Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Well done mr prof, sasa rudi ukafundishe vijana achana na siasa hazina manufaa yeyote.
Mkuu mimi nitaenda kumpokea. Nadhani kwa sasa hana itikadi ya kichama. Kama watu hujitokeza kwenda kuwapokea washiriki wa Big Btother (akina Bhoke) kwa nini tusimpokee huyu ambaye ameonyesha kwamba TZ kuna vichwa?
watanzania mnahimizwa na kuombwa kwenda kumpokea profesa ibrahimu lipumba alieiwakilisha vyema tanzania.katika maswala ya uchumi wakidunia akiongoza zaidi ya maprofesa 100 nitunu ya watanzania
watanzania mnahimizwa na kuombwa kwenda kumpokea profesa ibrahimu lipumba alieiwakilisha vyema tanzania.katika maswala ya uchumi wakidunia akiongoza zaidi ya maprofesa 100 nitunu ya watanzania
Atafikia Msikiti gani?
Atafikia Msikiti gani?
Atafikia Msikiti gani?
Ndo anakuja kuhudhuria mazishi ya CUF ??
Ndo anakuja kuhudhuria mazishi ya CUF ??
watanzania mnahimizwa na kuombwa kwenda kumpokea profesa ibrahimu lipumba alieiwakilisha vyema tanzania.katika maswala ya uchumi wakidunia akiongoza zaidi ya maprofesa 100 nitunu ya watanzania
Unauhakika gani kama huyo ni CHADEMA au CHADEMA inakuwasha kwenye njia ya haja kubwa?kama kawaida ya CDM wao na miskiti mbali mbali kabisa. just wait 2015 ndo utajua umuhimu wa miskiti... C**T
Karibu nyumbani Professa bingwa na nguli wa uchumi katika sayari hii. Achana na chama cha wapemba ujenge jina kama prof shivji,si unaona Baregu na wewe siasa inashusha hadhi yenu,taifa la watu wa hovyo hovyo kama hili haliwez kukuchagua wewe na kumuacha mcheza mdundiko wa kikwele kwa kuwa ndo wanafanana nae mawazo!
Atafikia Msikiti gani?
Nina mashaka na uwezo wa kufikiri wa baadhi ya wanaJF. Siamini kama thread hii nayo inageuka kuwa ya kidini!
watanzania mnahimizwa na kuombwa kwenda kumpokea profesa ibrahimu lipumba alieiwakilisha vyema tanzania.katika maswala ya uchumi wakidunia akiongoza zaidi ya maprofesa 100 nitunu ya watanzania
Acha ujinga wewe yani unataka kutuambia yeye ndiye bingwa wa uchumi duniani? Katoa mchango gani na kwa nchi ipi ambao niwa kukumbukwa na umemfanya kuwa bingwa kidunia? Hivi huna habari kuna mbongo mwenzetu ni mtu nyeti sana kwenye tafiti za NASA na wala hafahamiki hapa kwakuwa hana mchango wowote kwa nchi yetu ila kwa hao wamarekani? Kuwa kichwa sio issue maana vichwa wapo wengi tu ila mchango wako kwa maendeleo ya jamii ndio issue na wala si zaidi ya hapo.hata uchukie jamaa class ingine bongo hakuna wakufananisha hata dunia