Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Uje na zawadi ya kunituliza nisije nikakimbia nyumbani na kuhamia kwa Mentor!
Aaah dada, kwangu kwako, kwako kwangu...huhitaji kumtisha, akileta wenge mteme tu!
Uje na zawadi ya kunituliza nisije nikakimbia nyumbani na kuhamia kwa Mentor!
Hahahahhah....dah hii imesimama!Ngoja nifanye mpango wa kutoa single moja ya Kichagga!Maana NIMEKUBALI!!Alafu hivi ule wimbo wa Raphael uliishiga wapi?!Nautafutaga mpaka basi..!
Rejao.............................Kuna mtu ukimtaja tu unakula ban. Ngoja nijinyamazie
Wakati nasoma praimare skuli mwalimu wangu alinambia hiyo red eti ni chizi.........unataka kukimbilia kwa chizi...........
Hizo siasa za kunipiga dongo mimi umpate dadangu hazifui dafu hapa mangi!!!!
Mara ngapi umeniambia yakuniambia?!Usije sema sijakwambia.....
Naona online hamna kabisa hii kitu...!hahaha...duh! umenikumbusha mbali aisee...massawee alikuwepoo! duh..dem gud old days..
Pia kuigeuza iwe ya malalamiko hakukubaliki!Nachukizwa na tabia za kugeuza thread ya mtu kama ndio chart room, huu ni utoto na haukubaliki naomba mjiheshimu wenyewe.
Invisible
Nikiambiwa nithibitishe, nitafanya hivyo.
Pia kuigeuza iwe ya malalamiko hakukubaliki!
Pia kuigeuza iwe ya malalamiko hakukubaliki!
Sasa kwanini hukupeleka malalamiko yako kwenye JUKWAA LA MALALAMIKO wakati unajua kule ndo kunafaa?!Lipo Jukwaa la malalamiko na ipo option ya chart na kuna option ya Private message, huu usharbaro wenu hamishieni kwenye chart au kwenye Pm.Respect yourself.
hahahaaaa huyu anabishana na JF nzima@NYC :music:
Hahaha....Duh, dada...hata mimi imebidi nikubali majibu yako. Ndo maana Babu akakuita mbishi...
ubishi ni hulka ya mtu .hata hapa jf wapo watu wa aina hiyo..
wataje..