Wazanzibar acheni unafiki na ndumilakuwili

HIVI Dhumuni La Kuweka Huu UZI Hapa!!!? KWANI Mleta UZI Haujui Kuwa Ni KWELI VIONGOZI Kutoka BARA Ndio Chanzo Cha Mitifuano Kule Visiwani!!!!?? WW Kwa Fikra Zako CCM ZANZIBAR Wanaweza Kuamua Au Kufanya Maamuzi Yoyote Bila Ya CCM Bara Na Taifa Kuridhia!!?? JUU Ya KATIBA Yao Kuifanyia Marekebisho Hiyo Ni Haki Yao Kikatiba, Kwani Zanzibar Ni Nchi, Na Hawakukubali Kuufuta Uzanzibar Na Utaifa Wao!! Hivyo Kufanya Marekebisho Yao Ya Kuunda Serikali Ya Umoja Wa Kitaifa, Si Lazima Ww Wa BARA KUTOA MAONI YAKO!! Wazanzibar Wenyewe NDIO WALIOTAKIWA Kutoa MAONI Yao, Kama WANAKUBALI Au WANAKATAA!! PIA Suala La TUME Huru Ya UCHAGUZI, Ni Suala Zuri La Kulipongeza, Kwani Kwa Muundo Wa Tume Hiyo Ndio Ule Mchezo Mchafu Uliyokuwa Ukidaiwa Kufanyika Na Upande Fulani Umeshindwa Kufanyika 2015!! MATOKEO Yake Wamemtumia Jecha Kufuta MATOKEO Yaliokamilika!!! HIVYO Hilo Kwao Ni Suala Muhimu Na La Kupongezwa!! HUKU BARA Mbona Tumeshindwa Kupata, TUME Walau Hiyo Unayoiponda!!!! SIDHANI Kama Ni UNAFIKI Na UNDUMILAKUWILI!! Bali Ni Moja Ya Hatua Nzuri Ya Kujenga Umoja Wao!! TATIZO Ni WABARA, Ndio Wanaoivuruga Zanzibar, Na Wenyewe Wameshalijua Hilo!!!!
Hoja yako imekosa nguzo ya hoja mbadala!

Unapongeza tume hapo hapo unalaamu!

Unasema Wazanzibari hawahitaji msaada wa Watanzania Bara hapo hapo unasema hakuna suala wanalolifanya bila kushirikiana na Bara.

Kama waliunda tume huru ya Uchaguzi, kwa nini kwa sasa wanarumbana kuhusu maamuzi ya tume yao huru ya uchaguzi?

Hoja yako ni mwendelezo wa yale yale ya vyetu ni vyenu wakati wa matatizo lakini wakati wa raha, vyetu ni vyetu.
 
Mtoa mada unaweza usieleweka kwa kuwa wengi hawatatafari vifungu ulivyotoa. Wazanzibar mara zote wamewaona watanganyika kama maadui wa ustawi wao, uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa ilivuruga kila kitu, moja ilituonyesha kuwa zanzibar vyama vya siasa ni CUF na CCM na haluma aliyeuliza. Katiba ikakanyagwa kwa kile kilichodaiwa kuipa nguvu serikali ya mapinduzi na sasa tena mnaililia serikali ya muungano kuingilia kati katika mambo yenu ilhali katiba yenu haitambui mamlaka ya serikali ya jamhuri.Ni wazi kuwa kwa katiba ya Zanzibar huu ni mtego usioepukika Seif hata asipogombea bado kkatiba itampa umakamu wa kwanza wa Rais maana katiba inatambua vyama viwili tu.
Ni wazanzibar wakati wa kuundwa kwa mfumo wa vyama vingi waliokaa kuwepo kwa tume moja tu ya uchaguzi, leo ZEC isingekuwepo na mambo yote yangeratibiwa na NEC, yumkimi usingepata kumsikia mtu anayeitwa Jecha.
Ninashukuru kwa mchango wako ambao umeboresha pia hoja yangu.
 
Ni hivi matatizo ya zanzibar yalitoka tanganyika ,,yanatoka tanganyika na yataendelea kutoka tanganyika .subiri hichi ni kichwa cha kitabu kitatoka karibuni mkuu ukikisoma utaelewa vizuri mkuu
Ndiyo yale yale ya chetu ni chenu wakati wa shida lakini wakati wa raha, chetu ni chetu, kwa maana nyingine, matatizo ya Zanzibar chanzo ni Tanzania Bara, lakini raha ya Zanzibar chanzo ni Zanzibar.
 
Msemajiukweli,
Umeleta mjadala mzuri ila una kasoro moja kuu.
Lugha yako.

Mnakasha kwa lugha kama hiyo hatari yake ni
kuwa tutawakaribisha wajuzi wa lugha hizo wewe
huwezi kupambananao.

Matokeo yake hatutakuwa na mjadala ila vurugu.
Nakusihi hebu andika upya kwa lugha ya kusomeka.
Mohamed Said,
Ninashukuru kwa ushauri wako hata hivyo, tutajitahidi kupambana nao kwa kutumia nguvu ya hoja.
 
Dah! Kumbe ule mshikamano wao uliwauma, na milidiriki kuwaambia kuwa hautadumu!
Maanake mtauvunja,
na tayari mshauvunja.
Mshikamano upi unao usema?

Hawakuwahi kuwa na mshikamano zaidi ya unafiki.

Waingereza wanasema, marriage of convenience!
 
sasa hivi wanamlaumu Kikwete lakini hayo mabadiliko yalifanywa pamoja na Amani Karume walifikiri wao ni wajanja sasa hvi wamekwama wanaanza kutapatapa
 
Wewe hata kuandika tu ni majanga, utaweza kweli kuzipanua fikra zako ziwe katika 3D thinking?

Tatizo ni kwamba, inawezekana hufahamu kama hujui hata kuandika vizuri!

Sometimes you will never know the value of your ignorance and stupidity, until it becomes open secret!

Leo umeamua KUWAPA
 
Fasaha ya maneno unafiki na undumila kuwili, wazanzibari hawaaminiki ktk mambo Pinda aliwaambia Zanzibar siyo nchi wakamtukana matusi ya nguoni na kukaa haraka haraka kubadilisha katiba uchwara yao, masikini yule mama wa hela za mboga akaenda umoja wa mataifa kutaka watuongezee eneo la maji wakavuruga wakadai watadai wao kama nchi sijui iliishiaje.

Seif nae kwa unafiki wake kama alivyomfukuza mwenye chama mzee mapalala kamuweka kando Professor. Kila kukicha mabarua huku na huku kujikomba kwa wazungu na kwa Lowasa vikao wanakutana nyumbani kwake kiongozi gani huyu. Hongera #msemajiUkweli
Hongera pia kwa andiko lako.
 
Mimi sina chuki na Wazanzibari na wala sina sababu ya kuwa na chuki nao.

Nimeishi na Wazanzibari, nimefanya kazi na Wazanzibari lakini sijawahi kushirikiana kwenye unafiki na undumila kuwili wao!

Kama hamtaweza kufahamu au kujifahamu mapungufu yenu, mtaendelea kutafuta mchawi nje ya nyumba yenu.

Mlipoamua kukaa ndani ya chumba na kutoka na maamuzi ya kubadilisha katiba, Watanzania Bara walikaa pembeni na kuangalia movie/mission yenu kwa sababu walifahamu hatima yake.

Kimetokea nini kwenye serikali ya umoja wa kitaifa ambayo mlijitahidi kutuaminisha kuwa ni mwarobaini wa matatizo yenu?
Eti umeishi na wazanzibari na huwachukii Kosa lako ni kuwa mda wote huo unaodai umeisgi nao hkuwasoma wa Zanzibari
 
Rudini shule nyinyi na chuki zenu dhidi ya Zanzibaris manongelea mambo msioyajuwa kama vile mkogandiki
 
Watanganyika kwao niwasaliti na watu wasio faa. Ila wakiwa tanganyika wao ndio wenye thaman kununua mashamba na ardhi pasipo baguliwa. Kwa hakika nasubiri kuona dhambi yao inawatafuta hata siku ya mwisho.
Tunachofanya ni kuwaambia ukweli.

Walibadilisha Katiba kwa kutumia misingi ya kinafiki na ndumila kuwili kwa sasa wameumbuka.
 
Wewe hata kuandika tu ni majanga, utaweza kweli kuzipanua fikra zako ziwe katika 3D thinking?

Tatizo ni kwamba, inawezekana hufahamu kama hujui hata kuandika vizuri!

Sometimes you will never know the value of your ignorance and stupidity, until it becomes open secret!
tokea useme ule ukuta wa hotel ya flomi msamvu morogoro umevunjwa wakati haujavunjwa nimekupuuza sana.umejiandika msemakweli huku unasema uongo na kuutetea.
 
Sasa mpendwa Kama wabara ndio wanaoivuruga Zanzibar, unaona nini muarobaini Wa tatizo hilo??

Queen Esther
WAACHENI Wafanye Masuala Yao Tu!! NDIO Maana Ktk RASIMU Ya 2 Ya Jaji WARIOBA, Ilipendekeza Muundo Wa Serikali 3!!! ILI Kuondoa Hayo MALALAMIKO Na Maneno Ya Upande Wa Tanganyika, SERIKALI Yake KUJIVIKA Koti La Muungano!! HUO Ndio Muarobaini Wake!!!
 
Wanafiki ni watanganyika wanaojiita watanzania kumbe ni walewale watanganyika.
Haka kawilaya cha zanzibr cc wabongo bora tungewaachia wenyewe wapigane sababu hatuna faida nacho hakana msaada wowote na sisi wabongo land zaid ya kututia hasara tu kwanza ningependa serikali iseme kila mtu arudi kwao mpemba kwao mtanganyika kwao na hakuna kuchukua kitu ondoka kama ulivyo kama wapemba hamkulia na kutaka uraia nyinyi wa bara
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Maalim Sefu mpeni ushindi wake hizo porojo za kisenge baadae.
Maalim Seif alituambia kwa sasa wana Tume huru ya uchaguzi. Inabidi tumuulize, kwa nini wanalalamika wakati walituambia hiyo ni tume huru ya uchaguzi?

By the way, Porojo ambazo sio za kisenge ni zipi?

Nielimishe!
 
Mimi niko CCM na nimtetezi wa CCM sababu kubwa naichukia CDM sijui kwanini , na sababu kubwa nakimbia hoja za zenji ni wazi CCM zanzibar tumebaka demokrasia... Heche hakukosea kumuita yule jamaa nkuruzinza ... Tukubali ukweli .. Tu ,, zanzibar tulikuwa tunaelekea kushindwa jecha ndio akaharibu kabisa..

Siwezi wasema vibaya wa zanzibar ni mashemeji zangu!!

I hope kutakuwa na maridhiano na mambo yatakwenda vizuri!

Kuhusu suala la kutushirikisha bara katika maamuzi yao , nadhani walifanya sawa sababu ni nchi huru!

Nimeona shein kaalika wanajeshi anakula nao chakula cha mchana leo hii...

Sasa hii sijui inaleta picha gani,..

Why now?!
 
Hoja yako imekosa nguzo ya hoja mbadala!

Unapongeza tume hapo hapo unalaamu!

Unasema Wazanzibari hawahitaji msaada wa Watanzania Bara hapo hapo unasema hakuna suala wanalolifanya bila kushirikiana na Bara.

Kama waliunda tume huru ya Uchaguzi, kwa nini kwa sasa wanarumbana kuhusu maamuzi ya tume yao huru ya uchaguzi?

Hoja yako ni mwendelezo wa yale yale ya vyetu ni vyenu wakati wa matatizo lakini wakati wa raha, vyetu ni vyetu.
HAUWEZI Kuelewa, Coz Uko Kibishi Zaidi!!! ILA Jaji WARIOBA Kwa Kuliona Hili La Kusigana Na Kuonana Wengine Wana Haki Na Wajibu Zaidi Ya Wengine!! MUAROBAINI Wake, Kuweka Muundo Wa SERIKALI 3!!! KILA Nchi Ifanye Yake Na Tushirikiane Ktk. SERIKALI Ya Shirikisho!!!! HOJA Yangu Kuhusu Tume Na Kupongeza Kwangu, Ni Kutokana Na Kuilinganisha Kati Ya ZEC Na NEC! Ndio Nikapongeza Nafuu Na ZEC Kuliko NEC, Walau Yenyewe Ina Wajumbe Jumuishi! SIDHANI Kama Nimeilaumu Tume, Ila Nimelaumu VIONGOZI Wa CCM Taifa Na Bara "KUINGIA " Ktk Kutoa MAELEKEZO Kwa Wale Wa VISIWANI Kuingilia UTENDAJI Wake!! HAKUNA Mtu, Hata Awe Chizi Atakubali Kuwa JECHA Alifanya Yale Kwa UTASHI Wake, Pasipo Kupewa MAELEKEZO!!!??
 
Back
Top Bottom