Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,002
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu umechanganyikiwa au mbona unaita watanzania wote hao si asilimia chache tu
I will differ with you Mzee MKJJ kwa hilo.
Tatizo si kuamka bali elimu finyu ya matumizi ya barabara kwa pande zote , Serikali na wananchi.
Pita pale Kunduchi na utakuta shoulder zote aidha magari yamepark au wananchi wanauza machungwa au zinakaangwa chips.
Kwa hiyo mtembea kwa miguu anashindana na gari kutumia barabara, at his/her own risk
Mabega ya barabara ni kwa matumis=zi ya watembea kwa miguu au emergency na si vinginevyo-enforcement ya hili halifanyiki!
Suluhisho SI KUWEKA MATUTA. Kwa akili nyepesi basi pasingekuwepo haja ya kujenga barabara pale kama matumizi yake ni kwa waenda kwa miguu tu.
Udhaifu huu mkubwa unaoneka sehemu nyingi nchini huku watu wakidhani pale baranbarani ni sitting room-elimu inahitajika hapo.Gari hata likienda kwa 5km/hr bado ltakukanyaga na kufa.
Ni hapa nchini tu ambapo elimu ya matumizi ya barabara ni finyu sana.
Naomba kuwasilisha
Kwa kiasi kwamba matuta sio suluhisho nakubaliana nawe kabisa, yenyewe si salama. Tuta lilitaka kunidondosha njia panda mikoani kwa sababu mengi hayana tahadhari, unashtukia vuuuup, hilo hapo, ukilazimisha breki noma, ukilivaa na moto noma. Nakubali pia, mwendo mdogo unaweza kuua.I will differ with you Mzee MKJJ kwa hilo.
Tatizo si kuamka bali elimu finyu ya matumizi ya barabara kwa pande zote , Serikali na wananchi.
Pita pale Kunduchi na utakuta shoulder zote aidha magari yamepark au wananchi wanauza machungwa au zinakaangwa chips.
Kwa hiyo mtembea kwa miguu anashindana na gari kutumia barabara, at his/her own risk
Mabega ya barabara ni kwa matumis=zi ya watembea kwa miguu au emergency na si vinginevyo-enforcement ya hili halifanyiki!
Suluhisho SI KUWEKA MATUTA. Kwa akili nyepesi basi pasingekuwepo haja ya kujenga barabara pale kama matumizi yake ni kwa waenda kwa miguu tu.
Udhaifu huu mkubwa unaoneka sehemu nyingi nchini huku watu wakidhani pale baranbarani ni sitting room-elimu inahitajika hapo.Gari hata likienda kwa 5km/hr bado ltakukanyaga na kufa.
Ni hapa nchini tu ambapo elimu ya matumizi ya barabara ni finyu sana.
Naomba kuwasilisha
Mkuu, pamoja na kuwalaumu watembea kwa miguu kwamba hawajui matumizi ya barabara, mi naona tatizo KUBWA pia liko kwa madereva kwa magari. Madereva wetu wengi hawamjali kabisa mtembea kwa miguu awe amekosea alama za barabara au hata anapokuwa sahihi. Wenye magari wanajiona sana kwamba wao ni wao tu wakiwa kwenye magari yao. Hata mahali palipo na alama za punda milia barabarani ambapo ni sehemu maalum ya mtembea kwa miguu kupita /ku -cross tena si kwa kukumbia bali kwa kutembea, utakuta wenye magari hawasimami sehemu hizo wanakwenda tu tena kwa kasi. Ukiona dereva anasimama kuwapisha watembea kwa miguu wapite ujue trafiki yuko hapo karibu vinginevo jamaa yuko km 60 au 80 kwa saa. Je, kwa mwendo huo dereva ataacha kukanyaga watu?I will differ with you Mzee MKJJ kwa hilo.
Tatizo si kuamka bali elimu finyu ya matumizi ya barabara kwa pande zote , Serikali na wananchi.
Pita pale Kunduchi na utakuta shoulder zote aidha magari yamepark au wananchi wanauza machungwa au zinakaangwa chips.
Kwa hiyo mtembea kwa miguu anashindana na gari kutumia barabara, at his/her own risk
Mabega ya barabara ni kwa matumis=zi ya watembea kwa miguu au emergency na si vinginevyo-enforcement ya hili halifanyiki!
Suluhisho SI KUWEKA MATUTA. Kwa akili nyepesi basi pasingekuwepo haja ya kujenga barabara pale kama matumizi yake ni kwa waenda kwa miguu tu.
Udhaifu huu mkubwa unaoneka sehemu nyingi nchini huku watu wakidhani pale baranbarani ni sitting room-elimu inahitajika hapo.Gari hata likienda kwa 5km/hr bado ltakukanyaga na kufa.
Ni hapa nchini tu ambapo elimu ya matumizi ya barabara ni finyu sana.
Naomba kuwasilisha
I will differ with you Mzee MKJJ kwa hilo.
Tatizo si kuamka bali elimu finyu ya matumizi ya barabara kwa pande zote , Serikali na wananchi.
Pita pale Kunduchi na utakuta shoulder zote aidha magari yamepark au wananchi wanauza machungwa au zinakaangwa chips.
Kwa hiyo mtembea kwa miguu anashindana na gari kutumia barabara, at his/her own risk
Mabega ya barabara ni kwa matumis=zi ya watembea kwa miguu au emergency na si vinginevyo-enforcement ya hili halifanyiki!
Suluhisho SI KUWEKA MATUTA. Kwa akili nyepesi basi pasingekuwepo haja ya kujenga barabara pale kama matumizi yake ni kwa waenda kwa miguu tu.
Udhaifu huu mkubwa unaoneka sehemu nyingi nchini huku watu wakidhani pale baranbarani ni sitting room-elimu inahitajika hapo.Gari hata likienda kwa 5km/hr bado ltakukanyaga na kufa.
Ni hapa nchini tu ambapo elimu ya matumizi ya barabara ni finyu sana.
Naomba kuwasilisha
Bongo yapo matuta kutulazimisha madereva kusimama au kupunguza kasi kwa nguvu tadhani hatuna akili na utashi. Ni ukweli usiopingika Ulaya kwa mfano madreva wangekuwa kama sisi huku sijui kungekuwa na ajali ngapi: kwanza kuna magari mengi kama utitiri, pili msongamano wa watu ni mkubwa sana. Lakini kuna usalama mkubwa kuliko hapa kwetu, japo sisi magari yetu huwezi kuyalinganisha kwa wingi na yale ya London, au Paris, au Berlin. Lakini ajali kila kukicha. Aibu yetu. Mpaka tuwekewe matuta????Kweli Bongo kuna shida. Tatizo huwa linaongezewa tatizo bila kutatua tatizo. Ni kweli usalama wa raia ni muhimu na usafiri ni muhimu vile vile. Swala la kulaumu madreva angali waendaeo kwa miguu hawajali magari si haki. Ndio kuua sio haki na kudhara magari sio haki vile vile. Naona kutatua tatizo hapo ni, mipaka ya barabara izingatiwe na kuheshimiwa. Watu wasiingilie kwa kujenga, kufanyia biashara au shughuli nyingine mbali na usafirishaji.
Aliyesema nchi zilizoendelea huheshimu waendao kwa miguu hata kama wamekosea si kweli. Tazama nchi nyingi hakuna matuta. Ni hapa bongo tuu. Endapo utaingia highway kwa kukosea hapo ndipo mwisho wako na kusababisha wingi wa ajali ambazo hazikutarajiwa.
Tafadhali tuheshiane na kutii wajibu wetu.
Mungu ibariki Tanzania
Kweli Bongo kuna shida. Tatizo huwa linaongezewa tatizo bila kutatua tatizo. Ni kweli usalama wa raia ni muhimu na usafiri ni muhimu vile vile. Swala la kulaumu madreva angali waendaeo kwa miguu hawajali magari si haki. Ndio kuua sio haki na kudhara magari sio haki vile vile. Naona kutatua tatizo hapo ni, mipaka ya barabara izingatiwe na kuheshimiwa. Watu wasiingilie kwa kujenga, kufanyia biashara au shughuli nyingine mbali na usafirishaji.
Aliyesema nchi zilizoendelea huheshimu waendao kwa miguu hata kama wamekosea si kweli. Tazama nchi nyingi hakuna matuta. Ni hapa bongo tuu. Endapo utaingia highway kwa kukosea hapo ndipo mwisho wako na kusababisha wingi wa ajali ambazo hazikutarajiwa.
Tafadhali tuheshiane na kutii wajibu wetu.
Mungu ibariki Tanzania
Ebo! Sasa viongozi wa serikali wanapofikiri walichaguliwa ili wavae suti na kusafiri huku wakisahau wananchi waliowapa madaraka unafikiria ni nini matokeo yake? Mwanakijiji ashabikie au asishabikie hataweza kubadilisha hali halisi! Ni juu ya hao viongozi kuzuia hii hali kwa kutimiza wajibu wake. Na kama wewe ni mwandishi wa habari inabidi ubadilike... uache kuhongwa fedha ili upindishe ukweli kwa manufaa ya hao wasanii wanaofikiria urais ni kusafiri na ku-enjoy!!!Kaka Mwanakijiji huu ni uamsho chanya na kamwe hatupaswi kuushabikia. Hapa sio kuwa watanzania wanatambua haki yao bali ni dalili za utamaduni wa kutoheshimu sheria na dola ambao ni hatari kwa jamii yoyote ile. Hizi ni dalili mbaya kwa upande wa watawaliwa na watawala kwa pamoja na hauna faida kwa yeyote yule.
omarilyas
WKUU,
Mimi bado narudi katika ELIMU ya matumizi sahihi ya barabara,
Nalipongeza gazeti la NIPASHE toleo la leo 23/07/2010 kwa tahriri yake ya kuelezea tatizo linaloikabili jamii juu ya matumizi bora ya barabara zetu.
Usipoitumia barabara vizuri ni kichocheo cha KIFO na ulemavu wa maisha.
Nanukuu NIPAHE(leo 23/07/2010
"KWA UPANDE MWINGINE WANANCHI(JAMII) IMEBWETEKA SANA, WATU HAWAJALI JUU YA MATUMIZI BORANA SAHIHI YA BARABARA;SHERIA ZINATIZAMA ZAIDI MADEREVA WAWAJIBIKE HATA PALE UZEMBE WA WAZI UNAPOKUWA NI WATUMIAJI WENGINE WA BARABARA.
KUTOKUWEPO KWA UTARATIBU WA KUWAWAJIBISHA WANANCHI, KUMEKUWA NI KICHOCHEO CHA BAADHIYAO KUPUUZA KANUNU NA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI......."
Ndugu zangu kama nilivyosema hapo awali, watu wanauza machungwa, nguo, kwenye kingo za barabara ,wengine wamegeuza kuwa maegesho ya malori au magari.
Hivyo hakuna mahali pa emergency itokeapo hitilafu ya gari au chombo cha moto.
Sasa hivi wengi hili tunaliona kama ni jambo la kawaida, polisi au mgambo wakiwakamata watu hao ,tunasikia kila aina ya utetezi.
Sasa ajali zimeanza kuua watu kwa sababu wanshindania kutembea kati kati ya barabara kwa kukosa sehemu ya kupita ukingoni.
Hii inatokea hapa Tanzania tu(na pengine nchi nyingine za dunia ta 3)
Serikali iwe na ukali wa kusimamia matumizi sahihi ya barabara na wananchi inabidi waendelee kuelimishwa juu ya hilo.
Kaka Mwanakijiji huu ni uamsho chanya na kamwe hatupaswi kuushabikia. Hapa sio kuwa watanzania wanatambua haki yao bali ni dalili za utamaduni wa kutoheshimu sheria na dola ambao ni hatari kwa jamii yoyote ile. Hizi ni dalili mbaya kwa upande wa watawaliwa na watawala kwa pamoja na hauna faida kwa yeyote yule.
omarilyas
guess what.. a day after the confrontation:
THEIR voices have been heard! Labourers cut a portion of Kunduchi Beach Road in Dar es Salaam to put up a hump on Thursday morning following Wednesday's accident involving a mini bus which killed one pupil of Mtakuja Primary School and injured a schoolmate. The pupils complained bitterly. (Photo by Robert Okanda)
I will differ with you Mzee MKJJ kwa hilo.
Tatizo si kuamka bali elimu finyu ya matumizi ya barabara kwa pande zote , Serikali na wananchi.
Pita pale Kunduchi na utakuta shoulder zote aidha magari yamepark au wananchi wanauza machungwa au zinakaangwa chips.
Kwa hiyo mtembea kwa miguu anashindana na gari kutumia barabara, at his/her own risk
Mabega ya barabara ni kwa matumis=zi ya watembea kwa miguu au emergency na si vinginevyo-enforcement ya hili halifanyiki!
Suluhisho SI KUWEKA MATUTA. Kwa akili nyepesi basi pasingekuwepo haja ya kujenga barabara pale kama matumizi yake ni kwa waenda kwa miguu tu.
Udhaifu huu mkubwa unaoneka sehemu nyingi nchini huku watu wakidhani pale baranbarani ni sitting room-elimu inahitajika hapo.Gari hata likienda kwa 5km/hr bado ltakukanyaga na kufa.
Ni hapa nchini tu ambapo elimu ya matumizi ya barabara ni finyu sana.
Naomba kuwasilisha