Wauza smartphone tukutane hapa

iphone 6 16 gb,,tsh 780,000
..iko vizuri sana,,kwa anayehitaji pm ...
DSC_0146.JPG
 
Nauza Nokia Lumia 800,16 gb internal memory,iko poa haina tatizo lolote wala scratches.....bei ni shiling laki mbili na nusu tu/maongezi yapo check me thru 0659697178
 
Wakuu habari zenu. nimekuja tena na tablet aina ya samsung galaxy note 10.1 (2014 edition) yenye internal storage capacity ya GB 32. Mzigo upo katika hali nzuri kabisa na haina tatizo lolote. Mwaka mpya ndo huo unakuja na mifuko imetoboka, kiukweli nna shida sana na hela ya kula bata sikukuu. Hivyo hatimae nimeamua kuuza hii tab yangu pendwa kwa punguzo kubwa la bei, nahitaji shilingi 400,000 tuu (haipungui tena zaidi ya hapo). Ina screen protector, na kwa nyuma bado ina nylon lake. Picha zitafuata hapo chini. Napatikana hapa chuo kikuu cha dar es salaam, na namba zangu za simu ni 0713 925908. Karibuni sana wakuu. Natanguliza shukran
uploadfromtaptalk1483077863459.jpg
uploadfromtaptalk1483077874215.jpg
uploadfromtaptalk1483077884736.jpg
uploadfromtaptalk1483077893223.jpg
uploadfromtaptalk1483077913682.jpg
 
Leeco le pro3
Inauzwa

Storage 32GB
Ram 4GB
Processor Qualcomm 821pro Quad core
Screen 2.5d 1080p resolution
Battery 4070 mAh
Camera 16mp front @8mp rear

850k nataka
nichek kwa namba yangu
0752636738
 
Samsung Galaxy S7 Gold 32GB Original ipo ndani ya 2yrs warranty kutoka Samsung,ni used like brand new bado inapatikana kwa Tshs.b 1.1M tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom