Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
acha kulalamika, ajira zinatangazwa wenzako wanaomba wanapata ajira we unakataa kuomba kwa hisia potofu kuwa watu wamekwishaajiriwa utabaki unachonga saaana wenzako wanapeta na vigezo vyao
Una sound like umeajiriwa kwa kimemo,changia mada wacha mineno mingi!