Ha ha ha ha mbona wewe upo hapa kwenye kasimu kako ka NokiaIla majungu na fitina ni dhambi mkuu. Wenzako wapo kazini wanatafuta ugali wa jioni wewe upo nyuma ya keynboard ya simu ya techno unaleta majungu. Fanya kazi kijana achana na siasa uchwara.
Nipo hapa kama great thinker na sio mkali majungu na mchumia tumbo kama wewe.Ha ha ha ha mbona wewe upo hapa kwenye kasimu kako ka Nokia
Ukijiita hivyo newton ajiitajeNipo hapa kama great thinker na sio mkali majungu na mchumia tumbo kama wewe.
Sibishani na mtu mwenye hoja mfu. Wewe sio saizi yangu nenda kawaite kaka zeko wakusaidie kama kina lizaboni,jingalao,wakudadavua,Ritz et al.Ukijiita hivyo newton ajiitaje
Acha mashauzi
Mimi naonaga wanaoishabikia ccm ni wapumbafuIla kiukweli,, wakati mwingine huwa nahisi watu wanaoishabikia UKAWA ni kama wajinga wajinga fulani hivi!