa Shule ya Sekondari Kizuka iliyopo Kata ya Kizuka. Mhe. Jenista Mhagama alikagua maendeleo ya ujenzi huo tarehe 14 Machi, 2022.

2. Shilingi Milioni 40,000,000/= zimetolewa na Serikali Kuu kujenga Madarasa Mawili yanayojengwa katika Kata ya Ndongosi ambapo Mhe. Jenista Mhagama alitembelea tarehe 12 Julai, 2022 na kukuta ujenzi umekamilika.

MRADI WA MIKOPO 10%- WAMAMA, VIJANA & WALEMAVU
Mikopo ya 10% kwa akina Mama, Vijana na Wenye Walemavu imetolewa kikamilifu ili kutekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi na Serikali. Mhe. Jenista Mhagama alitembelea Wajasiriamali katika Kijiji cha Mpitimbi Kata ya Mpitimbi tarehe 16 Julai, 2022 kutekeleza Maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan.

MRADI WA FEDHA ZA TASAF
Shilingi Milioni 155,613, wa 178.58/= zilitolewa kwa ajili ya ujenzi wa Soko la kisasa la Peramiho lililopo Kata ya Peramiho, Kijiji cha Peramiho Jimbo la Peramiho kupitia fedha za mfuko wa TASAF.

View attachment 2550832View attachment 2550833View attachment 2550834View attachment 2550835View attachment 2550836View attachment 2550837View attachment 2550839View attachment 2550840

#KaziIendelee
#PeramihoYetu
#JenistaMhagama
Una shida sana katika namba. Unaelewa utofauti wa:
1) milioni 500,000,000
2) milioni 500
3) 500m?

Ya kwanza maana yake ni 500,000,000,000,000 yaani ni bilioni 500
Ya pili na ya tatu ni sawa. Inamaanisha milioni miatano.

Ya
 
Back
Top Bottom