Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum, nini majukumu yake?

mhondo

JF-Expert Member
Apr 23, 2011
968
342
Katika kupitia blog moja nimekutana na picha inayomuonesha Mh. Machano Othman Said ambaye ni Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum huko Zanzibar. Nakumbuka hata huku bara miaka ya nyuma waliwahi kuwepo.

Ninataka kujua majukumu yao ya kazi ni yapi hasa au ni mfumo tu wa kupeana ulaji baada ya kuwa nafasi za uwaziri zilizotengwa zinazidi idadi ya wanaostahili kupewa kwa mujibu wa mtoaji?.
 
Wakuu, kwa wale wanaojua ni yapi majukumu/kazi za waziri asiyekuwa na wizara maalum anijuze kwani mimimkatika hilo ni mtupu.
 
Najaribu kufikiria gari yake itakuwa inasomekaje? WAWM au? Hehehee
 
Kikwete alisema kwamba atakuwa na kazi maalum!

Weekpedia wanaseama,

A minister without portfolio is either a government minister with no specific responsibilities or a minister that does not head a particular ministry. The sinecure position is particularly common in countries ruled by coalition governments and a cabinet with decision making authority wherein a minister without portfolio, while he or she may not head any particular office or ministry, does have the right to cast a vote in cabinet decisions. In some countries where the executive branch is not composed of a coalition of parties and, more often, in countries with purely presidential systems of government, such as the United States, the position (or an equivalent position) of minister without portfolio is uncommon.
 
[h=2]Republic of China (Taiwan)[/h]In the Executive Yuan of the Republic of China there are several such ministers, at one time. Currently, the ROC's ministers without portfolio are:[SUP][6][/SUP]

  • Ovid Tzeng (曾志朗)
  • Chang Jin-fu (張進福)
  • Kao Su-po (高思博), also serving as Minister of Mongolian and Tibetan Affairs
  • Fan Liang-shiow (范良琇), also serving as Minster of Public Construction Commission
  • James Cherng-Tay Hsueh (薛承泰), also serving as Governor of Fujian Province
  • Liang Chi-yuan (梁啟源)
  • Lin Junq-tzer (林政則), also serving as Governor of Taiwan Province
One of these posts is typically, but not always, reserved for the chairperson of the important Council for Economic Planning and Development, who is usually considered a cabinet member but not officially so, and so requires the post to have the actual powers of a cabinet member.
 
Kwa uingereza list ya mawaziri wasio na wizara kuanzia 1960's ni kama inavyoonekana hapa - Source Wikipedia


 
basically ni kwamba anaamka asubuhi anaenda kazini, analetewa chai na magazeti anasoma, anafungua computer yake anacheki emails zake akimaliza anaingia jamii forums anaanza kuchat na sisi mpaka jioni anafunga ofisi anarudi nyumbani.

Mwisho wa mwezi; mshahara, marupurupu kama viongozi wengine wa serikali, ana pension yake, house, fuel and car allowance. mshahara na posho kama wabunge wengine. Mradi anaishi na watoto wanasomeshwa. By the way tumeambiwa serikali haina hela. IT CAN ONLY HAPPEN IN BONGO :noidea:
 
Back
Top Bottom