Hii safi sana aisee.......vijana inabidi waende..........
Waanze bungeni....maana kuna vitoto vingi havijapitia jeshi
Pili wafuatie vijana wote ambao wako makazini na hawakupitia Jeshi
tatu wafuatie wale watakaomaliza Chuo na hawakupitia Jeshi
Nne na muhimu....Wapiga box wote ( kama akina Nyani Ngabu ) ambao hawakupitia jeshi....wakirudi bongo hakuna kutoka mpaka upitie JKT......nidhamu ya mitandaoni itarudi......
Keep it up General Muhuga
Waanze bungeni....maana kuna vitoto vingi havijapitia jeshi
Pili wafuatie vijana wote ambao wako makazini na hawakupitia Jeshi
tatu wafuatie wale watakaomaliza Chuo na hawakupitia Jeshi
Nne na muhimu....Wapiga box wote ( kama akina Nyani Ngabu ) ambao hawakupitia jeshi....wakirudi bongo hakuna kutoka mpaka upitie JKT......nidhamu ya mitandaoni itarudi......
Keep it up General Muhuga
Last edited by a moderator: