Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 2,438
- 2,136
Unataka kusema watanganyika?
Unapiga ramli chonganishi?
Ninachojua ni kuwa washirazi na waarabu walitokea mashariki ya mbali wakaja kwenye visiwa hivyo na pwani ya afrika mashariki. Akili ya kawaida tu inaonesha kuwa hawakukuta visiwa hivyo vikiwa vitupu bila watu. Walikuwepo watu na bila shaka walikuwa ni watu weusi wenye asili ya Bara la Afrika. Washirazi ni wakuja, waarabu ni wakuja, wahindi, wabulushi wote ni wakuja. Ukweli ndio huo hata kama unawauma waarabu koko ambao hawapokelewi uarabuni na sasa wanalazimisha kuwa wao Waliumbiwa na Mungu hapo visiwani.