mkomatembo
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 1,477
- 816
Nakukumbusha kuwa . Kardinali Pengo aliwaasa na kuwaeleza kuwa Maandamano sio njia sahihi ya kudai haki zenu. Ndio maana Chadema wame stop. wanangoja agizo lingine kutoka vatican.
Barubaru?! huyu Kadinali Pengo ndio yule mkuu wa VAtican kanda ya TAnzania anaelalama kuwa ametajwa kwenye list ya wauza madawa ya kulevya? au mwengine?