Wataalam wa Itifaki tuelimisheni: JK kupokelewa na Meya wa Jiji Salzburg Austria

mkuu nijuavyo mimi kama ni ziara ya kitaifa au mwaliko wa rais kutoka nchi hiyo, ilibidi apokewe na rais wa nchi hiyo au yawezekana labda baadae atapokewa rasmi na rais wa nchi ikulu. hata Obama au viongozi wa nchi nyingi za wenzetu huwa rais hapokei pale airport bali huwepo waziri wa zamu. mara nyingi mapokezi rasmi hufanyika baadae ikulu. mkuu JK hajadharaulika usihofu.


Pia katika mikutano inayoshirikisha viongozi wengi,ni vigumu mkuu wa nchi kua uwanjani kupokea wageni wote.Hata hapa kwetu,mkutano uliopita wa marais 16 tuliona akina Mary Nagu walivyopangiwa kazi za kupokea marais,hili ni jambo la kawaida
 
JK naye bana............. amezidi kuzurura mpaka viongozi wa nchi za watu waliostaarabika wamemchoka

Ukiangalia picha za waliohudhuria hakuna mkuu wa nchi zaidi ya Kikwete. Nchi yetu inamatatizo kibao, lakini rais haachi kuzurura kwenye mikutano isiyo na kichwa wala miguu. kwa kweli rais tunaye
 
wameona haina haja ya kupoteza muda kumpokea mtu ambaye kila siku yupo huko, nadhani akienda tena atapokelewa na diwani!
Kwanza mkutano wenyewe unahusu NEW IDEAS chakujiuliza baba mwanaasha atatoa idea gani mpya?

Tatizo la wabongo mnaanza kulaumu bila kujua kuwa mpaka upate mualiko lazima uwe na kitu cha kuPRESENT kama sio wewe ni delegation nzima uliyoambatana nayo

NADHANI umekurupuka uliza wenzio waliowahi kwenda safari kama hizo,WEWE UNADHANI NEW ideas ni kupiga kelele mpaka wewe nawe mbu.#mbu &mbu wa masuala ya nje kama wewe,nin shaka na DARASALAKO

In short ukiandika huku unatoa MAPOVU ndo tatizo,nina shaka na uelewa wako wa masuala ya PRESIDENTIAL DELEGATION OUTSIDE BORDERS
 
Kwa maoni yangu huo mji wa salsburg ni mji mdogo .jk hakutua huko direct kutokea tz alipokelewa kwenye aiport kubwa kama linz au vienna ,na leo ndo ameelekea huko kwa hiyo anapokelewa na meya ambaye mkuu wa serkali ya salzburg
 
Hata mi cwezi kumpokea mtu ambaye najua hawezi kunipa mawazo ya kuendelea, zaidi kuomba msaada!!! next time atapokelewa na wasafisha jiji
 
jf ina watu washamba sana. hata kusoma google hawajui.

tafuta ni wapi ulisikia obama au kiongozi wa ulaya anapokea wageni wake airport?

hayo ya rais kwenda kupokea wageni airport ni yetu sisi ambao hatuna kazi za kufanya.

Mheshiwa Raisi JK alipokuwa anawasili nchini Austria kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa Utandawazi na Usawa unaofanyika Jijini Salzburg Austria alipokelewa na Meya wa jiji hilo ambalo si mji mkuu wa Austria bwana Wilfred Haslauer. Wataalam wa Itifaki mnasemaje? Ni sawa kulingana na utaratibu waliojipangia wenyej kuwapokea wageni au mapokezi ni tofaut kulingana na hadhi ya mgeni nchini kwao? Au walikosekana makamu wa rais, waziri mkuu, mawaziri au manaibu mawaziri kama wapo kuja airport kumpokea JK mpaka atumwe meya tena wa jiji hlo ambalo si mji mkuu? Au rais aliwapokea wagen anaowaheshmu na maarufu halafu waliobak walipokelewa na meya wa manispaa hyo ya Salzburg? Hivi Meya wa jiji la DSM anaweza kwenda airport kama kiongoz mkuu wa mapokez kumpokea Jacob Zuma? Hapa TZ rais wa Lesotho hata jina simfahamu lakin alipokelewa na makamu wa rais Dr Bilal. Tuelimishane kwa wenye ufahamu
 
Pia katika mikutano inayoshirikisha viongozi wengi,ni vigumu mkuu wa nchi kua uwanjani kupokea wageni wote.Hata hapa kwetu,mkutano uliopita wa marais 16 tuliona akina Mary Nagu walivyopangiwa kazi za kupokea marais,hili ni jambo la kawaida

Mkuu, kuna watu hawajui utaratibu wa kupokea wageni inapotokea mkusanyiko mkubwa wa wakuu wa nchi. nakupongeza sana kwa kuwatoa ujinga hawa mburula
 
Tatizo la wabongo mnaanza kulaumu bila kujua kuwa mpaka upate mualiko lazima uwe na kitu cha kuPRESENT kama sio wewe ni delegation nzima uliyoambatana nayo

NADHANI umekurupuka uliza wenzio waliowahi kwenda safari kama hizo,WEWE UNADHANI NEW ideas ni kupiga kelele mpaka wewe nawe mbu.#mbu &mbu wa masuala ya nje kama wewe,nin shaka na DARASALAKO

In short ukiandika huku unatoa MAPOVU ndo tatizo,nina shaka na uelewa wako wa masuala ya PRESIDENTIAL DELEGATION OUTSIDE BORDERS

Kwa hivyo JK ndio rais pekee duniani waliyemwona ana NEW IDEAS!!!! acha utani. Ukweli ni kwamba kwa vyo vyote vile JK alipata mwaliko, lakini tunachozungumzia ni kwamba alipaswa kutumia na zake (kumbuka hadithi ya mbayuwayu) akamteua mteule wake wa kumwakilisha! Hivi ni vikongamano vya level ya makitubu wakuu au wakurugenzi katika wizara husika. Ukiwa mkuu wa nchi, si kila mwaliko unaoletewa lazima uende wewe mwenyewe. Angalia sasa wamemvisha NAME TAG!!! Tokea lini mkuu wa nchi akavishwa name tag! Huu ni ushahidi kuwa he was in the wrong place!!
 
kuna siku hamisi Kigwangala alikaimu nafasi ya jk kwenye mkutano huko Japan.
huyo ndo fastjet
 
Last edited by a moderator:
Hivi nyie watu mmerogwa au ni upofu mlionao japokuwa mnamacho lakini hayaoni. safari za rais ndizo zinazoleta manufaa mengi nchini na sio raisi wetu pekee anasafiri kila mara kama huwa unatizama matukio duniani hebu jaribu kuangalia kiongozi wa juu kabisa wa marekani bwa ambae Secretary general anavyo safiri ndo uongee nchi yenye mipango endelevu lazima kiongozi wa juu asafiri kila mara tz hatuna kiongozi anae weza kutoa maamuzi yote ispokuwa raisi ndoma inamlazim kusafiri kila inapohitajika kutokana na umuhim wa safari na uwakilishi aina uzito wa inshu kwahiyo msikalie mambonya kuiga tu ukiona watu wameongea nawewe useme jua kwanza nini kimepeleka raisi kama hii inshu raisi kaalikwa ulitaka uende wewe

Acha ujinga wewe uko ameenda kutoa maamuzi gani ya juu,mijitu mingine ovyo sana kazi tu kupotosha umma
 
Mheshiwa Raisi JK alipokuwa anawasili nchini Austria kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa Utandawazi na Usawa unaofanyika Jijini Salzburg Austria alipokelewa na Meya wa jiji hilo ambalo si mji mkuu wa Austria bwana Wilfred Haslauer. Wataalam wa Itifaki mnasemaje? Ni sawa kulingana na utaratibu waliojipangia wenyej kuwapokea wageni au mapokezi ni tofaut kulingana na hadhi ya mgeni nchini kwao? Au walikosekana makamu wa rais, waziri mkuu, mawaziri au manaibu mawaziri kama wapo kuja airport kumpokea JK mpaka atumwe meya tena wa jiji hlo ambalo si mji mkuu? Au rais aliwapokea wagen anaowaheshmu na maarufu halafu waliobak walipokelewa na meya wa manispaa hyo ya Salzburg? Hivi Meya wa jiji la DSM anaweza kwenda airport kama kiongoz mkuu wa mapokez kumpokea Jacob Zuma? Hapa TZ rais wa Lesotho hata jina simfahamu lakin alipokelewa na makamu wa rais Dr Bilal. Tuelimishane kwa wenye ufahamu

kabla sijakujibu, ina maana ni kama huyo rais wa austria angepokewa na meya wetu wa huko singida kwa mfano, au kama meya wa Dodoma walau au Iringa hivi! natafuta ulinganisho ili nijue ukubwa wa tatizo mkuu ndio nikupatie majibu
 
Anazurura sana hadi wamemchoka... Mtu gani kila siku kuguu na njia, hata mikutano ya kutuma mawaziri wake, LAZIMA aende yeye, au ndio kusema inakuwa rahisi kwa yeye kubeba unga wa sembe kwa sababu hakaguliwi?....
 
Kayaman,

Hiv Meya wa jiji si ni diwani au mimi sijui!?(Rejea:mwalimu mkuu ni mwalimu pia...hihihiiii)
 
This is a mockery to our president!!!
Mheshiwa Raisi JK alipokuwa anawasili nchini Austria kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa Utandawazi na Usawa unaofanyika Jijini Salzburg Austria alipokelewa na Meya wa jiji hilo ambalo si mji mkuu wa Austria bwana Wilfred Haslauer. Wataalam wa Itifaki mnasemaje? Ni sawa kulingana na utaratibu waliojipangia wenyej kuwapokea wageni au mapokezi ni tofaut kulingana na hadhi ya mgeni nchini kwao? Au walikosekana makamu wa rais, waziri mkuu, mawaziri au manaibu mawaziri kama wapo kuja airport kumpokea JK mpaka atumwe meya tena wa jiji hlo ambalo si mji mkuu? Au rais aliwapokea wagen anaowaheshmu na maarufu halafu waliobak walipokelewa na meya wa manispaa hyo ya Salzburg? Hivi Meya wa jiji la DSM anaweza kwenda airport kama kiongoz mkuu wa mapokez kumpokea Jacob Zuma? Hapa TZ rais wa Lesotho hata jina simfahamu lakin alipokelewa na makamu wa rais Dr Bilal. Tuelimishane kwa wenye ufahamu
 
Mheshiwa Raisi JK alipokuwa anawasili nchini Austria kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa Utandawazi na Usawa unaofanyika Jijini Salzburg Austria alipokelewa na Meya wa jiji hilo ambalo si mji mkuu wa Austria bwana Wilfred Haslauer. Wataalam wa Itifaki mnasemaje? Ni sawa kulingana na utaratibu waliojipangia wenyej kuwapokea wageni au mapokezi ni tofaut kulingana na hadhi ya mgeni nchini kwao? Au walikosekana makamu wa rais, waziri mkuu, mawaziri au manaibu mawaziri kama wapo kuja airport kumpokea JK mpaka atumwe meya tena wa jiji hlo ambalo si mji mkuu? Au rais aliwapokea wagen anaowaheshmu na maarufu halafu waliobak walipokelewa na meya wa manispaa hyo ya Salzburg? Hivi Meya wa jiji la DSM anaweza kwenda airport kama kiongoz mkuu wa mapokez kumpokea Jacob Zuma? Hapa TZ rais wa Lesotho hata jina simfahamu lakin alipokelewa na makamu wa rais Dr Bilal. Tuelimishane kwa wenye ufahamu
Wenzetu hawana makuu, pili siyo ziara ya kitaifa.
 
Back
Top Bottom