Th los proffcnal
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 584
- 345
HUAWEI Y300,bei 140,000 mimi nilinunua 190,000.
Soral 5 YA STARTIMES 200000
ni mlolongo wa na toleo ya smartphone za samsung ziko njema mno waweza ingia mtandaoni ukapata full version
HUAWEI Y300,bei 140,000 mimi nilinunua 190,000.
bei hiyo ulinunua mwaka gani hata wakati zinatoka hazikuwa bei hiyo.
anyways the price might be resonable depending on the usage duration.
ina muda gani toka itoke dukani?
Aya jamani nina 50,000/= utanipa simu gani inayosapot whatsapp,instagram,viber pia iwe na 3G
Napatikana dar es salaam
Aya jamani nina 50,000/= utanipa simu gani inayosapot whatsapp,instagram,viber pia iwe na 3G
Napatikana dar es salaam
NINA IPHONE 4S,,KAMA UNAIIHITAJI PM ME.....:msela:
Are u serious?
Sana tu,mwenye nayo atanipa kama wewe auna kausha
Mimi sina na nina uhakika hata ya wizi tena ya kichina hutopata