Watanzania wameanza kuamka - Risasi zapigwa, wanachi waimba "tunataka tunataka"!

Lole Gwakisa,

Kwenye Traffic Engineering, unatakiwa KUWALAZIMISHA Madereva wafuate sheria na WATEMBEA KWA MIGUU pia kuwalazimisha wafuate sheria. Utafanya nini ili wafuate sheria, hapo inakuja sasa kazi kwa hao Wahandisi na vyombo vya kulinda sheria na usalama. Zipo njia nyingi sana za kufanya hivyo, ukiacha MATUTA.

Katika hivyo, sijawahi kusikia KUTUMIA mabomu ya machozi au bunduki..........

Sehemu yoyote iliyo na watu/wanafunzi/watoto, wewe kama dereva unatakiwa kupunguza mwendo na kuwa mangalifu sana hata kama hamna kibao. Hili analifahamu kila dereva aliyeenda shule na kupata licence yake ya kuendesha kihalali.
 
a pedestrian hit by a car doing 40mph has only 15% chance of surviving while if hit by a car at 30mph chances increase to 55% and the chance increase to 90% if hit be a car doing 20mph........Speed Kills,we need to slow down the cars by any means matuta or whatever.......
source:Department of Transport,UK
 
Lole Gwakisa,

Kwenye Traffic Engineering, unatakiwa KUWALAZIMISHA Madereva wafuate sheria na WATEMBEA KWA MIGUU pia kuwalazimisha wafuate sheria. Utafanya nini ili wafuate sheria, hapo inakuja sasa kazi kwa hao Wahandisi na vyombo vya kulinda sheria na usalama. Zipo njia nyingi sana za kufanya hivyo, ukiacha MATUTA.

Katika hivyo, sijawahi kusikia KUTUMIA mabomu ya machozi au bunduki..........

Sehemu yoyote iliyo na watu/wanafunzi/watoto, wewe kama dereva unatakiwa kupunguza mwendo na kuwa mangalifu sana hata kama hamna kibao. Hili analifahamu kila dereva aliyeenda shule na kupata licence yake ya kuendesha kihalali.

Sikonge , nakubaliana na wewe kabisa juu ya wadau wote wanao tumia barabara kufuata sheria.
Hili la Kunduchi limeturudisha nyuma ili tufanye a crutical observation ya matumizi ya barabara zetu.
Tusisahau kuwa karibu miaka 10-12 iliyopita hapo Kunduchi Mtongani palikuwa na barabara za wasi wasi hadio zilipotengenezwa na serikali hadiBahari Beach,Kaburi la Sherrif na Silver Sands(ikiwa ni pamoja na barabara ya White Sands)
Mahali notorious ni pale Kunduchi ambapo kuna ushindani mkubwa wa jinsi ya kuitumia barabara hiyo katika jamii.
Sehemu kama hiyo hapa Dar es salaam ni nyingi mno na kwa mfano tu hebu tembelea Kawe,Manzese,Mtaa wa Congo(sijui kama hiyo bado ni barabara au open market), Tandika kituoni,Mbagala,Ukonga Banana,Tegeta,Ilala Uwanja wa Karume.
Sehemu hizi na nyinginezo ni confusion tupu.Barabara inapoishia ndo mwanzo wa "biashara huria".
Kwa maoni tu inaelekea kuna udhaifu wa kusanifu sehemu kama hizo ili kupunguza muingiliano wa traffic na shughuli za jamii.Nchi nyingine huwa hata wana elevate barabara ili kuzuia kabisa muingiliano kama huu.

Kilichotokea pale Kunduchi is a break down of law and order kutokana na wananchi kuchukizwa na vifo vya watoto wale, na response ya serikali ilikuwa kama ilivyokuwa, mabomu na FFU.
Sasa hapo si tena suala la Polisi wa Traffic! maana limeshavuka mipaka.

Matukio kama haya yataendelea kuisumbua jamii ikiwa kama sehemu nilzozitaja zitaendelea kuleta vifo visivyo na ulazima.
Serikali kwa upande wake wa Miundo Mbinu iziangalie kwa umakini wa kutoa elimu kwa watumiaji barabara na kuboresha miundo mbinu ya sehemu hizo ili kuondoa kabisa shughuli za kibinadamu karibu na magari yaendayo kasi
 
Hivi ni nani msimamizi wa barabara za mikoani? Je, ni nani msimamizi wa barabara kuu?
 
http://blogs.lasvegasnow.com/traffic/files/2008/09/schoolspeed.jpg http://blogs.lasvegasnow.com/traffic/files/2008/09/schoolspeed.jpghttp://blogs.lasvegasnow.com/traffic/files/2008/09/schoolspeed.jpg

Tatizo la ajali za barabarani halitakwisha kamwe bila kubadilisha mfumo mzima wa utendaji kazi wa wahusika wa mambo ya usalama barabarani. Yaliyotokea Kunduchi Mtongani ndio yanayaotokea kila siku kwemye barabara za mikoani. Mamia ya Watanzania wamefariki, wamekuwa vilema wa kudumu, na wameacha wajane na watoto ambao labda sasa hivi hawana mbele wala nyuma. Bila kuwa na mkakati madhubuti wa kitaifa na wenye meno makali (NIDHAMU) ambao utawahusisha Wizara ya Mambo ya ndani (Traffic Police, Rushwa na leseni), Wizara ya Miundo Mbinu (Ujenzi wa barabara), na Wizara ya Fedha? (Bima za magari) hili tatizo halitatatuliwa kamwe, na wananchi wataendelea kufa bila sababu yoyote.
Nidhamu na kuthamini maisha ya binadamu ndicho kinachokosekana nchini mwetu, kwamba even one death is unacceptable! Hivyo basi, inabidi mambo yaanze kwenye utowaji wa leseni. Vipi unampa mtu leseni ya kuendesha gari ya abiria bila hata ya brush course ya wiki mbili? Kama ilivyosemwa hapo juu, makonda wanajifunza magari usiku, baada ya wiki wanapata leseni za kuhonga. Sasa huyu mtu unategemea athamini maisha ya binadamu au kujuwa anachokifanya barabarani kweli? I don't think so!
Ujenzi wa barabara na miundombinu mingine pia ni muhimu sana kwenye hili suala. Barabara zetu ni nyembamba sana jamani kulinganishwa ukuwaji miji yetu na ongezeko la wananchi. Wakina KARUMANZIRA wanaingia mjini kila siku, lakini serikali yetu bado inajenga barabara kwa kufuata sensa za miaka ya 80's. Hatutafika mbali hata kidogo. Hapa kuna suala la Warning Traffic Signs katika maeneo ya shule na Playgrounds za watoto, ambazo pia ziwe zinaambatana na speed limit, kwa kawaida ni 25-30 km/h na alama kama vile Speed kills! Ili kuwaonya madereva.
Mashirika ya Bima nayo yanatakiwa yahusishwe kwenye hili tatizo kama wanavyofanya nchi zilizoendelea. Kila unapofanya ajali, bima charges zinaonaongezeka. Hili linachangia sana kuwatia akili madereva na wenye magari wanapokuwa barabarani. Pia sheria ziongezwe ukali, ikiwezekana kuwafungia leseni repeat offenders (Hello Rushwa!).
Laini kiboko yao ni EDICATION!!! Kama wanavyosema kule ambako mtembea kwa miguu ni mfalme, “All the best efforts of engineering and planning will be lost if the pedestrian is unaware of the safe routes and safe practices.” Wananchi pia wanatakiwa kujuwa jinsi ya kutumia barabara; ni wapi pa kuvuka na kuacha wazi sehemu za watembea kwa miguu :A S angry:.

 
guess what.. a day after the confrontation:

07_10_31zmxx.jpg
THEIR voices have been heard! Labourers cut a portion of Kunduchi Beach Road in Dar es Salaam to put up a hump on Thursday morning following Wednesday’s accident involving a mini bus which killed one pupil of Mtakuja Primary School and injured a schoolmate. The pupils complained bitterly. (Photo by Robert Okanda)
..Kinachonikera ni tabia ya viongozi kuchukua hatua kukabili tatizo mpaka pale kunapotokea maafa. Juzi serikali imetangaza kununua boti ya kisasa kwa ajili ya kuvusha wanafunzi mto rufiji eti kuondoa adha na hatari ya wanafunzi kupoteza maisha kwa kutumia vimitumbwi. Wamesubiri mpaka wale wanafunzi 9 wamekufa ndio wanazungumzia kununua boti leo?? na hawa nao wanaweka matuta baada ya watu kupoteza maisha...wanachezea roho za watu hawa....:doh::doh:
 
Back
Top Bottom