Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,992
Hope wazima wana JF,
Juzi wakati nacheki habari ITV saa 2 usiku, nilipatwa na mshituko baada ya kuona umbo namba 8 la mtangazaji wa habari ITV. Baada ya kutangaza muhtasari wa habari akawa anaenda kukaa kwenye meza alivyogeuka, yule dada ana umbo jamani, nyuma kajazia. Nimeenda Instagram kutafuta account yake sijaipata.
Kuna mtangazaji fulani wa kike TBC ni mzuri ni zire pisi kali, sijui kaolewa anavaa vimini fulani hivi.
Bora azam tv watangazaji wapo kimaadili zaidi na wanavaa nguo za heshima
Watangazaji mjitahidi kuvaa nguo za heshima, mnajua habari ni kitu serious sasa mnatutoa kwenye mood watazamaji.
Mpaka watazamaji tunajiuliza hii ni habari kweri au ni fashion show
Juzi wakati nacheki habari ITV saa 2 usiku, nilipatwa na mshituko baada ya kuona umbo namba 8 la mtangazaji wa habari ITV. Baada ya kutangaza muhtasari wa habari akawa anaenda kukaa kwenye meza alivyogeuka, yule dada ana umbo jamani, nyuma kajazia. Nimeenda Instagram kutafuta account yake sijaipata.
Kuna mtangazaji fulani wa kike TBC ni mzuri ni zire pisi kali, sijui kaolewa anavaa vimini fulani hivi.
Bora azam tv watangazaji wapo kimaadili zaidi na wanavaa nguo za heshima
Watangazaji mjitahidi kuvaa nguo za heshima, mnajua habari ni kitu serious sasa mnatutoa kwenye mood watazamaji.
Mpaka watazamaji tunajiuliza hii ni habari kweri au ni fashion show