Watanzania Wawili wakamatwa South Africa na Madawa

hawa mabinti wamejirahisi sana... hizo poweder wala si zake, ni kutumika kijinga, si ajabu hata hakujua kabeba nini

wacha wanyooshwe labda wataacha
 
Huo mzigo wa madawa ni mkubwa sana haiwezekani uwe wake peke yake lazima kuna mtu nyuma yake
Lol, pole bibie, mnapenda maisha ya raha bila kuhangaika ona sasa unaenda kuishia jela
 
Wameshaharibu wabongo siku nyingi tu, trip za Australia walizianza tangu mwaka 1998 kutokea Cape Town, na at the same time soko la mauritius likajulikana mwaka huo huo, hicho kilikuwa ni kipindi cha quick money ndio kilichosababisha vijana wengi kupotoka kudhani South Africa kuna pesa rahisi.

Maana ilikuwa kila mtu anayerudi Tanzania hakuna anayerudi kwa ndege kila mtu anarudi huku anasukuma mkoko wake wa ukweli.

hii mambo ya kuzamia south ilikuwa ndo michezo ya watoto wa Tanga, 1996 nikiwa primary school kule Tanga na washikaji zangu Alex Mwacha(R.I.P) huyu alipigwa shaba alikufa, wakina musa kidundo,na ally Kitogo tulijaribu bahati yetu ya kwenda huko south ila daah yalinishinda nikarudia njiani(Maputo) ninachofahamu Alex alipigwa shaba na maaskari na kufa, hao wengine mpaka leo hatuna habari zao kabisa
 
Hivi huo mzigo uliwezaje kupita hapo JKNIA pasipo kugundulika, kilo 150 ni nyingi atii ni kama mifuko mitatu ya simenti...unless hicho kipimo kisiwe kilogramu
 
Mpambanaji sio mtegemezi for sure(miss independent),nmetokea ku fall in love tangia nisikie hii issue,No body is perfect-Get rich or die trying,hili dili lingejipa angekuwa mbali sana kifedha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hii mambo ya kuzamia south ilikuwa ndo michezo ya watoto wa Tanga, 1996 nikiwa primary school kule Tanga na washikaji zangu Alex Mwacha(R.I.P) huyu alipigwa shaba alikufa, wakina musa kidundo,na ally Kitogo tulijaribu bahati yetu ya kwenda huko south ila daah yalinishinda nikarudia njiani(Maputo) ninachofahamu Alex alipigwa shaba na maaskari na kufa, hao wengine mpaka leo hatuna habari zao kabisa
Tatizo kubwa Watanzania hawako well informed, nakuhurumia sana, hiyo njia ya Mozambique ni mateso matupu kama ulikwenda kwa barabara, na wengi waliokuwa wanapita huko walikuwa hawana viza za kuingia South Africa walikuwa wanategemea kwenda kuruka fence, maana South mpaka wao wote umezungushiwa fence.

Ulipaswa uwe na Viza then safari yako kwa barabara ingekuwa hivi....

Dar to Lusaka to Harare to Beitbridge border to Johanessburg.

The question is who is your host? if the answer you don't have, then how much do you have to pay for your accommodation and daily nourishment? at least for one month.

Hizo ndio basic plan kwa safari.
 
hawa wajasiria mali hawa we waacheni tu, wamefanya umalayaaaaaa wameona haulipi wameangukia ngada, sawa tu
 
Tatizo kubwa Watanzania hawako well informed, nakuhurumia sana, hiyo njia ya Mozambique ni mateso matupu kama ulikwenda kwa barabara, na wengi waliokuwa wanapita huko walikuwa hawana viza za kuingia South Africa walikuwa wanategemea kwenda kuruka fence, maana South mpaka wao wote umezungushiwa fence.

Ulipaswa uwe na Viza then safari yako kwa barabara ingekuwa hivi....

Dar to Lusaka to Harare to Beitbridge border to Johanessburg.

The question is who is your host? if the answer you don't have, then how much do you have to pay for your accommodation and daily nourishment? at least for one month.

Hizo ndio basic plan kwa safari.

That was back in 1996 dude, now i can go anywhere i want!! u don't need to tuition me the abc of travelling!!
 
Pole zao warembo kutoka haraka ndio matokeo yake hayo wadogo sana na maisha yataishia jela ila wangesema wametumwa na nani huo mzigo c wao huo ndio ukweli.
 
Kati ya hawa kuna mdada huwa anacheza kama cideo queen,katika video za kibongo najua hata kosa anaitwaga masogange mtanaambia
 
Back
Top Bottom