JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 54,993
Mkandara said:Matatizo ya ndani tu yanawashinda kuyaweka wazi na kuwalaumu vviongozi wahusika badala yake wanatumia UNAFIKI kutafuta mchawi toka bara na sii visiwani.
Mkandara,
..hicho ulichokiandika hapo juu ndicho kilichopaswa kuwa maudhui makuu ya hotuba ya Salim Salim. siyo kuanza kudai Wazanzibari waungane kudai haki zao kwetu, wakati wao ndiyo wanaofaidika zaidi na huu Muungano.