kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Ukweli ni kuwa hakuna mtanzania mwenye akili timamu atashiriki maandamano ya Chadema tarehe 24
Kwanza hayo sio maandamano ya kumsaidia mtanzania bali ni maandamano ili viongozi wa Chadema waweze kupata tume waingie bungeni wakalambe asali.
Chadema uongozi wamekua wabinafsi sana, wamekua wakifikiria matumbo yao tu na kujijali wao tu kwa mfano
Sukari ilivyopanda Chadema Kimya
Nauli zimepandishwa kiholela na kihuni Chadema kimya
Mfumuko wa bei wa kutisha...Chadema kimya...
Matozo na makodi ya kidhulma...Chadema kimya.
Umeme na migao....Chadema kimya
Chadema matatizo ya wananchi wanayapuuza, wakati wapinzania wanaojielewa huko duniani wakifanya maandamano ya umma kupinga vitu kupanda bei, mfumuko wa bei, ughali wa maisha, tozo nk chadema wao wanawaza kuwaingiza wananchi barabarani kwa ajili ya uchaguzi ambao ni faida yao wenyewe
Mimi sio ccm wala nini ila Chadema mmechemka!! Kwa matatizo watanzania waliyo nayo, kwa jinsi Utawala wa Samia ulivyofanya wananchi kuteseka ingekua ni sababu tosha ya chadema kugain popularity na kuwin mioyo ya Wananchi, mmeshindwa kutumia udhaifu wa awamu hii isiyo jali mnadandia mambo ya hovyo tu?
Mmewatelekeza wananchi mkawaachia shida na mateso na maskioni mmekaa kama mmejitia pamba hamuoni shida za watz halaf mnataka sapoti ya umma ili tume inyooke muingizwe bungeni mkalambe asali?
Kwanini matatizo na mateso yote hadi mabando mfumuko, tozo , nauli kupanda,mafuta,hatukuona mkiorganize maandamano?kwanini matatizo ya wananchi hatuoni mkipanga maandamano lakini ishu za kuwapa ulaji mfano uchaguzi ndo mnatukurupua tuandamane na nyie?
Nawaapia hakuna mtanzania mwenye akili ataandamana na nyie tarehe 24, hata wale covid-19 imekuja kugundulika wana go ahead na greenlight ya mbowe msituzuge bwana.
Mimi siipendi hii serikali naichukia kufa lakini siwezi kuandamana tarehe 24 nikatetee watu wakalambe asali bungeni!!
Kwanza hayo sio maandamano ya kumsaidia mtanzania bali ni maandamano ili viongozi wa Chadema waweze kupata tume waingie bungeni wakalambe asali.
Chadema uongozi wamekua wabinafsi sana, wamekua wakifikiria matumbo yao tu na kujijali wao tu kwa mfano
Sukari ilivyopanda Chadema Kimya
Nauli zimepandishwa kiholela na kihuni Chadema kimya
Mfumuko wa bei wa kutisha...Chadema kimya...
Matozo na makodi ya kidhulma...Chadema kimya.
Umeme na migao....Chadema kimya
Chadema matatizo ya wananchi wanayapuuza, wakati wapinzania wanaojielewa huko duniani wakifanya maandamano ya umma kupinga vitu kupanda bei, mfumuko wa bei, ughali wa maisha, tozo nk chadema wao wanawaza kuwaingiza wananchi barabarani kwa ajili ya uchaguzi ambao ni faida yao wenyewe
Mimi sio ccm wala nini ila Chadema mmechemka!! Kwa matatizo watanzania waliyo nayo, kwa jinsi Utawala wa Samia ulivyofanya wananchi kuteseka ingekua ni sababu tosha ya chadema kugain popularity na kuwin mioyo ya Wananchi, mmeshindwa kutumia udhaifu wa awamu hii isiyo jali mnadandia mambo ya hovyo tu?
Mmewatelekeza wananchi mkawaachia shida na mateso na maskioni mmekaa kama mmejitia pamba hamuoni shida za watz halaf mnataka sapoti ya umma ili tume inyooke muingizwe bungeni mkalambe asali?
Kwanini matatizo na mateso yote hadi mabando mfumuko, tozo , nauli kupanda,mafuta,hatukuona mkiorganize maandamano?kwanini matatizo ya wananchi hatuoni mkipanga maandamano lakini ishu za kuwapa ulaji mfano uchaguzi ndo mnatukurupua tuandamane na nyie?
Nawaapia hakuna mtanzania mwenye akili ataandamana na nyie tarehe 24, hata wale covid-19 imekuja kugundulika wana go ahead na greenlight ya mbowe msituzuge bwana.
Mimi siipendi hii serikali naichukia kufa lakini siwezi kuandamana tarehe 24 nikatetee watu wakalambe asali bungeni!!