Nicodemas Tambo Mwikozi
JF-Expert Member
- Aug 13, 2016
- 663
- 1,047
Hakuna ajuaye kesho tuwe na akiba ya maneno
kiaje kiongoz fanya kazi acha majungu ...................
Hii ndio kazi yanguFanya kazi acha propaganda uchwara.Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo ki.laza
Mkwepa kodi hii mliishika saaana kwasasa hamuwezi sema kuna watoto wa vigogo UKAWAUnaacha kufanya kazi umekalia majungu tu
Hebu kaangalie vizuri ule uzi, utakuta wote tulichangia sawa, mimi wakati huo nilikuwa naingia kama visitorMkwepa kodi hii mliishika saaana kwasasa hamuwezi sema kuna watoto wa vigogo UKAWA
Hii kwa sasa ni ya moto kama kuchukua fomu ya uenyekiti chadema hii ni kosa la USALITIHe he he he wakija kuongea kuhusu hii
Nahama nchi
Nimekupata mkuu ....Hebu kaangalie vizuri ule uzi, utakuta wote tulichangia sawa, mimi wakati huo nilikuwa naingia kama visitor
Fanya kazi acha propaganda uchwara.Hii inaonyesha jinsi gani ulivyo ki.laza
Njoo pm nikupe noticeHujaeleweka mkuu na sijakuelewa maana sijui ukawa imehusilaje hapo?
Hivi wewe ni Mtoto wa mitaani au wa wapi?
Ila majungu na fitina ni dhambi mkuu. Wenzako wapo kazini wanatafuta ugali wa jioni wewe upo nyuma ya keynboard ya simu ya techno unaleta majungu. Fanya kazi kijana achana na siasa uchwara.Hii ndio kazi yangu