Nope...but kwani hii issue has to do with being mhaya??aliniboa....! au wewe ungefurahia mzee..!
mimi hua nawaona kama ni watu ambao wanajitahidi sana kuonesha ustaarabu ila huyu alipoteza hiyo kitu..! akaonyesha kua yeye ni mbovu tu..!
Nope...but kwani hii issue has to do with being mhaya??
now i get the feelings kua kweli jamaa alinidharau..! daaah..! ila kutupa mkono ingekua ni sltn pale kweli..!?
Nope...but kwani hii issue has to do with being mhaya??
kupigana usela wa kizamani.
Wana 4 real humalizana kwa maneno...
Sawasawa?
:lol::lol:hey i hope unawajua hawa watu vizuri..! just think kama ningemfanyia yeye hivyo..! lazima angeongea sana na hata angeamua kuhusisha haya mambo na elimu yangu..! unajua bwana sema hutaki ku admit......!
Kwenye ile nyumba yako ndogo??napita tuu hapa nikifika nitakuambia
Ila haikuwa na haja ya kurusha ngumi wala kugombana nae. Biblia inasema usibishane na mpumbavu, maneno uliyomwambia yanatosha kabisa. Usiwe na muda wa kubishana na wapumbavu kwani na wewe unaweza ukaonekana mpumbavu. Mimi pia ningemwambia tu sio fresh, halafu naachana nae. Huyo ungemkariri sura tu, Mungu mkubwa kuna siku atakukuta sehemu halafu mkumbushe au atakukumbuka yeye mwenyewe!