LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Wazanzibari kwa harakaharaka wanaonekana ni Wazalendo sana kwa "nchi" yao, kumbe kinachosumbua hapa si uzalendo bali ni chuki (za udini), ubaguzi (wa kidini) na unafiki! Muungano ukivunjika (Mungu apishilie mbali) ndio mashabiki ya kuuvunja Muungano mtajua kilichokuwa chini ya zulia!