Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,838
- 21,292
Nasomesha chuo cha afya lakini kwa uzi huu nalazimika kubuni ujenzi wa hospitali ndogo despensary ili akitoka huko ajiajiri tu kwa upepo ulivyo, maana unatisha.
Sijasoma school of bussiness mmWe jamaa ulielewa vzr somo la supply na demand? Unapingaje wakati kiuhakisia ndo iko ivo? Wenye kuajiri hawana mpango wa kuajiri ,we mwenye kutegemea kuajiriwa unalizimisha kwamba kuna uhitaji.
Ajabu hata hapendekezi kozi za kusoma.Sasa tusome Nini sasa
Mkuu nje ya mada kidogo, vipi unampenda sana Mo Music ee!?Wakuu,nimejitahidi kusoma ushauri wenu hapo juu nimeona una maana, sasa nina swali, je mimi niliyosoma Art O level mpaka A level ninaweza kusomea drilling ? Lengo ni kufanya kazi migodini, au hata kwenye ma project hayo mfano SGR, kwa hapa Mwanza chuo gani nitapata ?
Nataka niweke hii degree pembeni nisome vitu kama machine operator, naombeni ushauri wa chuo hasa hapa Mwanza
Ufugaji wa nyuki na ulinaji wa asali. Ama ufugaji wa mende na wadudu wa aina hiyoSasa tusome Nini sasa
Hapana kabisa,napenda idea/story ya wimbo wake huoMkuu nje ya mada kidogo, vipi unampenda sana Mo Music ee!?
Hayo ma course ni mpaka veta mkuu kaulizie veta mwanza utapata msaadaWakuu,nimejitahidi kusoma ushauri wenu hapo juu nimeona una maana, sasa nina swali, je mimi niliyosoma Art O level mpaka A level ninaweza kusomea drilling ? Lengo ni kufanya kazi migodini, au hata kwenye ma project hayo mfano SGR, kwa hapa Mwanza chuo gani nitapata ?
Nataka niweke hii degree pembeni nisome vitu kama machine operator, naombeni ushauri wa chuo hasa hapa Mwanza
Operator wa machine nadhani ni wewe tu usomee au upate nafasi mahali ya kujifunzaWakuu,nimejitahidi kusoma ushauri wenu hapo juu nimeona una maana, sasa nina swali, je mimi niliyosoma Art O level mpaka A level ninaweza kusomea drilling ? Lengo ni kufanya kazi migodini, au hata kwenye ma project hayo mfano SGR, kwa hapa Mwanza chuo gani nitapata ?
Nataka niweke hii degree pembeni nisome vitu kama machine operator, naombeni ushauri wa chuo hasa hapa Mwanza
Sawa Mkuu basi siku nyingine ukipenda boga penda na ua lake. 😂😂Hapana kabisa,napenda idea/story ya wimbo wake huo
Boga pekee nalopenda na ua lake ni kajala Masanja😃Sawa Mkuu basi siku nyingine ukipenda boga penda na ua lake. 😂😂
Sasa tusome Nini sasa
Hyo yote n kwasababu ya kukosa muongozo pnd tunapokua masomoni tunaona yote sawa tu ilimrad nyumban wanajua tupo chuo kikuu mwsho wa siku inabd turud vijiweni tu na muda wote tuliopoteza ni sawa na bure mm nawaza niende tena veta nikajifunze ufundi
Watu wote wakiwa mainjinia sijui itakuajeMechanical engineering.
Electrical engineering.
Civil Engineering.
Highway Engineering.
Telecom and electronics engineering.
Mining engineering.
Textile engineering.
Aircraft maintenance engineering.
Marine engineering.
Aeronatic Engineering.
Automation engineering.
Robotics engineering.
Reliabilty engineering.
Space engineering.
Drilling engineering.
Petroleum engineering..
Nn nk nk nk...
Hamasisheni vijana kusomea machuma..