Watanzania tunataka bunge la aina gani? Tujadili

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,223
22,299
Binafsi nakubaliana 100% kwamba bunge ni muhimu kwenye kuisimamia serikali kwa mujibu wa katiba ila siridhishwi na jinsi lilivyo kwa sasa. Mimi maoni yangu kuhusu bunge ni kama ifuatavyo;

1. Viti maalum vibaki vile 10 vya Rais tu. Hivi vingine vifutwe.

2. Majimbo yapunguzwe. Majimbo 264 ni mzigo kwenye huu ulimwengu wa kidigitali. Kama ni uwalikilishi wanatosha hata wanne kwa mkoa mzima. Kimsingi kwa sasa kuna watu mitandaoni wanawakilisha matatizo mengi kuliko hata wawakilishi wanaolipwa kwa kodi zetu. Mtu kama Malisa anafaa kuitwa mwakilishi wa wananchi.

3. Wabunge wawe na elimu kuanzia degree. Bunge ni chombo cha kutunga sheria ambacho kwa sasa kimejaa wabunge wengi wasio na uwezo wowote hata wa kusoma miswada ya kisheria wakaielewa vya kutosha. Tuwaondoe bungeni wabunge wenye elimu duni. Hawa wanachangia kupitishwa kwa sheria kandamizi.

4. Spika wa bunge asiwe mbunge au mwanachama wa chama chochote. Agombee hiyo nafasi toka nje ya bunge.

5. Mishahara na stahili zingine zipunguzwe kwa 50%.

Wewe una maoni gani?
 
Binafsi nakubaliana 100% kwamba bunge ni muhimu kwenye kuisimamia serikali kwa mujibu wa katiba ila siridhishwi na jinsi lilivyo kwa sasa. Mimi maoni yangu kuhusu bunge ni kama ifuatavyo;

1. Viti maalum vibaki vile 10 vya Rais tu. Hivi vingine vifutwe...
Wabunge wote wachaguliwe kwa kura za wananchi, huo ndio msingi wa ubunge.

Ubunge wa viti maalum na wa kuteuliwa wa nini na wa kumuwakilisha nani?
 
Binafsi nakubaliana 100% kwamba bunge ni muhimu kwenye kuisimamia serikali kwa mujibu wa katiba ila siridhishwi na jinsi lilivyo kwa sasa. Mimi maoni yangu kuhusu bunge ni kama ifuatavyo;

1. Viti maalum vibaki vile 10 vya Rais tu. Hivi vingine vifutwe.
Naunga mkono hoja Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?
4. Spika wa bunge asiwe mbunge au mwanachama wa chama chochote. Agombee hiyo nafasi toka nje ya bunge.

Wewe una maoni gani?
Naunga mkono hoja, tena kwa kuongezea, Spika wetu lazima awe mwanasheria! Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria?
P
 
Mkuu nakushukuru sana.
Angalau leo umeanzisha thread yenye maana. Mawazo mengi uliyowakilisha ni kama umechukuwa kichwani kwangu. Sehemu ambayo sikubaliani na wewe ni hiyo ya uteuzi wa rais tu. Raia asiwe na uwezo wa kuteua wabunge. Kuhusu elimu nakubaliana na wewe na iwekwe shseria kuwa siyo kuwa na degree tu abali kujua kiswahili na kiingereza kwa ufahasa. Hivyo basi wagombea wote walazimishwe kufanya mtihani kama wa GRE ili kuchuja vilaza walionunua vyeti.
 
Nataka bunge dogo lenye wabunge wasiozidi 50, elimu yao shahada na kuendelea. Ndiyo! Usishangae, sijakosea namba, namaanisha 50.

Watapatikana vipi hawa? Kila mkoa utoe mbunge 1. Hapo tutakuwa na wabunge 36. Halafu 14 wawe viti maalumu (wanawake).

Haiwezekani donakatri zinakuwa na wabunge 80 halafu sisi tuna wabunge 395. Are we serious??
 
Binafsi nakubaliana 100% kwamba bunge ni muhimu kwenye kuisimamia serikali kwa mujibu wa katiba ila siridhishwi na jinsi lilivyo kwa sasa. Mimi maoni yangu kuhusu bunge ni kama ifuatavyo;

1. Viti maalum vibaki vile 10 vya Rais tu. Hivi vingine vifutwe.

2. Majimbo yapunguzwe. Majimbo 264 ni mzigo kwenye huu ulimwengu wa kidigitali. Kama ni uwalikilishi wanatosha hata wanne kwa mkoa mzima. Kimsingi kwa sasa kuna watu mitandaoni wanawakilisha matatizo mengi kuliko hata wawakilishi wanaolipwa kwa kodi zetu. Mtu kama Malisa anafaa kuitwa mwakilishi wa wananchi.

3. Wabunge wawe na elimu kuanzia degree. Bunge ni chombo cha kutunga sheria ambacho kwa sasa kimejaa wabunge wengi wasio na uwezo wowote hata wa kusoma miswada ya kisheria wakaielewa vya kutosha. Tuwaondoe bungeni wabunge wenye elimu duni. Hawa wanachangia kupitishwa kwa sheria kandamizi.

4. Spika wa bunge asiwe mbunge au mwanachama wa chama chochote. Agombee hiyo nafasi toka nje ya bunge.

5. Mishahara na stahili zingine zipunguzwe kwa 50%.

Wewe una maoni gani?
Kimsingi huna mawazo mabaya, ila kabla ya haya mapendekezo ya cdm ulikuwa unaona ni sawa bunge kuwa lilivyo, Ili mradi limejaza wanaccm bila kujali wamepataje ubunge wao.

Hilo la wabunge kuwa na elimu ya juu Ili kuwa na uelewa mpana, tulilipendekeza hadi kwenye rasimu ya Warioba. Ila ccm walichezea matakwa yale ya wananchi kwenye bunge la katiba, na kusema sifa ya mbunge iwe kujua kusoma na kuandika tu. Na hukuwahi kukataa uhuni ule maana ulifanywa na ccm. Hata hivyo, tupe tija ya michango ya wabunge wenye degree humo bungeni, mbona wote hupitisha hata mambo ya kipuuzi?

Hilo la spika kutokuwa mwanachama wa chama chochote Cha siasa ni jambo jema, lakini kwa katiba hii hakuna uwezakano asiwe mwanaccm, maana Rais amefanywa Mungu Kila mtu anamteua yeye hata nyuma ya pazia.

Huko kupunguzwa kwa mishahara na stahili zingine za wabunge kwa 50% tuko pamoja. Lakini hatujawahi kuona ukikataa waziwazi uhuni uliopitishwa na ccm juzi wa kulipa wenza wa wastaafu, Sasa uchungu wako sijui unatoka wapi.
 
Angalau leo umeanzisha thread yenye maana. Mawazo mengi uliyowakilisha ni kama umechukuwa kichwani kwangu. Sehemu ambayo sikubaliani na wewe ni hiyo ya uteuzi wa rais tu. Raia asiwe na uwezo wa kuteua wabunge. Kuhusu elimu nakubaliana na wewe na iwekwe shseria kuwa siyo kuwa na degree tu abali kujua kiswahili na kiingereza kwa ufahasa. Hivyo basi wagombea wote walazimishwe kufanya mtihani kama wa GRE ili kuchuja vilaza walionunua vyeti.
Mimi huwa nyuzi zangu zote ni za maana.
 
Kimsingi huna mawazo mabaya, ila kabla ya haya mapendekezo ya cdm ulikuwa unaona ni sawa bunge kuwa lilivyo, Ili mradi limejaza wanaccm bila kujali wamepataje ubunge wao.

Hilo la wabunge kuwa na elimu ya juu Ili kuwa na uelewa mpana, tulilipendekeza hadi kwenye rasimu ya Warioba. Ila ccm walichezea matakwa yale ya wananchi kwenye bunge la katiba, na kusema sifa ya mbunge iwe kujua kusoma na kuandika tu. Na hukuwahi kukataa uhuni ule maana ulifanywa na ccm. Hata hivyo, tupe tija ya michango ya wabunge wenye degree humo bungeni, mbona wote hupitisha hata mambo ya kipuuzi?

Hilo la spika kutokuwa mwanachama wa chama chochote Cha siasa ni jambo jema, lakini kwa katiba hii hakuna uwezakano asiwe mwanaccm, maana Rais amefanywa Mungu Kila mtu anamteua yeye hata nyuma ya pazia.

Huko kupunguzwa kwa mishahara na stahili zingine za wabunge kwa 50% tuko pamoja. Lakini hatujawahi kuona ukikataa waziwazi uhuni uliopitishwa na ccm juzi wa kulipa wenza wa wastaafu, Sasa uchungu wako sijui unatoka wapi.
Ndugu Tindo siku mojamoja jaribu kuziweka kando tofauti zetu za kiitikadi ili uwe na mawazo huru. Ukichangia huku unamuwaza mleta mada utaharibu kila kitu.
 
Binafsi nakubaliana 100% kwamba bunge ni muhimu kwenye kuisimamia serikali kwa mujibu wa katiba ila siridhishwi na jinsi lilivyo kwa sasa. Mimi maoni yangu kuhusu bunge ni kama ifuatavyo;

1. Viti maalum vibaki vile 10 vya Rais tu. Hivi vingine vifutwe.
Naunga Mkono Hoja!
2. Majimbo yapunguzwe. Majimbo 264 ni mzigo kwenye huu ulimwengu wa kidigitali. Kama ni uwalikilishi wanatosha hata wanne kwa mkoa mzima. Kimsingi kwa sasa kuna watu mitandaoni wanawakilisha matatizo mengi kuliko hata wawakilishi wanaolipwa kwa kodi zetu. Mtu kama Malisa anafaa kuitwa mwakilishi wa wananchi.
Naunga mkono Hoja ila kwa Majimbo Manne kwa Mkoa sikubalini nayo Mayb tufanye Yawe kila wilaya litoe mbunge mmoja
3. Wabunge wawe na elimu kuanzia degree. Bunge ni chombo cha kutunga sheria ambacho kwa sasa kimejaa wabunge wengi wasio na uwezo wowote hata wa kusoma miswada ya kisheria wakaielewa vya kutosha. Tuwaondoe bungeni wabunge wenye elimu duni. Hawa wanachangia kupitishwa kwa sheria kandamizi.
Naunga mkp hoja
4. Spika wa bunge asiwe mbunge au mwanachama wa chama chochote. Agombee hiyo nafasi toka nje ya bunge.
Naunga Mkono hoja..

na napendekeza Waziri Asitokane na wabunge pia..
na wala asichaguliwe na Rais Iwepo kamati maalumu ambayo itachaguliwa na Bunge iwe kama ni kamati Ya uchaguzi wa Mawaziri na baada ya kamati hiyo kuteuliwa..
itaanza kazi mara moja na Kamati hiyo ihusishe wataalamu wa Kila sector

uchaguzi wa Mawaziri utafanywa na Kamati Ya hiyo kwa uwazi kabisa baada ya Watu Kupeleka maombi kulingana na sifa zao..

na ningependekeza Baada ya Majina kuchaguliwa kabla ya kupelekwa kwa Rais yatapitiwa na Bunge kwa ajili ya uhakiki na kupitishwa...

5. Mishahara na stahili zingine zipunguzwe kwa 50%.

Wewe una maoni gani?
Mbunge alipwe mshahara sawa sawa na Elimu yake au kama Mkuu wa Idara tu wa Taasisi au Sawa na Mkurugenzi wa Wilaya..

Naongezea kuwa Endapo kuna Mkurugenzi wa Wilaya vyeo.kama Das Na Mkuu wa wilaya sidhani kama vina tija..

Na tukiwa na Mfumo kama wa Kenya na Marekani ni mfumo mzuri sna wa uongozi
 
Binafsi nakubaliana 100% kwamba bunge ni muhimu kwenye kuisimamia serikali kwa mujibu wa katiba ila siridhishwi na jinsi lilivyo kwa sasa. Mimi maoni yangu kuhusu bunge ni kama ifuatavyo;

1. Viti maalum vibaki vile 10 vya Rais tu. Hivi vingine vifutwe.

2. Majimbo yapunguzwe. Majimbo 264 ni mzigo kwenye huu ulimwengu wa kidigitali. Kama ni uwalikilishi wanatosha hata wanne kwa mkoa mzima. Kimsingi kwa sasa kuna watu mitandaoni wanawakilisha matatizo mengi kuliko hata wawakilishi wanaolipwa kwa kodi zetu. Mtu kama Malisa anafaa kuitwa mwakilishi wa wananchi.

3. Wabunge wawe na elimu kuanzia degree. Bunge ni chombo cha kutunga sheria ambacho kwa sasa kimejaa wabunge wengi wasio na uwezo wowote hata wa kusoma miswada ya kisheria wakaielewa vya kutosha. Tuwaondoe bungeni wabunge wenye elimu duni. Hawa wanachangia kupitishwa kwa sheria kandamizi.

4. Spika wa bunge asiwe mbunge au mwanachama wa chama chochote. Agombee hiyo nafasi toka nje ya bunge.

5. Mishahara na stahili zingine zipunguzwe kwa 50%.

Wewe una maoni gani?
Waondoe viti maalum huu ni mapango wa wasomi wajinga wasio na huruma kwa walipa kodi,nchi masikini bado unaweka wabunge viti maalum lukuki,pia nataman bunge liwe na wapinzani wengi zaidi kuliko wa ccm ,hii italisaidia sn taifa na pia spika atatoka upinzani na miswada ya hovyo kupita itakuwa mwisho,pia ningetaman bunge lifanyiwe marekebisho makubwa ktk kanuni zake ambazo nyingi zimepitwa na wakati ,
 
Binafsi nakubaliana 100% kwamba bunge ni muhimu kwenye kuisimamia serikali kwa mujibu wa katiba ila siridhishwi na jinsi lilivyo kwa sasa. Mimi maoni yangu kuhusu bunge ni kama ifuatavyo;

1. Viti maalum vibaki vile 10 vya Rais tu. Hivi vingine vifutwe.

2. Majimbo yapunguzwe. Majimbo 264 ni mzigo kwenye huu ulimwengu wa kidigitali. Kama ni uwalikilishi wanatosha hata wanne kwa mkoa mzima. Kimsingi kwa sasa kuna watu mitandaoni wanawakilisha matatizo mengi kuliko hata wawakilishi wanaolipwa kwa kodi zetu. Mtu kama Malisa anafaa kuitwa mwakilishi wa wananchi.

3. Wabunge wawe na elimu kuanzia degree. Bunge ni chombo cha kutunga sheria ambacho kwa sasa kimejaa wabunge wengi wasio na uwezo wowote hata wa kusoma miswada ya kisheria wakaielewa vya kutosha. Tuwaondoe bungeni wabunge wenye elimu duni. Hawa wanachangia kupitishwa kwa sheria kandamizi.

4. Spika wa bunge asiwe mbunge au mwanachama wa chama chochote. Agombee hiyo nafasi toka nje ya bunge.

5. Mishahara na stahili zingine zipunguzwe kwa 50%.

Wewe una maoni gani?
Hata viti 10 vya rais ni kosa kubwa ...kwani hao walishindwa nini kugombea kama wengine rais anazo nafasi nyingi za kiteuzi anaweza kuteua huko.
 
Binafsi nakubaliana 100% kwamba bunge ni muhimu kwenye kuisimamia serikali kwa mujibu wa katiba ila siridhishwi na jinsi lilivyo kwa sasa. Mimi maoni yangu kuhusu bunge ni kama ifuatavyo;

1. Viti maalum vibaki vile 10 vya Rais tu. Hivi vingine vifutwe.

2. Majimbo yapunguzwe. Majimbo 264 ni mzigo kwenye huu ulimwengu wa kidigitali. Kama ni uwalikilishi wanatosha hata wanne kwa mkoa mzima. Kimsingi kwa sasa kuna watu mitandaoni wanawakilisha matatizo mengi kuliko hata wawakilishi wanaolipwa kwa kodi zetu. Mtu kama Malisa anafaa kuitwa mwakilishi wa wananchi.

3. Wabunge wawe na elimu kuanzia degree. Bunge ni chombo cha kutunga sheria ambacho kwa sasa kimejaa wabunge wengi wasio na uwezo wowote hata wa kusoma miswada ya kisheria wakaielewa vya kutosha. Tuwaondoe bungeni wabunge wenye elimu duni. Hawa wanachangia kupitishwa kwa sheria kandamizi.

4. Spika wa bunge asiwe mbunge au mwanachama wa chama chochote. Agombee hiyo nafasi toka nje ya bunge.

5. Mishahara na stahili zingine zipunguzwe kwa 50%.

Wewe una maoni gani?

Viti maalumu vipungue
Kuwe na qualification ya ubunge , sio kusoma na kuandika hatuko tena zama za uhuru. Tuna wasomi wengi sikuizi. Degree na master kwa uwaziri.
 
Back
Top Bottom