tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,478
mi nimependa hilo jina la kitabu , nitakitafutaWile,
Inakubidi usome au ufanye utafiti lau kidogo ili uwe katika hali ya kufanya
mjadala.
Nimekupa mfano wa Wajerumani ili uwe mwerevu na kuelwa mchezo wa
siasa unavyochezwa.
Huwezi kuwatia Wazanzibari katika vikosi vinavyokwenda Zanzibar.
Utasababisha matatizo makubwa kwani damu ni nzito kuliko maji.
Fanya utafiti kwa kipindi cha chaguzi toka 1995 hadi 2015.
Ndiyo maana katika mapinduzi jeshi la kupigana Zanzibar lilitoka
Kipumbwi Tanga na wengi wao walikuwa Wamakonde kutoka mashamba
ya mkonge ya Sakura na Kipumbwi.
Soma kitabu cha Harith Ghassany: Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru.