Wazanzibar acheni unafiki na ndumilakuwili

Maalim Seif alituambia kwa sasa wana Tume huru ya uchaguzi. Inabidi tumuulize, kwa nini wanalalamika wakati walituambia hiyo ni tume huru ya uchaguzi?

By the way, Porojo ambazo sio za kisenge ni zipi?

Nielimishe!
LINGANISHA ZEC Na NEC, Jinsi Ambavyo WAJUMBE Wake Wanavyopatikana, Ambao Ni Shirikishi!!! WKT Wa NEC Woote WANATEULIWA Na RAIS Tu, Tena Wengine Ni Makada Wa CHAMA Anachotokea RAIS Huyo!!! JE, Hapo Hauoni Huo Uhuru Wake!!?? NDIO Maana Yale Mambo Ya Kuchakachua 2015 Yamekuwa Magumu!!! MATOKEO Yake Wamelazimisha Kufutwa Matokeo Ya UCHAGUZI Ule!!!!
 
Haka kawilaya cha zanzibr cc wabongo bora tungewaachia wenyewe wapigane sababu hatuna faida nacho hakana msaada wowote na sisi wabongo land zaid ya kututia hasara tu kwanza ningependa serikali iseme kila mtu arudi kwao mpemba kwao mtanganyika kwao na hakuna kuchukua kitu ondoka kama ulivyo kama wapemba hamkulia na kutaka uraia nyinyi wa bara
HATA Huku Hatutakuwa Salama, Kwani Kuna Wageni Wengi Mno, Mtaondoka Pia!!! HIYO Ndio Faida Ya UKABURU!! JAJI WARIOBA Ktk RASIMU Yake Ya 2, WALIPENDEKEZA MUUNDO Wa Muungano Wa SERIKALI 3!! ILI Kuacha ZANZIBAR Ifanye Yake Na Tanganyika Yake!!! TUKUTANE Ktk Shirikisho Pekee!!! ZANZIBAR Wafanye UCHAGUZI Wao Wenyewe, Bila Ya Bara Kuwaongoza Na Tanganyika Kadharika!!!! MUAROBAINI Wa Haya Ilikuwa Hilo!!!
 
Hii mada ni mkakati wa kuhamisha fikra toka kwenye hali halisi. Huwezi kuutenga mfumo wa utawala wa JMT (au Tz bara) na mustakabali wa Z'bar. Ni chama kilekile (CCM) kinachotawala pande zote za muungano na siku zote maamuzi yake hutolewa kwa pamoja Dodoma. Sijawahi kusikia kutolewa kwa maamuzi tofauti kati ya "CCM Z'bar" na "CCM bara". Na CCM pamoja na serikali yake imeshaweka lengo na dhamira ya kuulinda muungano kwa gharama yoyote ile - kama wanavyoisemea "amani".

Hivyo kauli ya "mchawi wa waZanzibari ni waZanzibari wenyewe" ni zuga ya kisiasa. Kama kweli sisi wa bara hatutaki kuhusika na matatizo ya Z'bar, basi tujiweke kando tuwaache waamue mambo yao wenyewe. Tunapomsikia mwenyekiti wa CCM JK akidai "kuhuzunika" kuahirishwa kwa uchaguzi wa "Z'bar" wakati wao walijiandaa kusherehekea "ushindi" si rahisi kuiona mantiki ya mtu kuwanyooshea kidole waZanzibari kwamba mgogoro wao ni "wao pekee" - wasitusumbue. Ina maana CCM hawaoni hiyo mishkeli inayowahusisha wanachama wake wakishirikiana na CUF huko Z'bar? Wao wanajiandaa kusherehekea "ushindi" tu?
Mimi na wewe tuna tofauti katika mitazamo ambayo inajenga hoja.

Wewe una mtazamo wa kichama. Mimi nina mtazamo unaohusu wananchi wote.

Mabadiliko ya Katiba ya Zanzibar yalipigiwa kura na Wazanzibari wote.

Viongozi wakasimama kwenye majukwaa kutuambia Zanzibar ya sasa ni moja ndiyo maana wameamua kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

Wanasiasa wa Tanzania Bara wakawaambia walichokifanya ni kudhoofisha zaidi Muungano kwa sababu wamevunja katiba ya Tanzania.

Wanasiasa za Zanzibar wakasema walichokifanya ni maamuzi yao kwa mustakabali wa taifa lao kwa sababu wamechoka kupangiwa na watu wa Tanzania Bara nini cha kufanya!

What happened?
 
HATA Huku Hatutakuwa Salama, Kwani Kuna Wageni Wengi Mno, Mtaondoka Pia!!! HIYO Ndio Faida Ya UKABURU!! JAJI WARIOBA Ktk RASIMU Yake Ya 2, WALIPENDEKEZA MUUNDO Wa Muungano Wa SERIKALI 3!! ILI Kuacha ZANZIBAR Ifanye Yake Na Tanganyika Yake!!! TUKUTANE Ktk Shirikisho Pekee!!! ZANZIBAR Wafanye UCHAGUZI Wao Wenyewe, Bila Ya Bara Kuwaongoza Na Tanganyika Kadharika!!!! MUAROBAINI Wa Haya Ilikuwa Hilo!!!
Unaushahidi gan kwamba watanganyika wameingilia maamuz ya wazanzibar katika uchaguz kwan akiyefuta uchaguz ni mtanganyika ni nyie kwa nyie ttzo nyie mna kitu upemba na uunguja ndo vinavyowatesa mkiondoa hvyo basi mtaishi kwa amani kabisa
 
Unaushahidi gan kwamba watanganyika wameingilia maamuz ya wazanzibar katika uchaguz kwan akiyefuta uchaguz ni mtanganyika ni nyie kwa nyie ttzo nyie mna kitu upemba na uunguja ndo vinavyowatesa mkiondoa hvyo basi mtaishi kwa amani kabisa
Bora wewe umeongea ukweli!
 
Hili jeshi ni la muungano cha ajabu hakuna mzanzibar aliewahi kuwa mkuu wa majeshi ni watanganyika tuuu.
Wakati wa vita 1978 wapo waliosema kuwa kwa kuwa tanganyika ni kubwa, basi hakuna haja ya kupigania kisehemu alichovamia idi amini kule kagera eti tumwachie badala ya kwenda kufa vitani.
 
Mpaka sijui kama mwenye kuifaham historia ya zanzibar.maana kila mtu anaifaham kwa mtazamo wake. Na imekuwa na utata miaka yote. Anyway la msing john okello aliwasaidia wazanzibar kutoka kwenye utawala wa kishetan uliowatesa na kuwakandamiza. Kuna mambo wazanzibar hujifanya wameshikamana sana nasi wa bara hukaa pemben kuwa check tu. Zanzibar ni nchi mnataka magufuli aingilie afanye nini?aseme nini kama nani?ni kuwaza kwa uvivu.Mambo ya ngoswe aachiwe ngoswe.
 
Ndio maana miye nimekaa kimya kuhusiana na Zanzibar.. baada ya kejeli, na matusi yote waliyowaita Watanganyika leo hii wote wanataka tuwaonee huruma tuingilie kati. Tanganyika imekuwa msaada kwa Wazanzibari kabla hata ya Uhuru, tukasaidia wakati wa Mapinduzi na hata baada ya Muungano lakini sasa imefika mahali na sisi tuanze kuwa fyatu tu kama wao. Na kuna siku ntawafyatukia kweli kweli. Haiwezekani miaka yote mambo ya Zanzibar wanatakiwa Wazanzibari tu ndio wayajadili lakin leo taifa zima tunaambiwa tuingilie kati! Badala ya kutaka Seif atangazwe mshindi waandamane na kudai kweli mamlaka kamili na wasimamie hilo ili vikosi vya JWTZ viondoke na watu wabara waende kule kama wageni wengine tu; tusihangaike na siasa zao...

Nimeanza kufyatuka.. Laawd have mercy!
Kwa kweli inashangaza na kusikitisha sana.

Unafiki na undumila kuwili utazidi kuwatafuna mpaka pale watakaposimama katika ukweli.
 
Kuna watu wanaiona Zanzibar ni kama Koni la Tanganyika, hawa kitendo chochote cha kuwaunganisha na kuwa wamoja wa Zanzibar hukiona kama ukorofi fulani, hawa hufurahi pale ambapo wanzazibari hawaelewani.
Kama hii ndio hoja yako ambayo nadhani niya kufikirika, nani wa kulaumiwa?
 
Mtoa mada huna hoja zaidi ya chuki zako tu kwa wazanzibar,adui wa wazanzibar tayari amekwisha fahamika,leteni majeshi na vifaru mtuuwe sote lakini huku zanzibar haturudi nyuma kudai haki ya maamuzi yetu ya tarehe 25-10-2015 iliyoporwa na mkoloni.
Jenga hoja mkuu
 
Well said....JPM Anaanza anzaje?wakati mliweka solidarity kuwa ZEC ni tume 'huru'hakuna mtu kuingilia.Aaah mi naona mshalikoroga sasa hamna namna mlinywe tu.!!!
Aiseee? Unajua jana kazungumza suala hili? Kumbe alikuwa anawakejeli? Maana walimzuia rais wa jamhuri kutojihusisha na masuala ya zenj lkn kwa sasa wanadai aingilie.

Kwa base ipi sasa? Najaribu kuelewa hapo
 
HIVI Dhumuni La Kuweka Huu UZI Hapa!!!? KWANI Mleta UZI Haujui Kuwa Ni KWELI VIONGOZI Kutoka BARA Ndio Chanzo Cha Mitifuano Kule Visiwani!!!!?? WW Kwa Fikra Zako CCM ZANZIBAR Wanaweza Kuamua Au Kufanya Maamuzi Yoyote Bila Ya CCM Bara Na Taifa Kuridhia!!?? JUU Ya KATIBA Yao Kuifanyia Marekebisho Hiyo Ni Haki Yao Kikatiba, Kwani Zanzibar Ni Nchi, Na Hawakukubali Kuufuta Uzanzibar Na Utaifa Wao!! Hivyo Kufanya Marekebisho Yao Ya Kuunda Serikali Ya Umoja Wa Kitaifa, Si Lazima Ww Wa BARA KUTOA MAONI YAKO!! Wazanzibar Wenyewe NDIO WALIOTAKIWA Kutoa MAONI Yao, Kama WANAKUBALI Au WANAKATAA!! PIA Suala La TUME Huru Ya UCHAGUZI, Ni Suala Zuri La Kulipongeza, Kwani Kwa Muundo Wa Tume Hiyo Ndio Ule Mchezo Mchafu Uliyokuwa Ukidaiwa Kufanyika Na Upande Fulani Umeshindwa Kufanyika 2015!! MATOKEO Yake Wamemtumia Jecha Kufuta MATOKEO Yaliokamilika!!! HIVYO Hilo Kwao Ni Suala Muhimu Na La Kupongezwa!! HUKU BARA Mbona Tumeshindwa Kupata, TUME Walau Hiyo Unayoiponda!!!! SIDHANI Kama Ni UNAFIKI Na UNDUMILAKUWILI!! Bali Ni Moja Ya Hatua Nzuri Ya Kujenga Umoja Wao!! TATIZO Ni WABARA, Ndio Wanaoivuruga Zanzibar, Na Wenyewe Wameshalijua Hilo!!!!
Lkn si wanasema katiba yao iko juu ya sheria yoyote ile? Katiba yao itumike kuwaamua, wakishindwa wasitafte mtu ambaye hayuko kwenye sheria mama yao
 
Mtoa mada huna hoja zaidi ya chuki zako tu kwa wazanzibar,adui wa wazanzibar tayari amekwisha fahamika,leteni majeshi na vifaru mtuuwe sote lakini huku zanzibar haturudi nyuma kudai haki ya maamuzi yetu ya tarehe 25-10-2015 iliyoporwa na mkoloni.
divide and rule
 
Wazanzibar wanafiki swala la uchaguz JPM anahusika swala la mafuta lakwao basi na uchaguz lakwao vile vile wamalizane wenyewe kwanza wakileta za kuleta umeme tutawakatia watumie wakwao kila mtu si nachake
sasa kwann majeshi ya huku bara yanaenda kule ?
 
HIVI Dhumuni La Kuweka Huu UZI Hapa!!!? KWANI Mleta UZI Haujui Kuwa Ni KWELI VIONGOZI Kutoka BARA Ndio Chanzo Cha Mitifuano Kule Visiwani!!!!?? WW Kwa Fikra Zako CCM ZANZIBAR Wanaweza Kuamua Au Kufanya Maamuzi Yoyote Bila Ya CCM Bara Na Taifa Kuridhia!!?? JUU Ya KATIBA Yao Kuifanyia Marekebisho Hiyo Ni Haki Yao Kikatiba, Kwani Zanzibar Ni Nchi, Na Hawakukubali Kuufuta Uzanzibar Na Utaifa Wao!! Hivyo Kufanya Marekebisho Yao Ya Kuunda Serikali Ya Umoja Wa Kitaifa, Si Lazima Ww Wa BARA KUTOA MAONI YAKO!! Wazanzibar Wenyewe NDIO WALIOTAKIWA Kutoa MAONI Yao, Kama WANAKUBALI Au WANAKATAA!! PIA Suala La TUME Huru Ya UCHAGUZI, Ni Suala Zuri La Kulipongeza, Kwani Kwa Muundo Wa Tume Hiyo Ndio Ule Mchezo Mchafu Uliyokuwa Ukidaiwa Kufanyika Na Upande Fulani Umeshindwa Kufanyika 2015!! MATOKEO Yake Wamemtumia Jecha Kufuta MATOKEO Yaliokamilika!!! HIVYO Hilo Kwao Ni Suala Muhimu Na La Kupongezwa!! HUKU BARA Mbona Tumeshindwa Kupata, TUME Walau Hiyo Unayoiponda!!!! SIDHANI Kama Ni UNAFIKI Na UNDUMILAKUWILI!! Bali Ni Moja Ya Hatua Nzuri Ya Kujenga Umoja Wao!! TATIZO Ni WABARA, Ndio Wanaoivuruga Zanzibar, Na Wenyewe Wameshalijua Hilo!!!!
U are great thinker braza, much appreciation to u
 
Suala la uwepo wa majeshi na watumishi mbali mbali Zanzibar ni hoja muflisi kimantiki.

Kuna watumishi na Jeshi la Wananchi waTanzania (JWTZ) katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, kwa nini hujawahi kujiuliza sababu ya wao kuwepo kwenye nchi ya nje na kama ulijiuliza, ulipata jibu gani?

Ni uamuzi wa Wazanzibaribona hilo wanalusema hawataki majeshi ya bara kule kusema rasmi kupitia vyombo vyao vya kisheria kuwa hawataki kuwaona watumishi na Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi nchini mwao.

Kulalamika huku wakiwa ndani ya vyumba vyao vya siri ni kuendeleza unafiki na undumila kuwili ambao nimeujadili kwenye mada.
i
Hakuna anayewazuia Wazanzibari kujiamulia mambo yao ndio maana waliamua kubadilisha Katiba bila kushirikisha nchi ambazo wanaziita ''nchi za nje'' kama Tanzania Bara.
jeshi ya tz nchi congo au nyingine yamepitishwa kuenda kufanya kaz na UNO au AU , sasa majeshi ya TZ bara yamepitishwa na nani ? kwenda kule zenz ?
 
Nyinyi ni wabafiki na mandumi.la kuwili .mamvo ya muungano yalikuwa saba tu wakati wa mzee karume sasa mmeyaengeza mpaka yako 22 .kengo lenu ni kuimeza zanzibar katika koti la muungano .hivi uliwahi kumuona membe wakati wake au huyu mahiga akirudi safari za nje na kutua moja kwa moja zanzibar na kueleza yaliojiri huko alikotuwakikisha? Wakieudi wanarudi dar tu .wakati mambo ya nje ni muungano .huo ni mfano mmoja tu
kaka sio wote watanzania bara ni wanafiki , mi mtanzania bara lakini nakili ukweli nyinyi tunawaonea,ila ndio hivyo dumia haina haki
 
Back
Top Bottom