Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
chanzo cha habari???????????????/
lokisa soma thread kwa makini. Tanzania daima is the source as far as the thead is concerned.
chanzo cha habari???????????????/
Wilaya ya Magu ina majimbo mawili, jimbo la Magu ambalo mbunge wake ni Dr. Limbu na jimbo la Busega ambalo mbunge wake ni Dr. Kamani.
Waacheni wavuane magamba kisawasawa ..huko kwetu kuna nyoka mmoja anaitwa Olunyambabi,huyu nyoka inaaminika akikua huvua gamba lake na kuwa mkali zaidi na hata jina hubadilika na kuitwa Enkolantima,haya ndo magamba ya ccm wanavua moja na sumu inaongezeka maradufu mara Iringa wanajiua,mara wanatafutana kuuana...kaaaaaaazi kweeeeli kweeli,ccm ni Enkolantima
chanzo cha habari???????????????/