amechanganyikiwa hana sera, bila kutaja chadema! Ana unaupungufu wa akili nadhani yuko fainali. Kwa kweli ni mzigo ndo maana chama kinawafia kama waziri wenyewe ndo hawa!
hahahaaaaa wasira bwana, anasema kulikua na watu elfu sita au elfu saba, amehutubia kuanzia saa tisa hadi saa 12 na amejibu maswali zaidi ya 10. . . . hahahaaaa huyu bwana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.