LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
mkuu wangu mimi nilinyamaza ili aje mtu mwingine athibitishe....asante sana...
Mkubwa wangu! Huyu Rejao nakwambia Mi ningekuwa na uweza wa kukutana naye face to face hakika ningekuwa na la kumwambia. Huyu tuna hasara naye humu jamvini Kamanda wangu!