Mwenye kumbukumbu sahihi naomba anisaidie, Wassira ni msemaji wa CHADEMA maana anaongea kuhusu CHADEMA tu?
CCM hana cha kuwaambia wananchi zaidi ya 'umbeya' kuhusu CHADEMA? Wassira na wizara yake wamefanya nini? ahadi za CCM zimekelezwa kwa kiasi gani?
Wasira kiboko yao kawamaliza chadema.
Hata gadaf aliwaita wapinzani wake kuwa wamepewa madawa ya kulevya lakini kilicho mpata anakifahamu mwenyewe huko aliko.[/QUOTE]Anakanusha kuwa hakuzomewa, eti wale walikuwa walevi!!!
Wasirra anaichana chadema!!