Masatu;
hao unaowasema weye hawapo Zanzibar au Pemba.
Ni sawa na kusema Tanzania tuna ma dakitari wengi halafu 60% yao wapo Botswana ...
Ur missing the point, mjadala hapa sio wazanzibari waliopo zanzibar tu bali wote kwa ujumla wao katika mada pana ya muungano.
Hata hivyo hao unawaona hawana elimu ya magharibu ndio wenye upeo mkubwa katika suala zima la elimu ya uraia na hilo linathitishwa na chaguzi zao zinakuwa na ushindani kuliko sisi wenye elimu ya magharib lakini kofia, kanga, Tshirt nk vimetosha kubadili mtu msimamo wake.