Watu. . .

Hiyo roho ya 'UPENDO' mbona hamuwaonyeshi wale wanaouhitaji kweli kama watoto wa mitaani? Wenyewe mnawaona kero. . .waliopendezeshwa na kulishwa vizuri na wazazi/walezi wao ndio mnawaonyesha upendo ambao wanapata wakutosha tayari.

Nwy. . .swala la mtu kutulia linaweza likatokana na mtu kujua kwamba anachohitaji huyo mtoto hakipo pale na ni lazima asubirie kitu kabla hajaondoka. Mf. mtoto anaelia njaa huwezi kumbembeleza tu na "Ohhh ohhhh" anyamaze maana hiyo 'Ohhhhh ohhhhhhh' haiondoi njoo, kwahiyo mtu anachofanya ni kumaliza kinachomuweka pale alafu ndio akaridhishe hitaji/takwa la mtoto.

watoto wa mitaani sio ishu yakuondoa kwa usiku mmoja!..ina maana sio tatizo la muda mfupi...dk au masaa!...
kwa mkasa huo hapo juu ni mdogo sana ukisema uweke kwenye mizani moja na watoto wa mitaani...ni kama KIFO na USINGIZI
...ukiamua kuitafsri kama sio UPENDO pia inaleta maana!...ila naamini katika lile kundi la watu waliokua wanamuuliza labda hiki labda hiki...wengi wana nia njema tu!
na tufike mahali tukubali kuwa WATANZANIA tuna tamaduni zetu...maana hapo tunajikosoa najua tunawarifaa wazungu!...
 
watoto wa mitaani sio ishu yakuondoa kwa usiku mmoja!..ina maana sio tatizo la muda mfupi...dk au masaa!...
kwa mkasa huo hapo juu ni mdogo sana ukisema uweke kwenye mizani moja na watoto wa mitaani...ni kama KIFO na USINGIZI
...ukiamua kuitafsri kama sio UPENDO pia inaleta maana!...ila naamini katika lile kundi la watu waliokua wanamuuliza labda hiki labda hiki...wengi wana nia njema tu!
na tufike mahali tukubali kuwa WATANZANIA tuna tamaduni zetu...maana hapo tunajikosoa najua tunawarifaa wazungu!...

Mbona hua mnawapita wakichomwa na jua bila hata yakuwanunulia maji ya kunywa ila mnajali wanaojaliwa tayari.
 
Mbona hua mnawapita wakichomwa na jua bila hata yakuwanunulia maji ya kunywa ila mnajali wanaojaliwa tayari.

...sio wote, kama ilivyo kwenye mkasa wako ulioyupa hapo juu Mupe...LOL
 
...sio wote, kama ilivyo kwenye mkasa wako!

Naonawatu wakionyesha kukerwa nao all the time. .
Ila ndo hao hao wakikuta waliovaa vizuri, wenye afya zao basi GHAFLA Upendo na HURUMA vinajitokeza.
 
Wengine mtoto anapolia inakuwa kero kwao, wanatoa suluhisho hilo ili waondokane na hiyo kero!
 
Ni huruma tu ya kibinadamu! Ila pia watoto wa kibongo naweza kusema ni walizi hata kama ametoka kupewa chakula dk chache tu ataanza kulia!!!!!
 
Ni huruma tu ya kibinadamu! Ila pia watoto wa kibongo naweza kusema ni walizi hata kama ametoka kupewa chakula dk chache tu ataanza kulia!!!!!

Hiyo huruma mbona hawaonyeshwi wanaoihitaji kweli?

Maana nnavyojua mimi hata ukiwa na katoto kachafu kachafu kanalia hutoona mtu akijileta kuonyesha huruma. Hata ukitembea nae barabarani hutoulizwa "anaitwa nani, ana miaka mingapi" na sifa za "jamani kazuri,kanaonekana katundu" HUTOPATA . Ila kapendezeshe, watu kibao watageuga wasamaria wema na wapenda watoto.
 
Lizzy this is next to IMPOSSIBLE...kila mtu ana mishe zake hapa mjini...huwezi kuwazuia watu kutoka nje!

Si hawataki kelele au?
Sehemu pekee unayoweza kuwa na uhakika ya kutosumbuliwa na kelele ziwe za watoto au watu wazima ni nyumbani kwako. Sehemu nyingine zote hazina uhakika wa 105%.
 
Hiyo huruma mbona hawaonyeshwi wanaoihitaji kweli?

Maana nnavyojua mimi hata ukiwa na katoto kachafu kachafu kanalia hutoona mtu akijileta kuonyesha huruma. Hata ukitembea nae barabarani hutoulizwa "anaitwa nani, ana miaka mingapi" na sifa za "jamani kazuri,kanaonekana katundu" HUTOPATA . Ila kapendezeshe, watu kibao watageuga wasamaria wema na wapenda watoto.

mm nahisi unajiongelea wewe dadangu!...hao wachafu wanapendwa na hao wasafi wengine hatushoboki nao vile vile!..
 
Si hawataki kelele au?
Sehemu pekee unayoweza kuwa na uhakika ya kutosumbuliwa na kelele ziwe za watoto au watu wazima ni nyumbani kwako. Sehemu nyingine zote hazina uhakika wa 105%.

...unahisi ukiwa duniani hilo unalojaribu kuwaza linawezekana??
...na unapotoka hutoki ukiwa unamaanisha kwenda kwenye kelele...unakua uko na mishe zako...hayo yanakua BTW!..
 
...unahisi ukiwa duniani hilo unalojaribu kuwaza linawezekana??
...na unapotoka hutoki ukiwa unamaanisha kwenda kwenye kelele...unakua uko na mishe zako...hayo yanakua BTW!..
Mnajua zipo kwahiyo zitegemeeni.
So mtu anaenda bar/hosp alafu anategemea kutosumbuliwa na kelele ya aina yoyote ile.
 
...kama ni mwanamke makini ataonesha juhudi za kumsaidia mwanae na walioko jirani wataelewa yule mama anaju!
inaboa na kusababisha watu kutoa izo OPTIONS pale unapokuta mtoto analia, mama hana habari...hashtuki wala haoneshi kujali kile kinachoendelea pale (mtoto kulia)...
watanzania pamoja na umaskini wetu, tumeumbwa na roho ya UPENDO!

Dogo leo umeongea ninayoyawaza....
Yah umejitahidi kuongea points sana sijapata ona before....lol
utadhani umeambiwa cha kuandika...
Hongera umehitahidi
 
Dogo leo umeongea ninayoyawaza....
Yah umejitahidi kuongea points sana sijapata ona before....lol
utadhani umeambiwa cha kuandika...
Hingera umehitahidi

kumbe ulikua unichukulia poa eeeh,?mm kama kinyonga bana...nikikuta mmemwaga pumba/shits jamvini...na mm nasasambua zangu!..nikikuta points same thing...
 
kumbe ulikua unichukulia poa eeeh,?mm kama kinyonga bana...nikikuta mmemwaga pumba/shits jamvini...na mm nasasambua zangu!..nikikuta points same thing...
Teh wakati wewe ndio mwanzilishi wa pumba kila siku....
Dah aisee leo sijielewielewi kabsaaaaaaa
 
Teh wakati wewe ndio mwanzilishi wa pumba kila siku....
Dah aisee leo sijielewielewi kabsaaaaaaa

aaah!icho cheo mnanibambikiza...mambo ya husny na mumewe hayo!..
unajisikiaje tena???mkeo nimemuona kwenye uzi mmoja wa teenager!..sijui anatafta nn huko.
 
Umewahi kuwa na mtoto mdogo <---5 sehemu ya public, akawa analia alafu watu kibao wanaopita au waliopo karibu wakaanza kukwambia anachohitaji huyo mtoto (kulala, kula, kubebwa, kucheza) bila kujua kwamba pengine ndio kaamka, kamaliza kula, alianza kulia akiwa mgongoni. .mabegani au mapajani, alikua anacheza n.k?

Je watu wanaofanya hivyo ("jamani mbebe. . Mpakate alale huyo atakua na usingizi tu. . .huyo ni njaa huyoo ndo inayomsumbua" nk ) ndo wanakua wanajali sana watoto? Wanaona watoto wanaonewa? Wanajisikia kumwambia mtu fanya hivi au vile au inakuwaje?

Nimeona sana hii kitu lately sema sijaweza tu kuwauliza wahusika. Yani unaweza ona mtu anainuka kabisa alipokua amekaa akamfuata mtu mwingine aliyeko na mtoto akaanza kumwambia huyo mtoto anachohitaji.

Au yaweza kuwa hata gia ya kutongozea? Maana kuna dada last week alitoka alipokaa (kwenye kijiwe fulani hivi) akamfuata kaka aliyekua amemaliza kula sehemu hiyo na tayari yuko nje anaondoka kumwambia au sijui niseme "KUMUOMBA"(maana alikua anabembeleza) ambebe mtoto aliyekua nae wakati hata hakua analia au anasumbua abebwe.
lizzy hii issue imenichekesha maana nimekumbuka tukio la mama mmoja stend kuwashushua waliokuwa wanamwambia amnyonyeshe mtoto wale aliyekuwa analia, sio siri mi pia huwa naboreka sana mtu kunielekeza kuhusu mtoto wangu
 
aaah!icho cheo mnanibambikiza...mambo ya husny na mumewe hayo!..
unajisikiaje tena???mkeo nimemuona kwenye uzi mmoja wa teenager!..sijui anatafta nn huko.
Dah namuona hapa yuko busy dah hakumbuki hata kulala....teh familia iko busy na JF lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom