Katika kupitia blog moja nimekutana na picha inayomuonesha Mh. Machano Othman Said ambaye ni Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum huko Zanzibar. Nakumbuka hata huku bara miaka ya nyuma waliwahi kuwepo.
Ninataka kujua majukumu yao ya kazi ni yapi hasa au ni mfumo tu wa kupeana ulaji baada ya kuwa nafasi za uwaziri zilizotengwa zinazidi idadi ya wanaostahili kupewa kwa mujibu wa mtoaji?.
Ninataka kujua majukumu yao ya kazi ni yapi hasa au ni mfumo tu wa kupeana ulaji baada ya kuwa nafasi za uwaziri zilizotengwa zinazidi idadi ya wanaostahili kupewa kwa mujibu wa mtoaji?.