Watanzania wekeni uzalendo mbele tarehe 11/03/2011 mkampokee Prof Lipumba

Tuache ushabiki wa kisiasa Prof Lipumba ni kichwa cha Uchumi Tanzania tunashindwa kumtumia. Umoja wa Mataifa wanamtumia Kuboresha Uchumi wa Nchi kubwa Duniani wakati Tanzania ni Maskini na Uchumi wetu ni Duni. Ipo haja ya kuweka mjadala wa Kitaifa kwa ajili ya kuwatumia Wataalamu wetu kwa manufaa ya ustawi wa Taifa letu. Prof Lipumba amelikosea nini Taifa hili mpaka linashindwa kumtumia? Tunaomba makosa yake yawekwe wazi.Ni aibu kubwa wataalamu wetu wanasaidia nchi nyingine wakati sisi ni maskini wa kutupwa. Kwa kipaji alichokuwa nacho Prof Lipuimba nadiriki kusema ni Rais Bora ambaye kura Hazitoshi kwa ajili ya kulisaidia Taifa hili,nawashauri Watanzania wenzangu tumtumie Prof Lipumba ainue uchumi wa Nchi yetu tuondokane na umaskini.
 
Atafikia Msikiti gani?

Kutoka kwa Yesu: “Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi,
akasali:” (Biblia, Mathayo 26:39) Kutoka kwa Musa:
“Kisha Musa
akainama mbio
kuelekea chini na
kusali” (Kutoka 34:8
Biblia) Kutoka kwa Musa na
Haruni: “Musa na
Haruni wakaenda
kutoka katika Kanisa
mbele ya mlango wa
hema na wakapiga nyuso zao
chini” (Biblia, kitabu
cha Hesabu 20:06) Kutoka kwa Ibrahimu: “Kisha Ibrahimu akaanguka chini kwenye uso wake ...” (Biblia, Mwanzo 17:03) Kutoka kwa Yoshua:
“Kisha Yoshua
akaanguka chini
kwenye ardhi juu ya
uso wake na
akainama ...” ( Yoshua 5:14 Biblia) Kutoka kwa Ezra na watu wake: “Na wakapiga magoti wakamwabudu
Bwana kwa uso kwenye ardhi “ (Nehemia 8:06 Biblia)
“Popote
mnapokutana
kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi” (Biblia 1 Timotheo 2:08) “Eliya akainama chini ya ardhi na akainamisha uso wake kati ya magoti yake” (Ya kwanza Wafalme 18:42 Biblia) “Na Bwana akasema na Musa, akamwambia:”
Nenda mbali na mkutano huu, nami baada ya muda nitawaangamiza “. Kisha wakapiga magoti juu ya nyuso zao. “(Biblia ya nne Musa 16:44-45)
 
Hongera sana prof Lipumba,serikali mtumpieni vzr huyu mtaalamu, wenzetu wananufaika nae lakini tz inamaana hatumuoni?
 
Sikubaliani na hoja ya kwenda kumpokea ila nakubali kuwa jamaa ni kichwa cha uchumi sana, ingekua vyema kama angepata chance ya kuwa mshauri wa nchi kwa habari ya uchumi
 
Karibu nyumbani Professa bingwa na nguli wa uchumi katika sayari hii. Achana na chama cha wapemba ujenge jina kama prof shivji,si unaona Baregu na wewe siasa inashusha hadhi yenu,taifa la watu wa hovyo hovyo kama hili haliwez kukuchagua wewe na kumuacha mcheza mdundiko wa kikwele kwa kuwa ndo wanafanana nae mawazo!
 
Sikubaliani na hoja ya kwenda kumpokea ila nakubali kuwa jamaa ni kichwa cha uchumi sana, ingekua vyema kama angepata chance ya kuwa mshauri wa nchi kwa habari ya uchumi
anapokelewa matumla au mwisho mwampamba kwanini asipate heshima yake
 
Back
Top Bottom