Ila it's true na ubaya wa watanzania ni kwamba hawapendi kuambiwa ukweli kwa sababu inawagusa. I would say 98% yetu tuko incompetent.
98% unaelewa maana yake ? Msipende kujidhalilisha. Maisha ya hawa 98% yanaendeshwa na nano kama wao ni incompetent. Au kizungu kinakutinga mkuu? 98% incompetent????
Ok. Mie na rafiki zangu na jamaa zangu tupo kwenye hiyo 2% sina shida mkuuYes, 98% incompetent including rais wetu....kwani kuna shida au hutaki ukweli na wewe?