concious mind
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 984
- 580
always huwa naamin vijana wa Chadema upeo wao wa kufikiri ni mdogo sana huongozwa na nguvu ya viroba au bangi' hivi hamuoni kuna tofauti kati ya maisha binafsi na maisha ya chama kama taasisi, mahakama ndio yenye uamuzi wa mwisho kama ni kweli au sivyo, tumien busara isiyohitaji hata elimu ya darasa la 2 kufikiri, jiulize kati ya Ccm na chama chenu kipi ni genge la wahuni kama si nyinyi ambao hukutana kwenye Casino yenu kuvuta bangi na kufanya upuuzi wenu wa kuharibu maadili ya watanzania' hamuweI kuwapotosha watanzania
kwa vile unajua ni ngumu shwala hili kufikishwa mahakamani?