Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Kama watanzania tumeweza kuvumilia taabu zote zinazoletwa na serikali ya ccm kama umeme wa mgao miaka yote,mfumuko wa bei, umaskini uliokithiri, dowans nk,bila kuchukua hatua za msingi kwa kigezo cha amani isiyo onekana,sisi ni kiboko kwa uvumilivu wa ujinga na tumevunja rekodi.