Uchaguzi 2020 Watanzania eleweni: Kuanza kampeni kabla ya wakati ni kanuni ndani ya CCM tu; haipo popote katika Sheria za Tanzania, wala katika Kanuni za Uchaguzi

Habari wana JF,

Naomba niwaelimishe, CCM wana utaratibu wao wa siasa. Ndio walijiwekea kitu kinaitwa, "kuanza kampeni kabla ya wkt" huko kwao.

Hakuna popote hicho kitu ktk sheria za nchi ya Tanzania, wala haipo ktk kanuni za uchaguzi mkuu za nchi yetu.

Sasa kanuni za CCM nani anataka kulazimisha ziwe eti ndio za nchi?!

Hizo ni kanuni za Chama chenu, ndio hizo hizo mlitumia kumkata Lowassa huko mwaka 2015, pamoja na mambo mengine. Hizo ni za CCM, sio za nchi.

CCM ndio huwa mnatuhumiana mambo ya kampeni kabla ya muda.
Acheni kutuharibia nchi kwa kanuni zisizokuwepo.

Nashangaa watu wanashadadia tu.
Membe nae anajisemea eti katafuta wadhamini kimya kimya kuepuka kuvunja kanuni. Zipi?
Yani B. Membe bado anawaza kanuni za CCM kichwani mwake?
Kweli nimeamini ni ngumu sana mtu kusahau asili yake.

Membe, Magufuli na wenzako kajisomeeni tena, hiyo ni sheria yenu kwenye makabrasha ya CCM; haipo ktk sheria za nchi.

Full stop

Tofautisheni nchi na CCM.
unafikiri wana akili tunaviongozi wa ajabu hawajui hata sheria za nchi yetu,halafu wanajidai kutuletea maendeleo
 
Habari wana JF,

Naomba niwaelimishe, CCM wana utaratibu wao wa siasa. Ndio walijiwekea kitu kinaitwa, "kuanza kampeni kabla ya wkt" huko kwao.

Hakuna popote hicho kitu ktk sheria za nchi ya Tanzania, wala haipo ktk kanuni za uchaguzi mkuu za nchi yetu.

Sasa kanuni za CCM nani anataka kulazimisha ziwe eti ndio za nchi?!

Hizo ni kanuni za Chama chenu, ndio hizo hizo mlitumia kumkata Lowassa huko mwaka 2015, pamoja na mambo mengine. Hizo ni za CCM, sio za nchi.

CCM ndio huwa mnatuhumiana mambo ya kampeni kabla ya muda.
Acheni kutuharibia nchi kwa kanuni zisizokuwepo.

Nashangaa watu wanashadadia tu.
Membe nae anajisemea eti katafuta wadhamini kimya kimya kuepuka kuvunja kanuni. Zipi?
Yani B. Membe bado anawaza kanuni za CCM kichwani mwake?
Kweli nimeamini ni ngumu sana mtu kusahau asili yake.

Membe, Magufuli na wenzako kajisomeeni tena, hiyo ni sheria yenu kwenye makabrasha ya CCM; haipo ktk sheria za nchi.

Full stop

Tofautisheni nchi na CCM.
Yan MaCCM huwa yanatuaminisha kuwa Wajumbe wa Nyumba 10 pia ni Viongozi wa Serikali😀
 
Habari wana JF,

Naomba niwaelimishe, CCM wana utaratibu wao wa siasa. Ndio walijiwekea kitu kinaitwa, "kuanza kampeni kabla ya wkt" huko kwao.

Hakuna popote hicho kitu ktk sheria za nchi ya Tanzania, wala haipo ktk kanuni za uchaguzi mkuu za nchi yetu.

Sasa kanuni za CCM nani anataka kulazimisha ziwe eti ndio za nchi?!

Hizo ni kanuni za Chama chenu, ndio hizo hizo mlitumia kumkata Lowassa huko mwaka 2015, pamoja na mambo mengine. Hizo ni za CCM, sio za nchi.

CCM ndio huwa mnatuhumiana mambo ya kampeni kabla ya muda.
Acheni kutuharibia nchi kwa kanuni zisizokuwepo.

Nashangaa watu wanashadadia tu.
Membe nae anajisemea eti katafuta wadhamini kimya kimya kuepuka kuvunja kanuni. Zipi?
Yani B. Membe bado anawaza kanuni za CCM kichwani mwake?
Kweli nimeamini ni ngumu sana mtu kusahau asili yake.

Membe, Magufuli na wenzako kajisomeeni tena, hiyo ni sheria yenu kwenye makabrasha ya CCM; haipo ktk sheria za nchi.

Full stop

Tofautisheni nchi na CCM.
Mbona JPM hakukatwa na alianza kampeni tangu 2015?
 
Kwa kweli andiko hili limenifanya Kuingia Kwenye Wesite ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kupekua, ambapo kwenye page yao nikaingia sehemu ya 'Machapisho' nikadownload na kusoma neno kwa neno Sheria ya Uchaguzi 2020 na Kanuni za uchaguzi 2020.

Kiukweli sijaona kifungu kinachozungumzia kampeni kabla ya wakati na adhabu kwa atakayefanya hivyo. Ila wamekataza mamvo mengi isipokuws ni baada ya mtu kupitishwa na tume na hapaswi kuyafanya wakati wa kampeni, SI KABLA. Mfano

- kutumia viongozi wa dini kunadi na kufanyia kampeni chama au mgombea fulani.
-viongozi wa serikali(mawaziri) kuahidi au kutoa vitu kwa kutumia nafasi zao za uwaziri.
-kufanya siasa kwenye nyumba za ibada
-kuhubiri udini
-Hairuhusiwi kutumia lugha nje ya kiswahili

Pia Pingamizi kwa kawaida huwekwa mara tu baada ya Majina ya Wagombea wa vyama kutangazwa na kubandikwa na Tume ya Uchaguzi (24 hrs after nomination). So mtu hawezi peleka pingamizi leo kuhusu mgombea yeyote. Kwa hiyo, kwa namna yeyote ipe ni lazima Jina la Lissu litatangazwa na Tume (muhimu akidhi vigezo tu vya fomu na wadhamini), ila kama pingamizi lije baada. Pia wametajwa watu wanastahili kumuwekea mgombea pingamizi ni lazima awe mgombea mwengine, msajiri wa vyama au mwanasheria mkuu.
Habari wana JF,

Naomba niwaelimishe, CCM wana utaratibu wao wa siasa. Ndio walijiwekea kitu kinaitwa, "kuanza kampeni kabla ya wkt" huko kwao.

Hakuna popote hicho kitu ktk sheria za nchi ya Tanzania, wala haipo ktk kanuni za uchaguzi mkuu za nchi yetu.

Sasa kanuni za CCM nani anataka kulazimisha ziwe eti ndio za nchi?!

Hizo ni kanuni za Chama chenu, ndio hizo hizo mlitumia kumkata Lowassa huko mwaka 2015, pamoja na mambo mengine. Hizo ni za CCM, sio za nchi.

CCM ndio huwa mnatuhumiana mambo ya kampeni kabla ya muda.
Acheni kutuharibia nchi kwa kanuni zisizokuwepo.

Nashangaa watu wanashadadia tu.
Membe nae anajisemea eti katafuta wadhamini kimya kimya kuepuka kuvunja kanuni. Zipi?
Yani B. Membe bado anawaza kanuni za CCM kichwani mwake?
Kweli nimeamini ni ngumu sana mtu kusahau asili yake.

Membe, Magufuli na wenzako kajisomeeni tena, hiyo ni sheria yenu kwenye makabrasha ya CCM; haipo ktk sheria za nchi.

Full stop

Tofautisheni nchi na CCM.
 
Wajinga sana CCM kutupotezea muda.
Kanuni zao ni zao. Sio za nchi.
Si wangezipeleka huko bungeni ziwe za nchi.

Kwa hili washachelewa, wamenoa.

Hivi na Bernard Membe kwa nini hizi kanuni za CCM bado zimemganda kichwani?
Membe sio wa kuamini
 
Mbona mnajipa kazi isiyowahusu, kwanini mnataka kuilisha NEC maneno?? Mbona ni Chadema tu na Lissu Ndio wanaojihisi?? Acheni visingizio visivyo na kichwa wala miguu, kujihami ni dalili ya kutaka uonewe huruma, je mnataka huruma kutoka kwa nani hasa?? Watanzania au Mabeberu?

Umenikumbusha mkuu, leo sijui kumetokea nini, kila nikitaja mabeberu kila mtu ananiambia niwataje hao mabeberu. Nimejiuliza ni coincidence au watu wanaambiana maswali ya kuuliza kwenye hili swala?

Au mi niko dunia gani jamani mni update basi maana si chini ya watu sita leo wameniuliza hili swali, ilipofika na mke wangu kuniuliza ndipo nikasema lazima kuna jambo, hembu nisaidie namna ya kulijibu mkuu wangu.
 
Kwa kweli andiko hili limenifanya Kuingia Kwenye Wesite ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kupekua, ambapo kwenye page yao nikaingia sehemu ya 'Machapisho' nikadownload na kusoma neno kwa neno Sheria ya Uchaguzi 2020 na Kanuni za uchaguzi 2020.

Kiukweli sijaona kifungu kinachozungumzia kampeni kabla ya wakati na adhabu kwa atakayefanya hivyo. Ila wamekataza mamvo mengi isipokuws ni baada ya mtu kupitishwa na tume na hapaswi kuyafanya wakati wa kampeni, SI KABLA. Mfano

- kutumia viongozi wa dini kunadi na kufanyia kampeni chama au mgombea fulani.
-viongozi wa serikali(mawaziri) kuahidi au kutoa vitu kwa kutumia nafasi zao za uwaziri.
-kufanya siasa kwenye nyumba za ibada
-kuhubiri udini
-Hairuhusiwi kutumia lugha nje ya kiswahili

Pia Pingamizi kwa kawaida huwekwa mara tu baada ya Majina ya Wagombea wa vyama kutangazwa na kubandikwa na Tume ya Uchaguzi (24 hrs after nomination). So mtu hawezi peleka pingamizi leo kuhusu mgombea yeyote. Kwa hiyo, kwa namna yeyote ipe ni lazima Jina la Lissu litatangazwa na Tume (muhimu akidhi vigezo tu vya fomu na wadhamini), ila kama pingamizi lije baada. Pia wametajwa watu wanastahili kumuwekea mgombea pingamizi ni lazima awe mgombea mwengine, msajiri wa vyama au mwanasheria mkuu.
 
Kwa kweli andiko hili limenifanya Kuingia Kwenye Wesite ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kupekua, ambapo kwenye page yao nikaingia sehemu ya 'Machapisho' nikadownload na kusoma neno kwa neno Sheria ya Uchaguzi 2020 na Kanuni za uchaguzi 2020.

Kiukweli sijaona kifungu kinachozungumzia kampeni kabla ya wakati na adhabu kwa atakayefanya hivyo. Ila wamekataza mamvo mengi isipokuws ni baada ya mtu kupitishwa na tume na hapaswi kuyafanya wakati wa kampeni, SI KABLA. Mfano

- kutumia viongozi wa dini kunadi na kufanyia kampeni chama au mgombea fulani.
-viongozi wa serikali(mawaziri) kuahidi au kutoa vitu kwa kutumia nafasi zao za uwaziri.
-kufanya siasa kwenye nyumba za ibada
-kuhubiri udini
-Hairuhusiwi kutumia lugha nje ya kiswahili

Pia Pingamizi kwa kawaida huwekwa mara tu baada ya Majina ya Wagombea wa vyama kutangazwa na kubandikwa na Tume ya Uchaguzi (24 hrs after nomination). So mtu hawezi peleka pingamizi leo kuhusu mgombea yeyote. Kwa hiyo, kwa namna yeyote ipe ni lazima Jina la Lissu litatangazwa na Tume (muhimu akidhi vigezo tu vya fomu na wadhamini), ila kama pingamizi lije baada. Pia wametajwa watu wanastahili kumuwekea mgombea pingamizi ni lazima awe mgombea mwengine, msajiri wa vyama au mwanasheria mkuu.

Ukiwa na viongozi walaghai , tena wanaulaghai umma kwa manufaa yao. Haya ndio matokeo yake.

Hawasimami ktk misingi, wao wanataka kauli zao na matakwa yao ndio yafanyiwe kazi.

Nikijiuliza kwamba Deo Mwanyika waliyemtuhumu kukwepa Kodi na uhujumu Uchumi, na akakubali kulipa billion mbili, leo CCM na Magufuli wamemteua agombee ubunge, nabaki nashangaa!

CCM ni WANAFIKI sana, WABAGUZI wakubwa.
 
Mleta mada uko sahihi
Hakuna kifungu cha kuanza kampeni kabla ya wakati.

Miaka yote mitano ni muda wa kampeni wa kujaribu kuingia madarakani katia uchaguzi ujao
CCM naanza kuamini imechoka sana. Ni kama gari imechoka engine, wanahangaika na kurekebisha body ya nje tu.
 
Madikteta hupendelea kutawala kila kitu; watu na siasa zao, imani zao, sanaa zao na michezo yao, uchumi wao, historia yao - vyote. Akishafanikiwa, hayo yote yanakuwa kama kitu kimoja chini ya milki yake. Na siku ya anguko lake, hayo yote yamevurugika...jamii inaanza upya.
Mkuu umeandika kitu kikubwa sana natamani kingebandikwa kwenye kila Stand kuu na masokoni na mahospitalini watu wauone ujumbe huu ili wapime madhara ya kumshabikia wajue kwamba analiangusha taifa na waathirika ni wao wananchi.
 
Msg
Madikteta hupendelea kutawala kila kitu; watu na siasa zao, imani zao, sanaa zao na michezo yao, uchumi wao, historia yao - vyote. Akishafanikiwa, hayo yote yanakuwa kama kitu kimoja chini ya milki yake. Na siku ya anguko lake, hayo yote yamevurugika...jamii inaanza upya.
Msg Kali sana jamaa anamiliki mpaka imani zetu mpaka anatulazimisha tumuombee hata Kama kumuombea mtu ni hiari.
 
Back
Top Bottom