Wauza smartphone tukutane hapa

Nauza Smartphone Lenovo Vibe X S960 bei ni 240000/=
ina sifa zifuatazo
(i) nimetumia miezi miwili tuu tangu niinunue mpya ikiwa mpya kwenye boksi lake with charge
(ii) Haijawahi kufunguliwa kufanyiwa matengenezo
(iii) Haina mchubuko /mkwaruzo hata punye
(iv)iko kwenye hali nzuri nauza cyo kwamba ina hitilafu ya kiufundi NIELEWEKE
(v) Bado screen guard yako kutoka dukani ipo na bado imara
(vi) Ina screen HD


KUMBUKA:Huwezi kuifananisha na Tecno C8 au C9 au Samsung Galaxy S3 Kwa picha au Manunuzi WhatsApp tuu!! 0756 800977 Kunipigia tuongee ni 0654 427142 KARIBU
 
  • kwa sasa elephone p7000 iko kwenye "Pre Sale"
ILA kuna elephone P5000, naona ni bora zaidi upande wa battery ukilinganisha na P7000, Hii simu pia mbadala ya LENOVO P780 - (Simu iliyowahikushika record ya dunia kukaa na chaji kwa muda mrefu zaidi)

Nitakuagizia(kama utahitaji) Elephone P5000 kwa USD 222 hii ikiwa ni pamoja na shipping cost kwa DHL, hivyotegemea kuipata ndani ya siku saba (7)


NB: Kwa mdau yeyote anayehitaji kuagiziwa simu toka nnje ya nchi anaweza kuwasilina nami whatsapp [HASHTAG]#255[/HASHTAG] 784 496 856 KARIBU
Kwa watakao hitaji SIMU moja kwa moja Toka Dubai, USA, UK, CHINA etl
Tumia hii thread www.v.ht/buy4me
asus-padfone-infinity1.jpg

Kwa simu kama
- Lenovo
- Infinity
- Meizu
- Oneplus 3 etl
Ambazo kwa Tanzania huwezi kupata kirahisi.
Basi ingia hapa www.v.ht/buy4me
 
Samsung galaxy note tab 10.1
2gb ram
16gb internal
Wifi + cerullar
330k only
Location dar
Contact 0719094595
1475418770153.jpg
1475418777803.jpg
1475418785523.jpg
1475418794493.jpg
 
Huawei Ascend P8lite Dual Sim 4G Lte
Android 5
Ram 2Gb
Internal 16 Gb
Main Camera 13Mp
front Camera 5 Mp
Slim phone
nicheki hapa
0712350159
nipo Arusha
1475425264353.jpg
1475425275682.jpg
1475425283822.jpg
 
NAUZA SAMSUNG GALAXY TAB 4 SH 200000 TU HAIPUNGUI NIPO DAR ES SALAAM KAMA UTAHITAJI NICHEK PM,,,,,AU WHTSSP KWA NO 0753606603 AU PIGA SIMU 0789451900
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom