Maskini Chami, kuvuliwa uwaziri sio mwiso wa maisha, before hujawa waziri ulikuwa unaishije?
Napata shida sana, mbona Nyalandu na Malima wamerejeshwa kwenye baraza? Nasikia Nyalandu anafadhili WAMA ni kweli? Na huyo Malima je amewezaje kuwa msafi ndani ya wizara chafu kama Nishati na madini? Ninajiuliza sana sipati jibu.
Ekelege!!!!!mkongwe kwenye system tunasubiri tuone atafanywaje zaidi kufichwa tu na kurudi kijiweni pale makaburini!!ndio hao hao!!ukiambiwa hizo pesa zilitumika.......utakataa??EPA,Meremeta walisemaje?pesa zimetumika mambo ya usalama........period
Hivi Ekelege bado anakalia kiti chake pale TBS? Nilitarajia angekuwa selo (cell) muda huu
Kama huyu waziri ni Mchagga basi kama kuna wizi anahusika moja kwa moja. Ripoti za Wabunge alizikalia na akawa anatetea, Why? kama hahusiki!
Kanunua nyumba masaki...kaiangusha yote ili ajenge upya.kabla hajakaa sawa kapigwa chini.Wengi tunajua bei ya nyumba ya kawaida masaki haipungui milioni 500...linganisha ubunge na uwaziri kapata lini halafu mtizame tena anavyotoa michozi...mimi naweza kumnyonga hapo hapo
Pamoja na hayo yote; afanye hima apate muafaka na mamsapu wake
Unamaanisha yule aliyemwacha pale M6 ? Halafu akaenda kuchukua Kidosho !!!!!