Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Serikali inapangia watu safari za nje, kazi wanazofanya na vipindi vya TV wanavyoangalia?
Mie siifagilii Big Brother, it is nonsensical. Lakini sifagilii zaidi ukomunisti huu wa serikali kupangia watu maisha yao.
Mkuu, mimi binafsi sina tatizo na watanzania kushiriki kwenye huu ujinga lakini nipo against na suala la mshiriki kubeba bendera ya taifa. Mshiriki akiisha beba bendera ya taifa, maana yake anawakilisha taifa. Sitaki kukumbuka aibu aliyetuletea yule mkurya last year.
Tiba