SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,780
- 3,401
Acheni uwongo mbona mi nafanya sehemu mojawapo hapo Katie ya TRA naBOT sitaki Kuitaja ni ipi nafanyia kazi na nimeajiriwa karibu mwaka sasa na sikushikwa mkono na mtu yoyote nanilishafanya usahili sehemu nyingi tu na nilikua siitwi nami nikawa na hisia izo izo..lakini ajabu nikaitwa huko