mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Kuna mtu wanataka kumnyang'anya uwakili wampe urais wa Tanganyika anaitwa MwabukusiRais wa Tanganyika anaitwa nani!!
Bunge la Tanganyika liko wapi?
Katiba ya Tanganyika iko wapi?
Kuna mtu wanataka kumnyang'anya uwakili wampe urais wa Tanganyika anaitwa MwabukusiRais wa Tanganyika anaitwa nani!!
Bunge la Tanganyika liko wapi?
Katiba ya Tanganyika iko wapi?
Ulitakaje?Mbona una kimbelembele?
hakuna uchochezi hapo. Hao wameamka kutoka usingizini. Hata hivyo hata chama cha wanasheria kinaitwa "Tanganyika Law Society"Habarini Watanzania,
Kama umeitembelea Arusha siku za karibuni utagundua kuwa baadhi ya wananchi hasa wilaya ya Arumeru wanatumia jina la nchi kama Tanganyika na sio Tanzania.
Kinachoshangaza wanatumia katika mabango ya matangazo ya biashara na mengine ya utambulisho na yapo barabarani kabisa.
Hili inamaanisha nini? Je halichochei kuvunjika kwa Muungano kana kwamba Wananchi hao hawaitambui Zanzibar?
MFANO: Pale Tengeru kuna ubao mkubwa pembezoni mwa barabara kuu umeandikwa "KITUO CHA KUOSHEA KAROTI TANGANYIKA"
Sehemu nyingine katika duka la Pembejeo za kilimo pameandikwa:
.........AGROVET
S.L.P ....
ARUSHA, TANGANYIKA
Sasa hako ka kituo cha karoti wew unateseka tu nini wakati huku bara kuna wilaya imepewa kabisa jina tanganyika kule kwa mzee pinda pamoja na vijiji na mashirika kibao acha ulimbukeni watu wawe huru na nchi yao. Kwa kuongezea hivi unajua kirefu cha TLS chama cha wale wanasheria wasomiHabarini Watanzania,
Kama umeitembelea Arusha siku za karibuni utagundua kuwa baadhi ya wananchi hasa wilaya ya Arumeru wanatumia jina la nchi kama Tanganyika na sio Tanzania.
Kinachoshangaza wanatumia katika mabango ya matangazo ya biashara na mengine ya utambulisho na yapo barabarani kabisa.
Hili inamaanisha nini? Je halichochei kuvunjika kwa Muungano kana kwamba Wananchi hao hawaitambui Zanzibar?
MFANO: Pale Tengeru kuna ubao mkubwa pembezoni mwa barabara kuu umeandikwa "KITUO CHA KUOSHEA KAROTI TANGANYIKA"
Sehemu nyingine katika duka la Pembejeo za kilimo pameandikwa:
.........AGROVET
S.L.P ....
ARUSHA, TANGANYIKA
Wasaliti....Habarini Watanzania,
Kama umeitembelea Arusha siku za karibuni utagundua kuwa baadhi ya wananchi hasa wilaya ya Arumeru wanatumia jina la nchi kama Tanganyika na sio Tanzania.
Kinachoshangaza wanatumia katika mabango ya matangazo ya biashara na mengine ya utambulisho na yapo barabarani kabisa.
Hili inamaanisha nini? Je halichochei kuvunjika kwa Muungano kana kwamba Wananchi hao hawaitambui Zanzibar?
MFANO: Pale Tengeru kuna ubao mkubwa pembezoni mwa barabara kuu umeandikwa "KITUO CHA KUOSHEA KAROTI TANGANYIKA"
Sehemu nyingine katika duka la Pembejeo za kilimo pameandikwa:
.........AGROVET
S.L.P ....
ARUSHA, TANGANYIKA
kule katabi kwa mzee pindaSijui, ipo Mkoa gani?
Ipo mkoa wa KataviSijui, ipo Mkoa gani?
mtazoea ikipakwa mafutaJina baya...😂
Jina baya kwako Mkuu, kwa wengine ni zuriJina baya...
Mkataa kwao...Jina baya...😂
Tanganyika itapatikana tu, mdogo mdogoHabarini Watanzania,
Kama umeitembelea Arusha siku za karibuni utagundua kuwa baadhi ya wananchi hasa wilaya ya Arumeru wanatumia jina la nchi kama Tanganyika na sio Tanzania.
Kinachoshangaza wanatumia katika mabango ya matangazo ya biashara na mengine ya utambulisho na yapo barabarani kabisa.
Hili inamaanisha nini? Je halichochei kuvunjika kwa Muungano kana kwamba Wananchi hao hawaitambui Zanzibar?
MFANO: Pale Tengeru kuna ubao mkubwa pembezoni mwa barabara kuu umeandikwa "KITUO CHA KUOSHEA KAROTI TANGANYIKA"
Sehemu nyingine katika duka la Pembejeo za kilimo pameandikwa:
.........AGROVET
S.L.P ....
ARUSHA, TANGANYIKA
Ukitukuta kwny mitandao utadhani tuko seriousTanganyika .
Sasa tume anza kujitambua .
Kuna kibao kimeandikwa Kituo cha Polisi Magugu, Manyara , Tanganyika
Tanganyika isipokuwepo, hakuna Tanzania. Jina Tanzania ni muunganiko wa herufi tatu za kutoka kila upande, Tanganyika na Zanzibar.Habarini Watanzania,
Kama umeitembelea Arusha siku za karibuni utagundua kuwa baadhi ya wananchi hasa wilaya ya Arumeru wanatumia jina la nchi kama Tanganyika na sio Tanzania.
Kinachoshangaza wanatumia katika mabango ya matangazo ya biashara na mengine ya utambulisho na yapo barabarani kabisa.
Hili inamaanisha nini? Je halichochei kuvunjika kwa Muungano kana kwamba Wananchi hao hawaitambui Zanzibar?
MFANO: Pale Tengeru kuna ubao mkubwa pembezoni mwa barabara kuu umeandikwa "KITUO CHA KUOSHEA KAROTI TANGANYIKA"
Sehemu nyingine katika duka la Pembejeo za kilimo pameandikwa:
.........AGROVET
S.L.P ....
ARUSHA, TANGANYIKA
we km siyo shoga utakuja kuwa shoga.Habarini Watanzania,
Kama umeitembelea Arusha siku za karibuni utagundua kuwa baadhi ya wananchi hasa wilaya ya Arumeru wanatumia jina la nchi kama Tanganyika na sio Tanzania.
Kinachoshangaza wanatumia katika mabango ya matangazo ya biashara na mengine ya utambulisho na yapo barabarani kabisa.
Hili inamaanisha nini? Je halichochei kuvunjika kwa Muungano kana kwamba Wananchi hao hawaitambui Zanzibar?
MFANO: Pale Tengeru kuna ubao mkubwa pembezoni mwa barabara kuu umeandikwa "KITUO CHA KUOSHEA KAROTI TANGANYIKA"
Sehemu nyingine katika duka la Pembejeo za kilimo pameandikwa:
.........AGROVET
S.L.P ....
ARUSHA, TANGANYIKA
Huo muungano ulikuwa wa Nyerere na karume sidhani kama unatuhusu watu wa Arusha, Tanganyika.Habarini Watanzania,
Kama umeitembelea Arusha siku za karibuni utagundua kuwa baadhi ya wananchi hasa wilaya ya Arumeru wanatumia jina la nchi kama Tanganyika na sio Tanzania.
Kinachoshangaza wanatumia katika mabango ya matangazo ya biashara na mengine ya utambulisho na yapo barabarani kabisa.
Hili inamaanisha nini? Je halichochei kuvunjika kwa Muungano kana kwamba Wananchi hao hawaitambui Zanzibar?
MFANO: Pale Tengeru kuna ubao mkubwa pembezoni mwa barabara kuu umeandikwa "KITUO CHA KUOSHEA KAROTI TANGANYIKA"
Sehemu nyingine katika duka la Pembejeo za kilimo pameandikwa:
.........AGROVET
S.L.P ....
ARUSHA, TANGANYIKA